Mwisho Mwampamba: Vyombo vya habari viliniandika kwa uongo, hakuna pesa yoyote niliyoshinda kwahio sio kweli eti nilifirisika

Mwisho Mwampamba: Vyombo vya habari viliniandika kwa uongo, hakuna pesa yoyote niliyoshinda kwahio sio kweli eti nilifirisika

Hii ilisemwa wakati huohuo labda kama waandishi hawajui ngeli, kulikuwa hakuna zawadi ya mshindi wa pili na ukitaka kuamini hilo waulize hao waandishi ilikuwa ni kiasi gani zawadi ya mshindi wa pili, kila mwandishi atakuja na jibu lake.
inawezekana ni kweli, lakini hakuna chochote alichopata mashindano yote huwa yanamuangalia wa kwanza, wa pili na wa tatu, hata kama atatangazwa mmoja, lazima hao wengine waangaliwe, anavyosema alipewa tu ticket Kuna uhalisia?
 
Hii ilisemwa wakati huohuo labda kama waandishi hawajui ngeli, kulikuwa hakuna zawadi ya mshindi wa pili na ukitaka kuamini hilo waulize hao waandishi ilikuwa ni kiasi gani zawadi ya mshindi wa pili, kila mwandishi atakuja na jibu lake.
Pia wabongo wana roho mbaya waliamua tu kumuharibia
 
inawezekana ni kweli, lakini hakuna chochote alichopata mashindano yote huwa yanamuangalia wa kwanza, wa pili na wa tatu, hata kama atatangazwa mmoja, lazima hao wengine waangaliwe, anavyosema alipewa tu ticket Kuna uhalisia?
Uhalisia upo kwa mujibu wa waandaaji, mwisho alichoambulia ni umaarufu na pesa za matangazo baada ya big brother, lakini kusema alipewa hela nakataa kwakuwa waandaaji wenyewe walisema hawana zawadi ya mshindi wa pili wala watatu.
 
Vijana wengi hawana Elimu ya Uwekezaji, ndiyo maana wengi wakifanikiwa kupata bingo huishia kutumia kwenye Ulevi na Wanawake tu

Mwangalie Mwisho Mwampamba na ndugu yake Idrisa Sultan

Diamond Platinums, alishtuka mapema kuanza kuwekeza vinginevyo naye angeingia kwenye hili kundi
 
Vijana wengi hawana Elimu ya Uwekezaji, ndiyo maana wengi wakifanikiwa kupata bingo huishia kutumia kwenye Ulevi na Wanawake tu

Mwangalie Mwisho Mwampamba na ndugu yake Idrisa Sultan

Diamond Platinums, alishtuka mapema kuanza kuwekeza vinginevyo naye angeingia kwenye hili kundi
Hakika
 
Huyu mbuzi nilimkuta pale nje Billicanas usiku anatukana watu na anawaambia kwamba yeye sio mwenzao, yaani yeye anaongea nao direct.
Kwa ufala wake alifikiri Big brother sijui ni university ?
Hahaha miaka ya 2000 mkuu eti??
 
Mwamba anasema yeye alikuwa mshindi wa pili na alichoambulia ni kupewa ticket za go and return kwenda capetown, bed and breakfast.

Alipowaambia kama anaweza kubadili wampe pesa, walikataa.

Unaweza kumsikiliza zaidi kwenye video hizi mbili:


View: https://youtu.be/TerskU4goEk?si=9i_DJGdlvFY7l59m


View: https://youtu.be/KWuJuYhuouc?si=NwNOWNH2Jg1AHdA6

Lile GHOROFA allilopanga makongo na kuishi na Ray C alipewa bure ? Ile Subaru aliyokuwa nayo alipewa bure ? Kila siku alikuwa anaamka mchana na kucheza pool table na wana pale makongo mwisho na kuwanunulia bia . Je hizo bia alikuwa anapewa bure ?
 
Mtu mweusi na mafanikio ni kama ule msemo wa masikini akipata m***ko ulia pwataa
Hatari sana Mkuu

Hiyo tabia wanayo pia wachimbaji wa dhahabu, yaani mtu anaweza kupiga milioni 200 lakini asifanyie jambo lolote la maana

Zaidi ya kuona amepiga picha na hao celebrates wetu akina Niffer ama Iren 🙌
 
Hatari sana Mkuu

Hiyo tabia wanayo pia wachimbaji wa dhahabu, yaani mtu anaweza kupiga milioni 200 lakini asifanyie jambo lolote la maana

Zaidi ya kuona amepiga picha na hao celebrates wetu akina Niffer ama Iren 🙌
Si ndio maana hata baa na malaya woote huwa wanasogea karibu yao

Angalia nyamongo, mererani
 
Back
Top Bottom