Mwingine Auawa; Jeshi la Polisi Fanyeni Uchunguzi na Mtupe Taarifa.

Mwingine Auawa; Jeshi la Polisi Fanyeni Uchunguzi na Mtupe Taarifa.

“Polisi ni jamii na jamii ni polisi.” tushirikiane na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa taarifa na tushirikiane kufichua uovu unaoendelea.
Tutabaki tunailaumu polisi kila siku kwani wao ni wapiga ramli kua fulani leo atauwawa?
Kama n hapana bhasi sisi ndio wenye taarifa na hawa watenda maovu ni wana jamii wenzetu
Inayoharibika ni Tanzania
Waraia walitoa taarifa hizi usemazo kuhusu Mafwele mkuu kuna kilichofanywa?
 
Huyu kijana hajihusishi na siasa wala mambo ya uanaharakati na kazi yake ni afisa usafirishaji a.k.a bodaboda.
Nyie kwa akili zenu mnadhani usalama ukihitirafu wanapaswa kufa ni wapinzani tu?
 
Naishauri serikali kuwekeza zaidi kwenye michezo ya Judo,Kombat,Karatee na masho art, Tai kondo na Kunfuu na kuipa kipaumbele kama michezo mingine mfano mpira wa miguu kwa raia wake ili iwe sehem ya kuji defence zaidi hasa katika maswala mazima ya utekaji, uvamizi wa vibaka na makundi mengine hatarishi kwa raia mmoja mmoja ili kupunguza hizi lawama kwa jeshi letu la polisi itasaidia hii michezo faida moja wapo ya hii michezo anayekuja kwa nia ya kukujeruhi anakipata pata na wakati mwingine atawataja na walio mtuma, binafsi naipenda sana hii michezo napia huwa inasheria zake...mfano usichokoze, usiitumie kufanya uhalifu ni kwa ajili ya self defence na kuweka mwili kuwa mkakamavu.Michezo hii ilikuwepo kwa miaka ya 1990 sijui ilipotelea wapi lakini pia inaweza kutumika hata kwenye mashindano ya kitaifa na kimataifa....
 
“Polisi ni jamii na jamii ni polisi.” tushirikiane na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa taarifa na tushirikiane kufichua uovu unaoendelea.
Tutabaki tunailaumu polisi kila siku kwani wao ni wapiga ramli kua fulani leo atauwawa?
Kama n hapana bhasi sisi ndio wenye taarifa na hawa watenda maovu ni wana jamii wenzetu
Inayoharibika ni Tanzania
SAMIA HUJAMSIKILIZA
 
“Polisi ni jamii na jamii ni polisi.” tushirikiane na vyombo vya ulinzi na usalama kutoa taarifa na tushirikiane kufichua uovu unaoendelea.
Tutabaki tunailaumu polisi kila siku kwani wao ni wapiga ramli kua fulani leo atauwawa?
Kama n hapana bhasi sisi ndio wenye taarifa na hawa watenda maovu ni wana jamii wenzetu
Inayoharibika ni Tanzania
SAMIA HUJAMSIKILIZA
 
View attachment 3101087
Pichani ni kijana aitwaye Aziz Alumini Njombi wa huko wilaya Nanyumbu.

Huyu kijana hajihusishi na siasa wala mambo ya uanaharakati na kazi yake ni afisa usafirishaji a.k.a bodaboda.

Mnamo tarehe ya jana yaani 19/9/2024 alitekwa na mtu aliyembeba kama abilia ila inasemekana hakuwa abilia bali mtekaji.

Baadaye usiku wa kuamkia leo watekaji walipiga simu kwa mke wake wakitaka password ya simu ya mumewe.

Ila baadaye hao watekaji walimuua na leo maiti yake imeokotwa.

NB. Jeshi la polisi nchini, kutokana na kadhia hii ya utekaji raia ovyo hata vibaka, majambazi, wezi na kila muarifu wanatumia mbinu ya kuteja na kuua.

Kwa sababu inaonekana tayari ni njia iliyohararishwa wkt si kweli, ikiwa nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda raia kisheria basi tunaomba ulinzi.

Vinginevyo mruhusu sasa raia wajilinde katika hali yoyote.


CC. Nawasilisha.
Kwani ukijishughulisha na siasa ndio uuwawe?
 
View attachment 3101087
Pichani ni kijana aitwaye Aziz Alumini Njombi wa huko wilaya Nanyumbu.

Huyu kijana hajihusishi na siasa wala mambo ya uanaharakati na kazi yake ni afisa usafirishaji a.k.a bodaboda.


Mnamo tarehe ya jana yaani 19/9/2024 alitekwa na mtu aliyembeba kama abilia ila inasemekana hakuwa abilia bali mtekaji.

Baadaye usiku wa kuamkia leo watekaji walipiga simu kwa mke wake wakitaka password ya simu ya mumewe.

Ila baadaye hao watekaji walimuua na leo maiti yake imeokotwa.

NB. Jeshi la polisi nchini, kutokana na kadhia hii ya utekaji raia ovyo hata vibaka, majambazi, wezi na kila muarifu wanatumia mbinu ya kuteja na kuua.

Kwa sababu inaonekana tayari ni njia iliyohararishwa wkt si kweli, ikiwa nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda raia kisheria basi tunaomba ulinzi.

Vinginevyo mruhusu sasa raia wajilinde katika hali yoyote.


CC. Nawasilisha.
= abiria
= mhalifu
 
View attachment 3101087
Pichani ni kijana aitwaye Aziz Alumini Njombi wa huko wilaya Nanyumbu.

Huyu kijana hajihusishi na siasa wala mambo ya uanaharakati na kazi yake ni afisa usafirishaji a.k.a bodaboda.


Mnamo tarehe ya jana yaani 19/9/2024 alitekwa na mtu aliyembeba kama abilia ila inasemekana hakuwa abilia bali mtekaji.

Baadaye usiku wa kuamkia leo watekaji walipiga simu kwa mke wake wakitaka password ya simu ya mumewe.

Ila baadaye hao watekaji walimuua na leo maiti yake imeokotwa.

NB. Jeshi la polisi nchini, kutokana na kadhia hii ya utekaji raia ovyo hata vibaka, majambazi, wezi na kila muarifu wanatumia mbinu ya kuteja na kuua.

Kwa sababu inaonekana tayari ni njia iliyohararishwa wkt si kweli, ikiwa nyie ndiyo wenye jukumu la kuwalinda raia kisheria basi tunaomba ulinzi.

Vinginevyo mruhusu sasa raia wajilinde katika hali yoyote.


CC. Nawasilisha.
Unasubiria ruhusa ya kujilinda kutoka kwa nani?


Amka kulishakucha.kila mtu alinde Roho yake kadri awezavyo.
 
Back
Top Bottom