Mwinyi Mkuu Katundu atekwa na wanaodaiwa kuwa wanausalama, hajulikani alipo. Huu ni mtihani wa kwanza kwa Diwani Athuman

Wanausalama sio machizi.
Ninachoamini ukiondoa issue zinazohusu siasa wakikuweka kwenye target basi wewe ni mtu hatari. Tusianze tu kuwalaumu maafisa usalama bila kujua huyu mtu ana mtandao gani?
Kesi zingine si za kupelekwa mahakamani ni za kumaliza juu kwa juu kwa afya ya Taifa
 
Najua ni muhimu kua na passport na ni haki ya kila raia. Lakini hebu niambie ni machinga wangapi wana passport?

Huyu alisafiri kwenda wapi? Mwenyeji wake alikua na nani?

By vitambulisho vyote naamini imemaanisha na kadi za benki. Hii deal naona ni kubwa kuliko tulivyoletewa. Isipokua hao 'wanausalama' namna waliyomfuata ndiyo tatizo. Ila pia wanaweza wasiwe wanausalama.
 
Kuuliza siyo ujinga! Unaweza tu ukanifahamisha bibie! Sasa unataka wote tuwe wa mjini kama wewe!! Mimi naongelea katika uhalisia! Mmachinga kumiliki hati ya kusafiria.


Cha ajabu kipi hapo? kwani kuwa machinga ina maana wewe huna direction? hujui kama kuna kwenda hija?
 
Tuliza mpasuko dada! Utapata stress bure!


Mpasuko unao wewe na kiranga chako..... stress ni zako mwenyewe kuona kumiliki pass ya kusafiria lazima uwe afisa na sio machinga au mtu mwingine.......... Ma house maid kibao wana pass zao nao tuseme je?
 
Komenti ya kipumbavu kabisa..,..
 
Cha ajabu kipi hapo? kwani kuwa machinga ina maana wewe huna direction? hujui kama kuna kwenda hija?

Umeeleweka. Poleni sana kwa kupotelewa na ndugu yenu Mwinyi Mkuu. Malumbano kati yetu hayatasaidia chochote.
 
Kuwa pasi ni ajabu?
Comments zako zimekutambulisha wewe ni wa aina gani.
Kumbuka sote ni wa Tanzania regardless kila mtu ana imani yake. TANZANIA KWANZA.
Machinga ana hati ya kusafiria..! I wish ningeishika hiyo hati niangalie mihuri... Then ndio tutajua machinga kweli au lah na ana la kueleza au lah..
 
Mbona picha yake inaonekan ni kijana then mmesema ni mzee.
 
Machinga ana hati ya kusafiria..! I wish ningeishika hiyo hati niangalie mihuri... Then ndio tutajua machinga kweli au lah na ana la kueleza au lah..
Kwani hati ya kusafiria kuwa nayo hadi uwe na kampuni 10?
Wabongo bhana.
 
Mbona picha yake inaonekan ni kijana then mmesema ni mzee.
Ni mfanya biashara ndogo ndogo (machinga), aliyeweza kumiliki hati ya kusafiria (passport), alijitunza na kula vizuri ndio sababu bado alionekana kijana.
 
Mlifanya kosa kuwaruhusu waondoke nae, mngepijga kelele majrani wakajazana kama ilivyokuwa kwa Kabendera
 
Ni mfanya biashara ndogo ndogo (machinga), aliyeweza kumiliki hati ya kusafiria (passport), alijitunza na kula vizuri ndio sababu bado alionekana kijana.
Ofcoz kwa eneo kama tandahimba atakuwa alikuwa na movements nyingi hadi msumbiji, so ilibidi awe nayo tu.
 
Taifa letu ni laamani ila kama ametoweka kwa mauwaji yanaendelea Tandaimba basi pongezi kwa vikosi vyetu kwakutukamatia maharamia wanao waangamiza watu wasio na hatia. Uislam ni din ya aman tusikubali watu wanao jiita waisilam wanao uwa watu au kufadhili maharamia.
 
Vikosi maalumu hawavai nguo za askari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…