hongera sana kwa ujasiri na upendo kwa wazazi wako. kwa kweli ni muhimu kumwachia Mwenyezi Mungu atoe hukumu. kama mzazi alikutelekeza sidhani ni vyema kulipa kisasi. mara nyingi wazazi hujutia waliyoyafanya hata kama hataomba msamaha kwa mtoto.
Kama huyo baba yake anapenda damu yake kwa pesa tu ina maana hata huyo daimond akimsaidia kwa sasa na siku diamond akifirisika bado atawakana tu na kwanini huyo diamond alivyokuwa hajafanikiwa baba yake hakumuitaji?? Ebwanae hiyo laana itampata huyo mzee alieikana familia na sio diamond.kumbuka mzazi asieitunza familia ni mbaya kuliko SHETANI na laana ishaanza kumpata huyo mzee kwa ujinga wake alioufanya.Mzee nakushauri nenda itv kamwombe mwanao msamaha ili wazee wenye tabia mbaya kama yako wajifunze kupitia kwake.Hukutumwa na mtu kumtongoza huyo mama ukamzalisha kisha ukajifanya uko bize na wanawake wengine,haya endeleeni kupendana.Unakula ulichopanda mzee na wewe uliendika thread hii usikubali mtu akutumie vibaya bali uwe mshauri mzuri kwa kuwafanya watu wajutie makosa yao.
Nakufuatilia coz' nahisi utakua mrembo nami ni mgonjwa wa warembo! Hata hivyo, kumbe maskini ya mungu Diamond hajakufanya lolote wewe binafsi... sasa haya maisha ingekuwa kv fulani best yako anafanyiwa nongwa na mwingine basi nawe unaamua kununua kesi..... aaaaaargh, we mtoto wewe!!! Lakini maswali yangu mengine yooooote naona umeyakwepa!Hahahaaaaa,ahsante sana kwa kunifuatilia...you are my fan,huh????
Sikiliza wewe,wakati huyo ndomo anahustle kutoka enzi hizo anauza mitumba maskani yake yalikua magomeni na moja kati ya watu waliomsaidia ni mtu wangu wa karibu sana kafanikiwa sasa wala hamkumbuki tena,akipita na gari kioo tinted wala hashushi...
Alafu sio lazima nimpende huyo ndomo wako,namkubali sana Kiba coz hajawahi kuni let down hata siku 1...Napenda muziki wake pia lifestyle yake,upo????
Mambo vipi mchumba?
Mzima kabisa....shwari??
Hahaaaaaaa kubakwa tena???
jana kwenye Fiesta wakati kapanda jukwaani alikua anazomewa na mamluki huku watu wakitaja Ali Kiba...
Ali Kiba yeye alivyopanda alikua anashangiliwa mwanzo mwisho... ko kilichompata jana ni hizo Booooooo za wananchi
Katika watu wanaojuta kuchezea mbegu zao za kiume ni mzee John malecela.
Kutotoa chozi kwa Obama haihalalishi kuwa wote tusitoe machozi pindi tupatapo tatizo linalofanana.
Nyerere alisema jambo la kipumbavu likiongelewa kwa lugha ya kiingereza watu ulishangilia.
Hahahaa haaaa uwiii
Aiseeeee
Samehe 7*70 usipende kurudisha kisasi maisha yenyewe yapo wapi??mie ni mfano hai kwa mama yangu alipata shida sana kwa dingi yangu,pamoja na sisi watoto wake.Sasa mimi copyright na yy kidogo mateso yalipungua lakin the way mama alivyopata shida vileee tungekuwa tunaongea mengine lakin mimi ndo namsaidia sana mpk kuna kipindi huwa ananiambia mwanangu umekua!!!!
Kuomba msamaha ni ngumu lakini namuona ana appreciate nifanyacho kwake lakin pia ananiombea baraka.....sometimes ananiita anachukua kichwa changu ananipa baraka.
Wewe mtoa mada ujui ulitendalo,wakati baba yake diamond tajiri na diamond akiwa anaishi chumba na mama yake uswahili hakuwa na msaada wowote kwa mtoto.
Kama wewe ni baba na umetelekeza mtoto siku mtoto maisha yakiwa mazuri usisogee kabisa.
Diamond yuko sawa.Malipo ya utelekezaji familia utalipwa umu umu duniani.
Nyumbani amevuruga nini wakati wenye akili timamu wanafahamu wazi kwamba kuna vilaza waliojawa husuda walijipanga kutaka kumuharibia?
Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.
Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.
Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY.
Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.
Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.
Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY.
Usilolijua litakusumbua, Diamond na babake anayejua ni yeye na mama yake. Kama laana za baba yake asingefika alipo sasa. Diamond amefanikiwa sana, na pia kumbuka hamna kitu ambacho kitakuwa juu siku zote. Lazima ushuke siku moja. Wazungu wanasema, it's better to make hay while the sun shines. Nina uhakika Diamond kishafanya hicho kitu. Yaani ameshachuma. Hakuna marefu yasiyo na ncha.
diamond ni mpuunzi kwenye mambo mengi ila hilo la kumtosa baba sawa kabisayaani hapo ndipo shida sana.
kiukweli kuzazi cha Leo kimeharibika sana.na hawa wenzetu wamagharibi ndio wametuharibu na kutupotosha kabisaaa.
kiukweli jamaa kafanya kosa kama kweli kamtelekeza baba yake.yaani hata PATA dhwawabu kwa mwenyezi mungu kwa kumhudumia mama yake Bali kwa babaye.
najua nivigum kunielewa Bali ukweli ndio huo.kitendo cha kumludia baba yake nakumpigia magoti kiukweli atakuwa kamludisha kondoo mpotevu bandani..
maana baba yake atatambua kosa atajuta na kuomba heri na msamaha kwa mwenyezi mungu.
na kwamwanae.
tatizo hili suala lipo kwenye vipengele kama v3 hv udini ,kiutandawazi .