Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

mzazi alikimbia majukumu yake so leo baada ya mafanikio ndio anaona umuhimu wa mtoto....guys take you're responsibility for taking care your family...
Jamie Fox American actor alimkana dingi yake kisa alimuuza but jirani yake akagoma asiuzwe na ndiye aliyewajibika kum care then now ana mafanikio dingi anajitokeza...jamaa kamkana hadharani.
 
Mambo ya kifamilia hatuyajui.
Anajua MAMA YAKE na BABA yake.

Hapa mtapika habari tu.
 
Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.

Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.

Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY.

Unajua baba yake aliuza nyumba kkoo na kununua nyumba mbovu manzese na magari mabovu? Bibi yake mzaa baba ndio kaleta yote hawataki kina diamond watoto haramu.
 
Nadhani ni mda wa Diamond kujitathimini alianza kuvuruga Ujerumani akavuruga tena UK sasa hadi nyumbani????
 
Wapiga ramli mlianza kutabiri mwisho wa Diamond mara baada ya tuzo za MTV kule South Africa... Hata hivyo, bado kijana anadunda! Mkaja kutabiri baada ya tuzo za BET... yaani siku zote mnamuombea mtu aporomoke... watu mna roho mbaya utafikiri mmezaliwa mkiwa na damu za kichawii! Nimepata kuuliza watu kadhaa humu jamvini kwamba wao binafsi au familia zao wamefanywa nini na Diamond, hamna majibu hali inayoonesha mmejawa na chuki tu tena zile tunazoita za jinsia ya pili!
 
Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.

Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.

Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY
Wakati Diamond amepewa za mbavu na babake, ulienda kumshauri babake asimtupe mwanae?
 
Nyumbani amevuruga nini wakati wenye akili timamu wanafahamu wazi kwamba kuna vilaza waliojawa husuda walijipanga kutaka kumuharibia?

Wewe mwerevu umefanya nini?acheni kuleta blah blah zenu hapa kubalini tu ndomo wenu kakalishwa basi...
 
Wewe mwerevu umefanya nini?acheni kuleta blah blah zenu hapa kubalini tu ndomo wenu kakalishwa basi...
Mosi, nianze na wewe kwanza ili nithibitishe kwamba husumbuliwi na husuda. Mara nyingi naona post zako zinazoashiria chuki yako dhidi ya Diamond. Now tell me, Diamond amekufanya nini wewe BINAFSI au familia yako? Pili, tuje kwenye show ya jana... Hivi ilikuwaje Kiba anaanza kushangiliwa kabla hajaonesha hajafanya chochote? Wale watu walishangilia kutokana na uwezo au ushabiki tu? Tatu, hivi nini KIba alifanya pale jukwaani cha kuhitaji kushangiliwa? Nne, wale waliokuwa wamejipanga kumzomea Diamond... walifanya hivyo kv Diamond hajui au walipanga tu kufanya hivyo vinginevyo haingii akilini mtu unaanza kuzomea kabla mtu hajapanda jukwaani!
 
Muanzisha mada wivu wa kike huo..kumuwazia mwenzio atashuka lini.mambo ya familia ya diamond yanakusumbua vp..
 
Mosi, nianze na wewe kwanza ili nithibitishe kwamba husumbuliwi na husuda. Mara nyingi naona post zako zinazoashiria chuki yako dhidi ya Diamond. Now tell me, Diamond amekufanya nini wewe BINAFSI au familia yako? Pili, tuje kwenye show ya jana... Hivi ilikuwaje Kiba anaanza kushangiliwa kabla hajaonesha hajafanya chochote? Wale watu walishangilia kutokana na uwezo au ushabiki tu? Tatu, hivi nini KIba alifanya pale jukwaani cha kuhitaji kushangiliwa? Nne, wale waliokuwa wamejipanga kumzomea Diamond... walifanya hivyo kv Diamond hajui au walipanga tu kufanya hivyo vinginevyo haingii akilini mtu unaanza kuzomea kabla mtu hajapanda jukwaani!

Hahahaaaaa,ahsante sana kwa kunifuatilia...you are my fan,huh????
Sikiliza wewe,wakati huyo ndomo anahustle kutoka enzi hizo anauza mitumba maskani yake yalikua magomeni na moja kati ya watu waliomsaidia ni mtu wangu wa karibu sana kafanikiwa sasa wala hamkumbuki tena,akipita na gari kioo tinted wala hashushi...
Alafu sio lazima nimpende huyo ndomo wako,namkubali sana Kiba coz hajawahi kuni let down hata siku 1...Napenda muziki wake pia lifestyle yake,upo????
 
jiulize kama diamond angekuw chokambaya mpakasasa hyu dngi ajipndekeza kwa diamond? kama alipanda empty acha avune empty
 
Wewe acha hizo wewe!! We unajuaje..je kama maisha ya sahivi ya baba ake ndo laana ya kumtelekeza dogo?!
Acha watu wavune walichokipanda.
Fanya yako tu.
 
Hahaaaaaaa kubakwa tena???

jana kwenye Fiesta wakati kapanda jukwaani alikua anazomewa na mamluki huku watu wakitaja Ali Kiba...

Ali Kiba yeye alivyopanda alikua anashangiliwa mwanzo mwisho... ko kilichompata jana ni hizo Booooooo za wananchi

Usishangae coz kubakwa stejini kwa uyo sio ngumu sana au umesahau alivyovua nguo kwa stage na kuonyesha makalio?
 
Samehe 7*70 usipende kurudisha kisasi maisha yenyewe yapo wapi??mie ni mfano hai kwa mama yangu alipata shida sana kwa dingi yangu,pamoja na sisi watoto wake.Sasa mimi copyright na yy kidogo mateso yalipungua lakin the way mama alivyopata shida vileee tungekuwa tunaongea mengine lakin mimi ndo namsaidia sana mpk kuna kipindi huwa ananiambia mwanangu umekua!!!!

Kuomba msamaha ni ngumu lakini namuona ana appreciate nifanyacho kwake lakin pia ananiombea baraka.....sometimes ananiita anachukua kichwa changu ananipa baraka.

hongera sana kwa ujasiri na upendo kwa wazazi wako. kwa kweli ni muhimu kumwachia Mwenyezi Mungu atoe hukumu. kama mzazi alikutelekeza sidhani ni vyema kulipa kisasi. mara nyingi wazazi hujutia waliyoyafanya hata kama hataomba msamaha kwa mtoto.
 
Back
Top Bottom