Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
unataka kuwatupia nani? ccm utawasikia ni Cdm and vice versaSiyo kila kitu muwatupie Polisi lawama. Hapana.
Analysis makiniSimfahamu, Ila nadharia tu bodaboda hawezi kuwa na pesa za kufanya atekwe., Lakini password ya simu haifanyi uweze ku-access miamala. Pia nimesema kama walihitaji sana hayo wangeondoka na pikipiki
UmemCC huyo jamaa yako mchonganishi, angalia alichokuwa kaandika ๐๐พ https://www.jamiiforums.com/threads...ingilia-mambo-ya-ndani-ya-nchi.2259059/unread
Kwanza futa, huyo siyo jamaa yangu abadani. NimemCC ili aone mawazo ya wengine akina sisiUmemCC huyo jamaa yako mchonganishi, angalia alichokuwa kaandika ๐๐พ https://www.jamiiforums.com/threads...ingilia-mambo-ya-ndani-ya-nchi.2259059/unread
Ilibidi hicho kifo kitokane na wasiojulikana au watekaji ili aikumbuke kauli yake vizuri kwamba wakipotezwa watu polisi wasijihusishe kwa lolote..!!! Mshenzi kabisa huyo..!!Ndie yy.