Mwingine Auawa; Jeshi la Polisi Fanyeni Uchunguzi na Mtupe Taarifa.

Kama walihitaji Namba ya siri kutoka kwa Mama, bila shaka huyo ni Jakobo.
 
Atakuja kusema "KIFO NI KIFO TU"

Anyway, RIP kwake Mwamba.
 
Kuna michezo mkishaianzisha basi mtegemee na mtakuwa mmewafumbua wengine macho kwa kuona inawezekana kumbe kufanya abcd.

Tukiendeleza hizi style Kwa kuona zinatusaidia kwenye ugali wetu na umaarufu wetu basi tutambue tunadhidi kuwapa watu ujasiri na mbinu, tutafika mahala watu wataanza hata kukodi wauwaji wa kimataifa kuanzia snipers, wapiga visu, wazee wa sumu nk
 
 

Attachments

  • 5828116-3deca1cd82eed06379e0266b4db1399a.mp4
    25.6 MB
Vijana tunaangamia na kuacha familia zinazotutegemea zikiwa zinateseka, ewe kijana lolote unalolifanya angalia kwanza wanaokutegemea. NI HAYO TUU KWA LEO..
 
vibaka,majambazi na waporaji ni wazi sasa wanatumia upepo wa kutekana kufanya matukio yao
Hao #1 wenyewe ndiyo watekaji,waporaji wakuu
Kwanini wengine wasipite na upepo wao maana wameona sasa imehalalishwa
Watekaji wana kinga kutoka juu
Wanajua hata upelelezi hautofanyika

Ova
 
Sahv hakuna ushirikiano wa polisi na jamii,jamii yenyewe haina imani nao
Wao watajuwa wanajilindaje

Ova
 
Kwa nchi yako kuzuia ni ngumu sana, moja wamesha halarisha pili hii njia ya kuruhusu hayo madude ni sehemu ya kuwafanya vijana kuwa busy na kusahau mambo ya msingi.
 
Wahalifu wanajuwa utekaji umeruhusiwa na wao wnapita
Mule mule

Ova
 
CC chiembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…