Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
inawezekana ni kweli, lakini hakuna chochote alichopata mashindano yote huwa yanamuangalia wa kwanza, wa pili na wa tatu, hata kama atatangazwa mmoja, lazima hao wengine waangaliwe, anavyosema alipewa tu ticket Kuna uhalisia?Hii ilisemwa wakati huohuo labda kama waandishi hawajui ngeli, kulikuwa hakuna zawadi ya mshindi wa pili na ukitaka kuamini hilo waulize hao waandishi ilikuwa ni kiasi gani zawadi ya mshindi wa pili, kila mwandishi atakuja na jibu lake.