flexibleman
Member
- May 3, 2013
- 26
- 10
mmmmmh hiii ndo tZ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama yeye ni msafi na anahubiri neno la bwana, haya matusi yanatoka wapi tena? asije akawa alisomea nigeriaLakini kwa nn wasiige mfano wa yesu? Alidhihakiwa na watu walitumwa kum spy na kumkebehi lakini hakuwahi kuwaita washenzi.
Hii imekaaje na anapata wapi ujasiri wa kutukana viongozi wakati hata biblia inasema tiini mamlaka maana kila mamlaka imetoka kwa Mungu..! Yy ni nan na anawafundisha nn kondoo wake ktk hili...?
Ndo maana mm naenda zangu kwa Katunzi pure EAGT hakuna ushenzi kama huu ni injili tu
MWINGIRA ANAFANYA KAZI YA mUNGU,SIONI SABABU YA MWINGIRA KUJIPIGANIA KWA SABABU MUNGU ANAYEMTUMIKIA ANA UWEZO MKUBWA,NIMEFURAHI SANA JINSI TB JOSHUA ANAVYOFANYA KAZI YA MUNGU BILA KUSHUTUMU WATU WANAOMPINGA WAZIWAZI,TUMPE MUNGU NAFASI YA KUJIONYESHA UWEZO WAKE
hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.
DUH!! Hapo nilichemka kwa kweli..nilioverlook!! sory Suzie!!Una aleji na wakaka nini? Au jina la baba ni Suzy?
UKWELI KUHUSU WABUNGE KINA DADA NA KUPENDA MANABII KUTAFITA UPAKO NA UTAWALAHaya anayasema saa hii wakati anatoa mahubiri yake hapa kanisani. Anadai ameonyeshwa serikali wamemtuma mtu aje hapa kanisani ku spy ndipo alipoanza wewe uliyetumwa ni mshenzi na mambo yako ni yakishenzi sababu waliokutuma ni washenzi. Haya ngoja nirudi kupata mahubiri nitarudi tena
1.Hayo yote yaliyoandikwa ni kweli na kuna kiapo Mahakama Kuu ya ardhi!!!Ndg Mwamakula,
Hivi umeandika haya yote hapa jamvini kwa sababu gani? Unataka kutujenga katika lipi? Nikupe ushauri kidogo. Wakati wowote unapotaka kuandika jambo linalo mhusu mtu jiulize maswali yafuatayo kwanza:
1. Je ninaloandika ni kweli?
2. Je lazima mimi niliandike?
3. Je nikikutana na Mhusika nitakuwa na ujasiri mbele zake?
4. Je nikiisha andika msomaji atanufaika na nini katika nilichoandika?
LAKINI, Uliisha muona Nabii Mwingira mkazungumza haya mambo? Namaanisha ulikwenda kwake maana naona una neno naye....
Nakutakia maombi mema...
Ndg Mwamakula,
Hivi umeandika haya yote hapa jamvini kwa sababu gani? Unataka kutujenga katika lipi? Nikupe ushauri kidogo. Wakati wowote unapotaka kuandika jambo linalo mhusu mtu jiulize maswali yafuatayo kwanza:
1. Je ninaloandika ni kweli?
2. Je lazima mimi niliandike?
3. Je nikikutana na Mhusika nitakuwa na ujasiri mbele zake?
4. Je nikiisha andika msomaji atanufaika na nini katika nilichoandika?
LAKINI, Uliisha muona Nabii Mwingira mkazungumza haya mambo? Namaanisha ulikwenda kwake maana naona una neno naye....
Wakili Mbuya alikwenda kumuona Mwingira baada ya mkewe kubakwa mfululizo na Mwingira.
Siku hiyo kulikuwa na kikao cha watu wanne:
1.Wakili Mbuya
2.Betha (mkewe Mbuya)
3.Eliakunda (mkewe Mwingira)
4.Mwingira
Betha alieleza bayana juu ya zinaa aliyofanya na Mwingira kwa mda mrefu ,na kutubu kwenye kikao.
Mkewe Mwingira alikiri kufahamu zinaa hiyo na kumusamehe .Lakini ilipofika zamu ya Mwingira aligoma na kusisitiza kuwa yeye ni Nabii na Mtume!!!!!!!!
Mbuya alichukia na ndiyo chanzo cha kumupeleka mahakamani!!!
Haya yote yapo katika kiapo cha mahakamani !!!
Kama unataka kujua ukweli fuatilia Mwingira si mtu mzuri kwa wake za watu!!!
Hata ukisoma kitabu cha Wito wake anasema alitokewa na mungu wakati yupo katika zinaa na kahaba ndipo akapata wito huo!!!
Soma kitabu chake kiitwacho 'WITO WANGU'
1.Hayo yote yaliyoandikwa ni kweli na kuna kiapo Mahakama Kuu ya ardhi!!!
2.Mimi naona yupo right kufichua Uchafu wa Mwingira kwa Mgongo wa dini .Mbona Fumanizi la Padri Ngowi lililtwa Humu??
3.Kitu kinacho hojiwa ni Ujasiri wa Mwingira kutukana Serikali wakati yeye anadhalilisha Ukristo na YESU Kristo!!!
4.Ubakaji wa Mwingira umeandikwa katika magazeti zaidi ya Matatu nchini na Mwingira akayahujumu kwa kununua yote .Je Kati ya Mwingira na wewe yupo anajua Ukweli??
5.Je Mkeo angebakwa na Mwingira ungefurahi????
6.Lengo na kuweka humu ni kutahadharisha wewe na mkeo muwe makini munapo kwenda Kwa Mwingira
...naunga mkono hoja asilimia miatano,na nakwenda kumsikiliza katunzi,he is real preacher...kaka eagt city centre sabasaba viwanjan hapa ndio sehemu ya kuabudu 7bu injili ya pale haijagoshiwa rev katunzi yuko juu
Hayo Maswali muulize Mwingira !!! Nenda Kule Mahakani Ujue mwenendo wa Kesi wametafsri maana ya neno hilounajua maana ya kubakag?kubaka ni kumforce mtu kufanya ngono,sasa huyo alkuwa anabakwa akiwa wapi,labda ungesema ni makubaliano yao
UKWELI KUHUSU WABUNGE KINA DADA NA KUPENDA MANABII KUTAFITA UPAKO NA UTAWALA
Kwa kutumia udhaifu huu Mwingira kakung'uta wake za watu wengi ,akina dada wakiwemo wabunge orodha inatisha lakini ukitaka kufahamu zaidi fuatilia ndoa na mdogo wa mke wa Gray Mgonja .Ndoa hiyo ilipaswa kufungwa Efatha lakini ikatishwa baada ya bi Arusi kufanyiwa deliverence kama hiyo. Familia ya Mgonja iliwahikufungua mashitaka kule USA lakini watawala wakazuia kipindi kile yupo Hazina!!!
Hata hivyo hii ni sehemu ya mgogoro uliojitokeza Mhakama kuu kanda ya DSM katika kesi namba 266/2010 iliyofunguliwa na Nabii Josephati Mwingira , mlalamikaji(Mwingira )anamulalamikia Eliya Hubert mbuya kuvunja mkataba wa kumupa sehemu ya kiwanja katika plot namba 548(a) eneo la Kawe Beach ambapo Mwingira amejenga nyumba ya thamani ya
Tshs 1,000,000,000 na kuishi humo.
Katika kesi hiyo Mbuya anatetewa na Wakili Michael Ngalo ambaye anajibu malalamiko ya Josephate Mwingira kama ifuatavyo:
‘That the plantiff's claim and assertion that he is a ‘holy spiritual leader, apostle and prophet' are matters whose varaciy and authenticity are only known to God and cannot be admitted or denied by the defendant but the defendant aver that the plantiff is a Founder and oversee of Efatha Ministry with a tittle of a Managinging director and also a trustee and chairman of its board of trustee of the Registered Trustee of Efatha ministry who in his personal capacity sexually assaulted and raped the Defendant's wife and defiled the defendant house on plot number 548 Kawe Beach Kinondoni DSM in despite of his claim for holiness as a spiritual leader .'
Wakili Michael Ngalo anaendelea katika Kipengele Cha nane kama ifuatavyo:
‘That in the meantime and then Unknown to the Defendant the Plantiff had sexually assaulted and raped the Defendant wife in the defendants house while the Defendant was at his place of work and managed to bribe the defendants wife into silence about the incident and later an adulterous association persited between the Plaintiff and the Defendants wile for a period of three years until God compelled the Defendant wife to make confession to the defendant about the adulterous association with the Plantiff".
Kwa ufupi Mbuya anamtuhumu Mwingira kuwa amekuwa ana mbaka mkewe aitwaye Bertha Evarist Mbuya kwa nyakati tofauti tangia mwaka 2003 hadi alipotubu mwenyewe mwaka 2009.
Maelezo yake yanaonyesha kuwa , Mbuya na Mkewe walijiunga na Kanisa la Efatha na kujitoa katika huduma hiyo kwa kuchangia michango mingi ikiwa ni pamoja na kutoa uwanja katika nyumba aliyojenga Mwingira.Mbuya anasema, mwaka 2009 mkewe( Bertha) alitubu kwake na kumwambia kuwa siku moja mwaka 2003 akiwa kazini ,yeye (mke) alizini na Nabii Josephati Mwingira ndani ya nyumba yao iliyopo karibu na nyumba ya Mwingira!!!
Bertha alimweleza Mbuya kuwa aliamua kutubu baada ya kupata ugonjwa mbaya uliomusumbua kwa muda wa miaka mitatu ambapo katika kumwomba Mungu alisikia sauti ikimwambia ili apone ni lazima atubu dhambi ya uzinzi kwa mumewe.
Baada ya kusikia hayo Mbuya na mkewe walikwenda kumukabili Nabii Josephati Mwingira na kumukuta yupo na Mkwewe (Elikunda Mwingira). Bertha aliweka wazi uzinzi aliofanya na Mwingira mbele ya kikao cha watu wane ambapo Mke wa Mwingira alikiri kusikia habari za uzinzi huo na Bertha alomba radhi kwa Elikunda (mke wa Mwingira) ambapo alimusamehe lakini Mwingira hakujibu chochote.
Nimesoma Kitabu cha wito wa Nabii Josephati Mwingira kaitka ukurasa wa 3 kichwa cha habari "Safari ya kwenda Mbinguni" katika eneo hilo Nabii Mwingira anasema kwamba :
Malaika mmoja akaniongoza ,tukaenda mpaka kwenye lango. Tuka ingia katika lile lango na kupelekwa moja kwa moja alikokuwako BWANA YESU. Nikaona watu wengi sana wako kule; siyo Malaika ila ni watu kabila mbali mbali –Waafrika na Wazungu. Sikuongeanao ila katika hali ya kuangalia angalia, nikawatambua Ibrahim, Mussa na Eliya. Kulikuwa na hali ya kumwelewa kila niliyemwona kwamba huyu ni furani na huyu ni Fulani. Kisha akanipeleka kwa BWANA YESU."
Ukitafakari simulizi hizi za Nabii Mwingira unaweza kujua kuwa aliyekuwa anaandika alikuwa bada na ulevi kichwani !!!
Kwa mujibu wa bible , Ibrahimu, Mussa na Eliya walitoweka muda mrefu sana kama ya Kristo kuja duniani na hata Mwingira haja zaliwa sasa ni ajabu sana kuona kuwa miaka ya 2000 Nabii Mwinira alikwenda Mbinguni na kuwatambua hao kwa kuangalia angalia badala ya kutambulishwa!!!
Mtu usiye mjua wala kumuona huwezi kumutambua bali kutambulishwa hata mtu mlevi na Nabii wa Uongo hawezi kukosea hatua hii. Sasa Mungu ametupa Ufunuo wa Kuwapima Manabii wa Uongo na kuwa kuwahoji.
Bibilia inasema tutamtambua mtu kwa matendo yake ya Mwili ili kubaini Roho ilimo ndani yake.
Kutokana na maombi ninayofanya sasa hivi , Roho wa Bwana amenifunulia mambo mazito ndani ya Wito wa Mwingira , ambayo ningependa Makanisa wayajue.
Tarehe 23/9/1978 ,Bi Mary Mtetemela na Stivin Weston Mtetemela walifunga Ndoa yao katika kanisa la katoliki Mkoa wa Kilimanjaro, Parokia ya KILEMA ambapo ndoa hiyo ilifungwa na REV Joseph Babu.
Katika ndoa hiyo Mch Christopher Mtikila alikuwa best man na Catherin Adolf alikuwa msimamisi wa Kike. Muda mfupi baada ya kufunga ndoa hiyo , Wanandoa walianza kuishi pamoja karibu na nyumba ,familia ya Mzee Adolf Einstein (mwenye asili ya Ujerumani) ambaye ni baba yake Catherini,
Catherini na Bi Mary walikuwa marafiki wakubwa kiasi cha Mary kumuchagua Catherini kuwa msimamizi wa ndoa yake.
Kipindi hicho ambacho Catherini alikuwa hajaolewa na anaishi karibu na Wanandoa hao alianza uhusiano wa Ngono na mume wa Mary na kuleta Vurugu kubwa.
Katika vurugu hizo tarehe 14/11/2003 Mary alikatwa mapanga katika hali ya kupambana ambapo mtuhumiwa namba moja alikuwa Catherini na taarifa hizi ziliripotiwa polisi Mwanza.
Baada ya hapo , Stivin Weston Mtetemela na Caherini Adolf waliamua kuhamia DSM na baadaye kujijenga Kibaha.
Bw stivi Weston Mtetemela anatajwa kuwa Mkandarasi na mjenzi wa Viwanja vya ndege, ambapo alijenda viwanja vya ndege kikiwemo ,kile cha Dodoma, msoma,Zanzibar na Songosongo.
Mr Mtetemela alikuwa na kampuni inayoitwa MILO –Construction iliyosajiriwa tarehe 30/6/1979 na mwaka 2005 ilipata tenda ya kujenga kanisa la Efatha (Kwa mjibu wa Kibao cha ujenzi kilichowekwa Efatha), linalo ongozwa na anayejiita Nabii na Mtume Mwingira na kukamilisha ujenzi wa kanisa hilo kabla hajaanza kuugua ugonjwa wa figo na kukimbizwa India mwaka 2008.
Katika kipindi chote cha ujenzi huo Catherini na Mtetemela walikuwa wanaishi kama mke na mume na Mwingira aliwabariki.
Wakati Mtetemela akiwa hoi kitandani , Catherini alifanya mambo mawili mazito kwa kushauliwa na Nabii Mwingira.
Moja walibadili jina na umiliki wa Kampuni ya MILO- Construction na kuita ACASTE-Construction (Afred Catherin Aldof….) ambayo mpaka sasa anasema ni mali yake.
Mwaka huohuo , wakati Mtetemela alikuwa hajitambui, catherini alifanya njama za kufunga ndoa kupitia kanisa la Efetha ambapo Mwingira alitoa maelekezo kwa catherin kwenda kutengua ndoa ya Mary na Mtetemela ambapo walikenda Baraza la Maaskofu kurasin na kuwakuta wahusika huku Mtetemela akiwa ameachwa kwenye gari akiwa hajitambui.
Catherin aliwakilisha vyeti vya ndoa kati ya Mary na Mtetemela ili kuvunja ndoa hiyo ili apate kufunga yeye na Mtetemela.
Maaskofu wa Katoliki waligoma kutii maagizo hayo kwa maelezo kuwa ni kinyume na bibilia lakini pia wakahoji kuwa ni kwa nini maamuzi hayo yanafanywa huku mwanaume akiwa hajitambui??
Baada ya hapo, Catherin alirejea Kwa Mwingira na kumupa taarifa hizo zilizo mhuzunisha. Nabii Mwingira aliamua kufungisha ndoa hiyo kinyume na bibilia na utaratibu wa serikali pia.
Tarehe 18/7/2009 Stivin Weston Mtetemela alifariki dunia na mazishi yake yalifanyika tarehe 21/7/2009 eneo la Kibaha.
Aliyeongoza mazishi hayo ni Nabii Josephati Mwingira na katika mazishi hayo alimuzia Mary Mtetemela kuweka udongo Kwenye kaburi na kumutambua Catherin kama mjane halali wa marehemu, mwenye masikio na asikie maneno haya!!!
Hivi ninavyo zungumuza Catherini amekalia mali zote za Marehemu na mwanzono mwa mwaka huu alimutukana Mch mtikila matusi ya nguoni wakati anamsihii aachie mali za marehemu. Catherini anajieleza kuwa yeye ndiye mke halali wa Mtetemela na kwamba alianza kufanya naye mapenzi wakati yeye yupo form-two. Wakati wa mabishano hayo , Catherin alimtukana Mtikila centra polis DSM Mbele ya SSP PILI ambapo hadi naandika makala haya ametupwa rumande na yupo SEGEREA kwa kudharau taratibu za dhamana katika kesi kutukana matusi ya nguoni namba 648/2012 mahakama Ilala. Huyu ndiyo muumini wa Mwingira!!!
Baada ya kupata ushuhuda huu nimeanza kupata picha kuwa YESU yu Mawinguni wapendwa tujiandae kwa unyakuo kwa kujitakasa na kuombeana!!!
Ni jambo la kushangaza kuwa Mwingira ambaye aliwahi kuwa Mkatoliki anadharau ndoa za Kikatoliki na hapa ipo hatari ya wanawake wanao abudu efatha na waliofunga ndoa kanisa Katoliki wakaona ndoa zao hazina maana mbele ya Mwingira na wakaanza kufikiria vinginevyo.
Ukweli ni kwamba ‘KILA AMWACHAYE MKEWE NA KUOA MWINGINE AZINI NA AMUOYE YEYE ALIYE ALIYEACHWA NA MUMEWE AZINI ' . Tunaweza kupata maneno haya katika vifungu vifuatavyo ili kuimarisha ndoa zetu na kuwa tayari kwa safari ya kwenda Mbinguni na siyo kwa Mwingira kwani hana Mbingu!!!
(1Wakor 7:10-11, Mathayo 5:32, Mathayo 19;9, Luka 16:18)
Kumbuka kushika sana neno kipindi hiki cha dalili za Sodoma na Gomora.
Nimeamua kuishia hapa na sasa naenda kwenye maombi ili kupata mengi zaidi, Mungu awabariki sana.
Uasherati usitajwe kwenu kamwe!!!!huwezi kumhukumu mtu guilt kama mahakama hajamhukumu, unaushahidi gani na tuhuma zoote ulizoandika, u ni uzushi unaenezwa na WASHENZI
Viongozi gani hao?? JK,pinda???