Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Labda yamemfika kooni ameshindwa kuvumilia🤣🤣🤣🤣🤣 Jamaa amesubiria karibia miongo miwili ndio aseme mbona hakusemaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda yamemfika kooni ameshindwa kuvumilia🤣🤣🤣🤣🤣 Jamaa amesubiria karibia miongo miwili ndio aseme mbona hakusemaga
Hahaha miaka ya 2000 mkuu eti??
Sijui nilie sijui nichekeNdio miaka ile kipindi anaonekana sana Dar. Kuna siku nilimkuta yuko na Ray C na rafiki zao wanalewa kule South beach, Kigamboni. Nimerudi mitaa ya kati kabla sijakaa chini naona hao wamenifuata eti nimewaibia simu. Kuna mtu aliiba simu ya Ray C. Mi nafikiri huyu huyu Mwisho Ndio aliiba
Kabisa Mkuu, ndiyo maana ni wachimbaji wachache sana huwa wanatoboa maishaSi ndio maana hata baa na malaya woote huwa wanasogea karibu yao
Angalia nyamongo, mererani
Hivi huwa madini yana ujinga gani maana ukiangalia process ya kuyapata ni ngumu na hatari mnoo lakini majamaa wakizipata huwa wanazitumbua kama hakuna kufaHatari sana Mkuu
Hiyo tabia wanayo pia wachimbaji wa dhahabu, yaani mtu anaweza kupiga milioni 200 lakini asifanyie jambo lolote la maana
Zaidi ya kuona amepiga picha na hao celebrates wetu akina Niffer ama Iren 🙌
Wala hakuna maajabu mkuu nitabia tu ya mwafrika alafu ukute hana kitabu , mhuni mhuni au ana kaushamba flani hiviHivi huwa madini yana ujinga gani maana ukiangalia process ya kuyapata ni ngumu na hatari mnoo lakini majamaa wakizipata huwa wanazitumbua kama hakuna kufa
Wala hakuna maajabu mkuu nitabia tu ya mwafrika alafu ukute hana kitabu , mhuni mhuni au ana kaushamba flani hivi
Ingawa sio wote
Angesema angempataje sasa Ray c?mbona hakusema wakat huo huo wakati vyombo vya habari vinampamba
Ishu ya matumizi ya hela haiangalii kitabu. Mimi nina kitabu cha kutosha tu ila huwa ninazitumbua hakunaga mfano.Wala hakuna maajabu mkuu nitabia tu ya mwafrika alafu ukute hana kitabu , mhuni mhuni au ana kaushamba flani hivi
Ingawa sio wote
kwamba alimtafuna Rayc bure??Angesema angempataje sasa Ray c?
Mwamba anasema yeye alikuwa mshindi wa pili na alichoambulia ni kupewa ticket za go and return kwenda capetown, bed and breakfast.
Alipowaambia kama anaweza kubadili wampe pesa, walikataa.
Unaweza kumsikiliza zaidi kwenye video hizi mbili:
View: https://youtu.be/TerskU4goEk?si=9i_DJGdlvFY7l59m
View: https://youtu.be/KWuJuYhuouc?si=NwNOWNH2Jg1AHdA6
Hakupewa helaAlipewa ama lah. Maisha ni yake.
Lakini mbona hakuungumza kipindi kile?
MWISHO HUYU HUYU AU MWINGINE?Umaarufu una mwisho
😂😂😂😂 JF!Ndio miaka ile kipindi anaonekana sana Dar. Kuna siku nilimkuta yuko na Ray C na rafiki zao wanalewa kule South beach, Kigamboni. Nimerudi mitaa ya kati kabla sijakaa chini naona hao wamenifuata eti nimewaibia simu. Kuna mtu aliiba simu ya Ray C. Mi nafikiri huyu huyu Mwisho Ndio aliiba
Dah, nmewaza ujinga sana ila zote ni pozi za mechi 😂😂😂Inafikirisha sana!
View attachment 3155301
Labda kama umezaliwa mwaka 2010. Hili jambo lilisemwa hadharani kabisa. Mwisho niko nae kwenye grupu fulani lenye diaspora na experts wengi huwa anatema madini mno.mbona hakusema wakat huo huo wakati vyombo vya habari vinampamba