Amanikwanzaa
JF-Expert Member
- Jul 8, 2023
- 212
- 420
Kama walihitaji Namba ya siri kutoka kwa Mama, bila shaka huyo ni Jakobo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaolalamika si salama wameota mkiaNchi ipo salama: Wambura
Kama simu inapasswed walipataje namba ya mke wake au walikuwa nayo kablaWakaomba na password ya simu.Walitaka waone mawasiliano au walitaka wahamishe muamala?Kuna nini hapo?
View attachment 3101087
Pichani ni kijana aitwaye Aziz Alumini Njombi wa huko wilaya Nanyumbu.
Huyu kijana hajihusishi na siasa wala mambo ya uanaharakati na kazi yake ni afisa usafirishaji a.k.a bodaboda.
Mnamo tarehe ya jana yaani 19/9/2024 alitekwa na mtu aliyembeba kama abilia ila inasemekana hakuwa abilia bali mtekaji.
Baadaye usiku wa kuamkia leo watekaji walipiga simu kwa mke wake wakitaka password ya simu ya mumewe.
Ila baadaye hao watekaji walimuua na leo maiti yake imeokotwa.
NB. Jeshi la polisi nchini, kutokana na kadhia hii ya utekaji raia ovyo hata vibaka, majambazi, wezi na kila muarifu wanatumia mbinu ya kuteja na kuua.
Kwa sababu inaonekana tayari ni njia iliyohararishwa wkt si kweli, ikiwa nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda raia kisheria basi tunaomba ulinzi.
Vinginevyo mruhusu sasa raia wajilinde katika hali yoyote.
CC. Nawasilisha.
Jamaa kakulanda kinomaSa100 amesema hataki kuingiliwa kwenye mambo ya nchi yake kwani suala la utekaji na mauaji yanatokea kila mahali siyo Tanzania tu
Hao #1 wenyewe ndiyo watekaji,waporaji wakuuvibaka,majambazi na waporaji ni wazi sasa wanatumia upepo wa kutekana kufanya matukio yao
Sahv hakuna ushirikiano wa polisi na jamii,jamii yenyewe haina imani nao“Polisi ni jamii na jamii ni polisi.” tushirikiane na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa taarifa na tushirikiane kufichua uovu unaoendelea.
Tutabaki tunailaumu polisi kila siku kwani wao ni wapiga ramli kua fulani leo atauwawa?
Kama n hapana bhasi sisi ndio wenye taarifa na hawa watenda maovu ni wana jamii wenzetu
Inayoharibika ni Tanzania
Labda Siku mbunge, waziri au rais akitekwaHii imeanza chini soon itapanda juu ikifika huko juu wakiguswa
Ndiyo watashtuka
Ova
Kwa nchi yako kuzuia ni ngumu sana, moja wamesha halarisha pili hii njia ya kuruhusu hayo madude ni sehemu ya kuwafanya vijana kuwa busy na kusahau mambo ya msingi.Usafiri wa bodaboda na bajaj upigwe marufuku turudie usafiri wa baiskeli, teksi, hiace na daladala.
Nchi za kusini mwa Afrika wameweza kujizuia kufanya pikipiki au bajaj (vespa) kuwa chombo cha usafiri wa umma na maisha yanaendelea, kwanini Tanzania tunashindwa kuwa kama nchi za Kusini mwa Afrika.
Pikipiki walichukua baada ya KumuuaPassword ya simu huwezi hamisha, lakini bodaboda hana salio kubwa la kufanya atekwe. Pili wangekua na shida sana ya pesa wangebeba hiyo pikipiki
CC chiembeView attachment 3101087
Pichani ni kijana aitwaye Aziz Alumini Njombi wa huko wilaya Nanyumbu.
Huyu kijana hajihusishi na siasa wala mambo ya uanaharakati na kazi yake ni afisa usafirishaji a.k.a bodaboda.
Mnamo tarehe ya jana yaani 19/9/2024 alitekwa na mtu aliyembeba kama abilia ila inasemekana hakuwa abilia bali mtekaji.
Baadaye usiku wa kuamkia leo watekaji walipiga simu kwa mke wake wakitaka password ya simu ya mumewe.
Ila baadaye hao watekaji walimuua na leo maiti yake imeokotwa.
NB. Jeshi la polisi nchini, kutokana na kadhia hii ya utekaji raia ovyo hata vibaka, majambazi, wezi na kila muarifu wanatumia mbinu ya kuteja na kuua.
Kwa sababu inaonekana tayari ni njia iliyohararishwa wkt si kweli, ikiwa nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda raia kisheria basi tunaomba ulinzi.
Vinginevyo mruhusu sasa raia wajilinde katika hali yoyote.
CC. Nawasilisha.
Huyu si ndo kafiwa na babaake?
Huu uhalifu wa kawaida