nyanidume,
kweli wewe inaonesha ni nyani, mbona hujiangalii??? unamcheka mwenzio makalio wewe hujioni??? wewe ulizaliwa hapo ulipo au wewe huna ibaada yeyote?? kama una ibaada basi na wewe ni "Cha...doa" pia kwani ulikuwa mahali fulani sasa upo hapo ulipo. Siungi mkono lugha chafu kutoka kwenye kinywa cha huyo mpakwa mafuta wa Bwana ila naomba Mungu ampe hekima na maarifa apate maneno yaliyo kolea munyu..
kweli wewe inaonesha ni nyani, mbona hujiangalii??? unamcheka mwenzio makalio wewe hujioni??? wewe ulizaliwa hapo ulipo au wewe huna ibaada yeyote?? kama una ibaada basi na wewe ni "Cha...doa" pia kwani ulikuwa mahali fulani sasa upo hapo ulipo. Siungi mkono lugha chafu kutoka kwenye kinywa cha huyo mpakwa mafuta wa Bwana ila naomba Mungu ampe hekima na maarifa apate maneno yaliyo kolea munyu..