Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

hongera sana kwa ujasiri na upendo kwa wazazi wako. kwa kweli ni muhimu kumwachia Mwenyezi Mungu atoe hukumu. kama mzazi alikutelekeza sidhani ni vyema kulipa kisasi. mara nyingi wazazi hujutia waliyoyafanya hata kama hataomba msamaha kwa mtoto.

Kweli kabisa,ama hakika mkubwa hakosei...
 
muanzisha mada kumpenda kiba kuliko diamond haimaanishi umchukie diamond..nikuonavyo wewe unaCHUKI na DONGE kwa diamond
 
Kama huyo baba yake anapenda damu yake kwa pesa tu ina maana hata huyo daimond akimsaidia kwa sasa na siku diamond akifirisika bado atawakana tu na kwanini huyo diamond alivyokuwa hajafanikiwa baba yake hakumuitaji?? Ebwanae hiyo laana itampata huyo mzee alieikana familia na sio diamond.kumbuka mzazi asieitunza familia ni mbaya kuliko SHETANI na laana ishaanza kumpata huyo mzee kwa ujinga wake alioufanya.Mzee nakushauri nenda itv kamwombe mwanao msamaha ili wazee wenye tabia mbaya kama yako wajifunze kupitia kwake.Hukutumwa na mtu kumtongoza huyo mama ukamzalisha kisha ukajifanya uko bize na wanawake wengine,haya endeleeni kupendana.Unakula ulichopanda mzee na wewe uliendika thread hii usikubali mtu akutumie vibaya bali uwe mshauri mzuri kwa kuwafanya watu wajutie makosa yao.

duh hii kali.. aende itv tena kuomba msamaa
 
Hahahaaaaa,ahsante sana kwa kunifuatilia...you are my fan,huh????
Sikiliza wewe,wakati huyo ndomo anahustle kutoka enzi hizo anauza mitumba maskani yake yalikua magomeni na moja kati ya watu waliomsaidia ni mtu wangu wa karibu sana kafanikiwa sasa wala hamkumbuki tena,akipita na gari kioo tinted wala hashushi...
Alafu sio lazima nimpende huyo ndomo wako,namkubali sana Kiba coz hajawahi kuni let down hata siku 1...Napenda muziki wake pia lifestyle yake,upo????
Nakufuatilia coz' nahisi utakua mrembo nami ni mgonjwa wa warembo! Hata hivyo, kumbe maskini ya mungu Diamond hajakufanya lolote wewe binafsi... sasa haya maisha ingekuwa kv fulani best yako anafanyiwa nongwa na mwingine basi nawe unaamua kununua kesi..... aaaaaargh, we mtoto wewe!!! Lakini maswali yangu mengine yooooote naona umeyakwepa!
 
Hahaaaaaaa kubakwa tena???

jana kwenye Fiesta wakati kapanda jukwaani alikua anazomewa na mamluki huku watu wakitaja Ali Kiba...

Ali Kiba yeye alivyopanda alikua anashangiliwa mwanzo mwisho... ko kilichompata jana ni hizo Booooooo za wananchi

Hahahaa haaaa
Maskini weee
Wiki hii magazeti ya udaku yatauza balaa.....
 
Dah watu wanaongea tu ila hawajui ni namna gani mtu anaumia anapojua alikataliwa na mzazi wake..mimi mwenyew nimepata tatizo kama hilo nimelelewa na babaangu mpaka nimekua na akili zangu timamu mpaka leo hii .na wala hakuoa wala kutafuta mwanamke kuhofia mwanae nisije pata mateso..wakati huo bi maza anakula bata..sasa unamjalije ambae hajawahi kukujali ..na unakuta alikukataa kwa tamaa za maisha ya ujana na hata uzeeni pia akajifanya yuko busy wala hakutaka kujua shida na matatizo uliyopitia..mwacheni afanye anachojisikia mungu ndo anajua hukumu ya kila mmoja aliemkataa mwanae na ambae hakumjali mzazi
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Kutotoa chozi kwa Obama haihalalishi kuwa wote tusitoe machozi pindi tupatapo tatizo linalofanana.

Nyerere alisema jambo la kipumbavu likiongelewa kwa lugha ya kiingereza watu ulishangilia.

Asante
Halafu ukiwa hujapita.play tym unakuwa vzr. ..teh teh teh.
 
Samehe 7*70 usipende kurudisha kisasi maisha yenyewe yapo wapi??mie ni mfano hai kwa mama yangu alipata shida sana kwa dingi yangu,pamoja na sisi watoto wake.Sasa mimi copyright na yy kidogo mateso yalipungua lakin the way mama alivyopata shida vileee tungekuwa tunaongea mengine lakin mimi ndo namsaidia sana mpk kuna kipindi huwa ananiambia mwanangu umekua!!!!

Kuomba msamaha ni ngumu lakini namuona ana appreciate nifanyacho kwake lakin pia ananiombea baraka.....sometimes ananiita anachukua kichwa changu ananipa baraka.

Nimekupenda bure!
Tell them
.....halafu wanafikiri eti kuna baraka hata km mzazi ndo mwenye kosa bado haibadirishi kuwa ni mzazi na baraka zake zipo palepale
 
Watu mnabisha tu hapa!....ukweli utabaki palepale. ...mi huwa sifuatilii san hizo bongo fleva....naongea tu hali halisi
Wengi tu wamepitia maisha ya aina hyo!
Hyo dai whether amefanikiwa au la
Whether kawa superstar o not anachotakiw yy ni kumuomba Mungu aweze kumsamehe huyo baba ake! Coz kusamehe sio rahisi kila unapokumbuka machungu!
Coz blv mi o nt utachuma/uta-hustle hizo mali ht kwa miaka 20 siku 1 tu isiyo na jina utapoteza vyote halafu utaanza kutafuta mchawi...mzazi ni mzazi ht km kakosea yy amsamehe tu inatosha
 
Utofauti wa dume la panya au ng'ombe na mwanaume ni kulea watoto alioshiriki kuwaleta duniani.
Kama kubebesha mimba hata panya anafanya the same thing.
Kama hakumjali mwanae kipindi hicho kwanini alalamike kuwa mwanae hamjali hivi sasa.
 
Wewe mtoa mada ujui ulitendalo,wakati baba yake diamond tajiri na diamond akiwa anaishi chumba na mama yake uswahili hakuwa na msaada wowote kwa mtoto.

Kama wewe ni baba na umetelekeza mtoto siku mtoto maisha yakiwa mazuri usisogee kabisa.

Diamond yuko sawa.Malipo ya utelekezaji familia utalipwa umu umu duniani.

Diamond aliwahi kusema baba yake alikuwa ni kati ya ma millionea wa miaka hiyo, alikuwa na pesa chafu
 
Nyumbani amevuruga nini wakati wenye akili timamu wanafahamu wazi kwamba kuna vilaza waliojawa husuda walijipanga kutaka kumuharibia?

Siamini umati wote ule walikuwa vilaza ila kama Diamond anataka asonge mbele kiroho safi ajitathimini kuna mahali ameteleza mwisho wa siku Mashabiki tujiepushe na ushabiki usiokuwa na maana kuna wasaani wanakuwa hawana hata beef ila mashabiki tu wanaamua kuwatengenezea wasanii wao beef
 
Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.

Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.

Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY.

Rekebisha life yako kwanza ndio uanze shobo kwa wanaume!!
 
Kati ya mambo ya kijinga kabisa ambayo Diamond ameyafanya ktk maisha yake ni kumdharau baba yake mzazi eti kisa alimtelekeza kumlea na mama tu ndo akamlea,ni kweli baba yake alikosea sana,lakini ndugu zangu nataka mfahamu kuwa,mzazi wako ni mzazi wako tu,hata kama ni chizi,hata kama ni katili.

Diamond kazungukwa na kundi la watu wahuni wasiomshauri vyema, alimpatia marehemu Gurumo gari wakati baba yake hana hata baiskeli, huwezi kufanikiwa bila baraka za wazazi wote, kama Diamond anamdharau baba yake wa kumzaa,basi arudi tena kwenye udongo ili akazaliwe na baba atakayekuja kumheshimu. Sasa hivi ameandamwa na mikosi ya kila aina, wajinga wanalaumu watanzania wengine kwa matatizo ya Diamond, wamesahau kuwa kijana huyu kila uchao,baba yake mzazi anasononeka,akimuona mwanae anakula bata wakati yeye hata kula yake ya siku ni shida.

Anguko la Diamond limefika,hana baraka za baba, kwa hiyo hawezi kusonga mbele hata kama taifa zima litamuombea, DIAMOND KAMUANGUKIE BABA YAKO, OR ELSE YOU'RE GONE AWAY.

Mmmm yawezekana ngoja tusubiri
 
Usilolijua litakusumbua, Diamond na babake anayejua ni yeye na mama yake. Kama laana za baba yake asingefika alipo sasa. Diamond amefanikiwa sana, na pia kumbuka hamna kitu ambacho kitakuwa juu siku zote. Lazima ushuke siku moja. Wazungu wanasema, it's better to make hay while the sun shines. Nina uhakika Diamond kishafanya hicho kitu. Yaani ameshachuma. Hakuna marefu yasiyo na ncha.

Amefanikiwa kitu gani!!!!!!??? Labda mademu
 
yaani hapo ndipo shida sana.
kiukweli kuzazi cha Leo kimeharibika sana.na hawa wenzetu wamagharibi ndio wametuharibu na kutupotosha kabisaaa.
kiukweli jamaa kafanya kosa kama kweli kamtelekeza baba yake.yaani hata PATA dhwawabu kwa mwenyezi mungu kwa kumhudumia mama yake Bali kwa babaye.
najua nivigum kunielewa Bali ukweli ndio huo.kitendo cha kumludia baba yake nakumpigia magoti kiukweli atakuwa kamludisha kondoo mpotevu bandani..
maana baba yake atatambua kosa atajuta na kuomba heri na msamaha kwa mwenyezi mungu.
na kwamwanae.

tatizo hili suala lipo kwenye vipengele kama v3 hv udini ,kiutandawazi .
diamond ni mpuunzi kwenye mambo mengi ila hilo la kumtosa baba sawa kabisa
hii itakuwa funzo kwa midume mingine inayotelekeza watoto
 
Back
Top Bottom