Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 606
Mbaya zaidi hajui mamake alimkosea nn babake had akawaacha..
Wanawake sio watu jamani,ngoja aoe atajua tu
Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.
Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.
Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY.
Nyumbani amevuruga nini wakati wenye akili timamu wanafahamu wazi kwamba kuna vilaza waliojawa husuda walijipanga kutaka kumuharibia?Nadhani ni mda wa Diamond kujitathimini alianza kuvuruga Ujerumani akavuruga tena UK sasa hadi nyumbani????
Wakati Diamond amepewa za mbavu na babake, ulienda kumshauri babake asimtupe mwanae?Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.
Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.
Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY
Nyumbani amevuruga nini wakati wenye akili timamu wanafahamu wazi kwamba kuna vilaza waliojawa husuda walijipanga kutaka kumuharibia?
Nadhani ni mda wa Diamond kujitathimini alianza kuvuruga Ujerumani akavuruga tena UK sasa hadi nyumbani????
Mosi, nianze na wewe kwanza ili nithibitishe kwamba husumbuliwi na husuda. Mara nyingi naona post zako zinazoashiria chuki yako dhidi ya Diamond. Now tell me, Diamond amekufanya nini wewe BINAFSI au familia yako? Pili, tuje kwenye show ya jana... Hivi ilikuwaje Kiba anaanza kushangiliwa kabla hajaonesha hajafanya chochote? Wale watu walishangilia kutokana na uwezo au ushabiki tu? Tatu, hivi nini KIba alifanya pale jukwaani cha kuhitaji kushangiliwa? Nne, wale waliokuwa wamejipanga kumzomea Diamond... walifanya hivyo kv Diamond hajui au walipanga tu kufanya hivyo vinginevyo haingii akilini mtu unaanza kuzomea kabla mtu hajapanda jukwaani!Wewe mwerevu umefanya nini?acheni kuleta blah blah zenu hapa kubalini tu ndomo wenu kakalishwa basi...
Mosi, nianze na wewe kwanza ili nithibitishe kwamba husumbuliwi na husuda. Mara nyingi naona post zako zinazoashiria chuki yako dhidi ya Diamond. Now tell me, Diamond amekufanya nini wewe BINAFSI au familia yako? Pili, tuje kwenye show ya jana... Hivi ilikuwaje Kiba anaanza kushangiliwa kabla hajaonesha hajafanya chochote? Wale watu walishangilia kutokana na uwezo au ushabiki tu? Tatu, hivi nini KIba alifanya pale jukwaani cha kuhitaji kushangiliwa? Nne, wale waliokuwa wamejipanga kumzomea Diamond... walifanya hivyo kv Diamond hajui au walipanga tu kufanya hivyo vinginevyo haingii akilini mtu unaanza kuzomea kabla mtu hajapanda jukwaani!
Hahaaaaaaa kubakwa tena???
jana kwenye Fiesta wakati kapanda jukwaani alikua anazomewa na mamluki huku watu wakitaja Ali Kiba...
Ali Kiba yeye alivyopanda alikua anashangiliwa mwanzo mwisho... ko kilichompata jana ni hizo Booooooo za wananchi
Samehe 7*70 usipende kurudisha kisasi maisha yenyewe yapo wapi??mie ni mfano hai kwa mama yangu alipata shida sana kwa dingi yangu,pamoja na sisi watoto wake.Sasa mimi copyright na yy kidogo mateso yalipungua lakin the way mama alivyopata shida vileee tungekuwa tunaongea mengine lakin mimi ndo namsaidia sana mpk kuna kipindi huwa ananiambia mwanangu umekua!!!!
Kuomba msamaha ni ngumu lakini namuona ana appreciate nifanyacho kwake lakin pia ananiombea baraka.....sometimes ananiita anachukua kichwa changu ananipa baraka.