Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Mwimbaji maarufu wa Muziki wa Pop nchini Kenya toka Sauti Sol ajitokeza kama Mpenzi wa Jinsia moja

Umetoka kusukumwa mavi unakuja macho juu juu na pampas lako linalovuja uharo,na wewe maji yameshakuharibu.

Endelea na mchezo huo siku puru likutoke ndo akili itakukaa sawa!
Hahaha , siku nyingine uache kiherehere na kupangia watu jinsi ya kufanya maisha yao. Watu wazima hao wanajua ni nini wanafanya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unachekesha sana, kwahiyo dada zake wakitiwa basi yeye asitiwe? Hao dada zake wao wenyew hawawez kuzaaa had chimao? Au kuzaa n lazima? Je chimaao angeweza asiwe gay na asizae hao dada zake wangefanya nn? [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwahyo kumbe maamuzi binafsi ya mtu yapo chini ya dada zake? Ko nawee hapo dada zako ndo wanaamua hatima ya maisha yako? Poleeeeh sana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shoga la jamii forum likiwa linamtetea shoga mwenzake wa Sauti soul.
 
Mimi hawa wasssenge wananikera sana... Kuwa hvo kwake ni uamuzi wake...

LAKINI
Kulikuwa na ulazima gani wa kututangazia umma,,, kwann atangaze... Kwani asingesema nini kingeharibika???
Vijana wetu wakisikia stori kama hizo ndio wanaanza nao kufuatilia... Mwisho nao wanakuwa mabarazuli...

Ufalla sana.
 
Mkaka mzuri, mbavu kumbe anapumuliwa aargh it's disappointing, waume wa kutuwowa wanapungua tu.😪
aaaah acha Hizo bibie mbona wanaume mashababi Bado tupo aiseee hao wa kinondoni ni wachache tu pumbaf zao,
Kama wa kuwaoa tupo kama umekosa kabisa njoo tuyajenge Kule sirini,nipo tayari sura tutavumiliana,tabia tutarekebishana
You are welcome to my kingdom!
😜😜😜😜
 
Back
Top Bottom