Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #81
Gaidi hukamatwa kigaidi mkuu! Hata Wamarekani mnaowasifu kwa demokrasi magaidi waliwakamata na kuwapeleka Quantanamol mkuu!
Hahahahaha!!! Ni kweli lakini kwa awamu hii matukio hayo yamekuwa mengi sana!! Halafu inachotia shaka, ni baada ya wanaharakati, wanasiasa, kuwa wanatekwa, ovyo ovyo!! Kweli dunia nzima haya mamboyapo, lakini hapa kwetu yanafanywa kishamba sana!!Tunacho fail? Kwamba na mimi nimo? Ahahah mkuu hapo unanionea... Lakini pia tukirudi kwenye mada, kuna vitu vingine hivi vyombo haviwezi kuingiliana kwa sababu za kiusalama zaidi..
Aina ya pass aliyokuwa nayo ni muhimu kujulikana maana wakazi wa mipakani wengi hutumia zile za dharuraMtwara na nchi za jirani kama NNE au tano ni karibu sana... Tafakari...
Watanzania sio wajinga...
Si umesikia mchana anakuwa kwenye kazi zake,ndo maana wanaenda usikuInshu hapo sio kuwa na passport, au huwa ana kwenda wapi, mnacho fail, ni kitu kidogo tu, njia za ukamataji, kwani ukiwatuma polisi wakaenda mchana tu, na kumkamata, na taratibu nyingine zikafuata, kuna tatizo? Kwani serikali zote huko nyuma hakukuwa na watu kama hawa?lakini approach haikuwa hii!! Ilani njia moja ya serikali zile zinazotisha wananchi!! Halafu unasikia viongozi wa dini wanatoa mapambio ya kusifia tu ili mambo yao yanyooke tu!! Bora yeriko nyerere anayeabudu mizimu ya mababu.
Dah! Pole MkuuTanzania kuna ugaidi gani?
Tumasubiri atoreke kutoka huko alipo ili aje kufungua malalamiko yake ndipo tuweze kufuatilia.
Muogope Mungu ndugu yangu.
Hujafa hujaumbika
Shame shame sana kwa yanayoendelea nchini now.
Hivi pamoja na doa la kupotea Ben Saanane na Azory Gwanda bado haya mambo yanaendelea na hakuna majibu ya serikali?
Hata kama ni usiku, si wanakwenda polisi, na kuwaambia ndugu, kesho njooni kituo fulani cha polisi, sasa polisi, hawajui nao!!Si umesikia mchana anakuwa kwenye kazi zake,ndo maana wanaenda usiku
acha ujuha kwani mmachinga hana haki ya kupata hati ya kusafiria? nyie watu mna matatzo sana,Wait a minute, yaani machinga ana hati ya kusafiria ?? ( Passport)?? kuna harufu ya jambo hapa.
Acha kukremu mkuu.Machinga ana hati ya kusafiria..! I wish ningeishika hiyo hati niangalie mihuri... Then ndio tutajua machinga kweli au lah na ana la kueleza au lah..
Kwa akili za haraka haraka uko sahihi MkuuAcha kukremu mkuu.
Kwani passport inachagua mtu?Passport ni haki ya kila mtanzania.
Wait a minute, yaani machinga ana hati ya kusafiria ?? ( Passport)?? kuna harufu ya jambo hapa.
Hamna cha akili za haraka haraka.Kwa akili za haraka haraka uko sahihi Mkuu
Uko very far na kujua jinsi mambo yanavyoenda... Jiongeze Mkuu!Hamna cha akili za haraka haraka.
Kama ana makosa, zipo taratibu za kuwakamata watu na wanakamatwa na Polisi.
Cha msingi kwa sasahivi polisi ichukue jukumu la kumtafuta kwa kushirikiana na familia yake.Wasiishie tu kusema,"Sisi hatujamkamata".
Kwani amewataja Tiss?Amechukuliwa usiku wa manane na watu waliojitambulisha kwamba ni askari ambao walikataa kutoa vitambulisho, sasa kwa nini wanafamilia walisubiri siku nne? Kwanini hawakuanza kufuatilia usiku huo huo? Siku hizi kuna simu za mkononi Je, walianza hizo pilika pilika na kuuliza?
Post ya Zito inaonyesha kwamba TISS wanahusika, Je, anao ushahidi?