Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
ha ha ha ha....tunaita uchangudoa wa makanisa..
Nasoma neno kupitia Ipad yangu mkuu napia lazima ninukuu point maalumu kwenye hii Ipad yangu, hivyo najaribu kushare na familia yetu ya JF. Kuwa na amani hapa ni upako tupu mkuu
Ndugu issue si imani uliyozaliwa nayo, bali imani sahihi yenye kufuata amri za MUNGU ndani ya BIBLIA TAKATIFU na imani ya YESU pekee.Wewe uliyeko huko kwa Mwingira umefuata nini?nani kakutuma utuhabarishe mambo ya huko?
Hili dhehebu lisilo rasmi ndilo limewapumbaza wengi,wameacha madhehebu yao walikozaliwa leo wanatanga na njia,kazi kuwapelekea pesa akina Mwingira waneemeke ilhali kwao pangu pakavu tia mchuzi.Nikichukua madaraka nchi hii nitabadilisha katiba mara moja,madhehebu yasiyo rasmi yote nitayafutilia mbali,wakafufuane wenyewe huko na si kutapeli nguvu kazi ya taifa,vijana wengi wameacha kulima kazi kucheza sebene.
Ujue hata Mwingira naye ni Mshenzi, na mhudhuriaji naye ni mshenzi!
huyo atakua TISS.Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
Wewe uliyeko huko kwa Mwingira umefuata nini?nani kakutuma utuhabarishe mambo ya huko?
Hili dhehebu lisilo rasmi ndilo limewapumbaza wengi,wameacha madhehebu yao walikozaliwa leo wanatanga na njia,kazi kuwapelekea pesa akina Mwingira waneemeke ilhali kwao pangu pakavu tia mchuzi.Nikichukua madaraka nchi hii nitabadilisha katiba mara moja,madhehebu yasiyo rasmi yote nitayafutilia mbali,wakafufuane wenyewe huko na si kutapeli nguvu kazi ya taifa,vijana wengi wameacha kulima kazi kucheza sebene.
Katika kudhiriisha uapako wa Mungu unazidi kuenea kila sehemu mtumishi na mpwaka mafta mch Mwingira akiwa kwenye mahubiri Mungu akamuonyesha kuna lijamaaa limekuja kumspy katika mahubiri akasema nakwambia weweee doont waste ur tym here;jamaa gafula akakasirika na kutoka nje na kuanza kuandika jf yale yanayommwagilkia ;sasa Mtumishi anasema anatangaza moto wa Yesu kumshukia na sasa naona anazidi kuhangaika kwenye mtandao;Mungu wangu na maombi yangu Mungu akusamehe wewe ulietumwa
Kaka kw hivo leo umeenda kanisani kumwabudu Mungu na kusikiliza neno la Mungu ama ukijuwa JF , asa kwa staili hii ya kuwa ibadani unatoka unaingia JF unarudi tena unaingia JF eeh utaacha kuitwa spy kaka pamoja na hilo tushirikishe basi na Ujumbe wa neno la Mungu uliopata huko!!
hujui unaloxema
Haya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
nilishawahi kwenda hapo . hayo mahubiri noliyoyaaikia sikuweza kurudi tena. hayakuni bariki kabisa.