Mwinyi Zaheera; Shaban Djuma Kiwango Kimeshuka na Amekua Bonge Sana Siku Hizi

Mwinyi Zaheera; Shaban Djuma Kiwango Kimeshuka na Amekua Bonge Sana Siku Hizi

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
FB_IMG_16661045912570595.jpg
🗣 “Namwambia mara kwa mara Djuma Shabani kwanza ananenepa sana amekuwa mzito, hawezi kucheza mechi ngumu kama na Al Ahly, Esperance, Wydad. Djuma hana tena speed kama atakutana na winga ana akili sana hawezi kugusa mpira hata mara moja.”

- Mwinyi Zahera akizungumzia mlinzi wa kulia wa Yanga SC, Djuma Shabani kupitia EFM Sports HQ.

#KitengeSports
 
Dah! Maisha yanakwenda kasi sana Djuma huyu huyu... ila nadhani kuna kitu hakipo sawa Yanga..
Huyu kabaki jina tu na kuchezea uzoefu. Atabaki kuwakimbiza ihefu na KMC labda
 
Mwinyi Zahera bado anaitamani sana kazi ya ukocha pale Yanga! Sema tu ndiyo hivyo tena, Profesa na Kaze wanamuwekea kiwingu.

Ingawa kwa Djuma Shabani na baadhi ya Mastaa wenzake, kuna ukweli wa hicho alichosema. Waongeze bidii ya kufanya mazoezi, yakiwemo yale ya binafsi! ili kupunguza vitambi..
 
Halafu mwisho wa siku wananyukwa huku wimbo wao ukibaki DAIMA MBELE NYUMA MWIKO, sijui ni mwilo gani huo wanaouzungumzia! Ni mwiko huu wa kusongea ugali au mtalimbo!
Nimeona mahali eti Daima Mbele,
Nyuma maelewano
 
Mwinyi Zahera bado anaitamani sana kazi ya ukocha pale Yanga! Sema tu ndiyo hivyo tena, Profesa na Kaze wanamuwekea kiwingu.

Ingawa kwa Djuma Shabani na baadhi ya Mastaa wenzake, kuna ukweli wa hicho alichosema. Waongeze bidii ya kufanya mazoezi, yakiwemo yale ya binafsi! ili kupunguza vitambi..

Sasa umemponda halafu umeungana na kabuki yake, na umeenda mbali zaidi kwa kuongeza na wachezaji wengine.

Utopolo akili zenu zimeenda wapi?
 
Mwinyi Zahera bado anaitamani sana kazi ya ukocha pale Yanga! Sema tu ndiyo hivyo tena, Profesa na Kaze wanamuwekea kiwingu.

Ingawa kwa Djuma Shabani na baadhi ya Mastaa wenzake, kuna ukweli wa hicho alichosema. Waongeze bidii ya kufanya mazoezi, yakiwemo yale ya binafsi! ili kupunguza vitambi..
Zahera..”Ukienda Tp Mazembe huwezi pata rais MoiseKatumbi anakutana na wachezaji kila saa kupiga mustory kupigiana masimu,chezaji wakisikia rais anakuja wanajua leo kuna kitu musito naendelea,hapa rais wa timu na na chezaji wamezoeana mupaka chezaji hawaeshim ongozi ya chini”….
 
Zahera..”Ukienda Tp Mazembe huwezi pata rais MoiseKatumbi anakutana na wachezaji kila saa kupiga mustory kupigiana masimu,chezaji wakisikia rais anakuja wanajua leo kuna kitu musito naendelea,hapa rais wa timu na na chezaji wamezoeana mupaka chezaji hawaeshim ongozi ya chini”….
Kama kweli amesema hayo maneno, basi kibarua chake kiko mashakani.
 
Sasa umemponda halafu umeungana na kabuki yake, na umeenda mbali zaidi kwa kuongeza na wachezaji wengine.

Utopolo akili zenu zimeenda wapi?
Kusema anaitamani kazi ya ukocha ndiyo kumponda! Kuwa serious wewe.
 
Back
Top Bottom