Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

Mwisho wa Diamond umekaribia, ilikuwa lazima aanguke

Watu mnabisha tu hapa!....ukweli utabaki palepale. ...mi huwa sifuatilii san hizo bongo fleva....naongea tu hali halisi
Wengi tu wamepitia maisha ya aina hyo!
Hyo dai whether amefanikiwa au la
Whether kawa superstar o not anachotakiw yy ni kumuomba Mungu aweze kumsamehe huyo baba ake! Coz kusamehe sio rahisi kila unapokumbuka machungu!
Coz blv mi o nt utachuma/uta-hustle hizo mali ht kwa miaka 20 siku 1 tu isiyo na jina utapoteza vyote halafu utaanza kutafuta mchawi...mzazi ni mzazi ht km kakosea yy amsamehe tu inatosha

dawa ya moto ni moto na wanaume woote wajifunze katika hili
michael ESSEN wa chelsea, mario balotel nawapongeza sana kwa kuwatelekeza baba zao waliowatelekeza utotoni
 
Siamini umati wote ule walikuwa vilaza ila kama Diamond anataka asonge mbele kiroho safi ajitathimini kuna mahali ameteleza mwisho wa siku Mashabiki tujiepushe na ushabiki usiokuwa na maana kuna wasaani wanakuwa hawana hata beef ila mashabiki tu wanaamua kuwatengenezea wasanii wao beef
Sijaona kosa la Diamond, ninachoona ni hoja zisizo na msingi kutoka kwa watu ili mradi tu ionekane Diamond ndo tatizo! Mathalani wanasema ameharibu Ujeruman na UK... kila mwenye akili timamu anafahamu kwamba kilichotokea German na UK ni Diamond kugoma kupanda jukwaani kabla hajalipwa pesa yake... sasa wale wanaosema aliharibu labda kama walitaka apande jukwaani kabla haja!! By the way, kama watu wana hoja za msingi, kuharibu kaharibu Diamond sasa inakuaje mtu mwingine aliyeko Mabibo achukie kuharibu kwa Diamond alikofanya uhabuni??? Na jinsi watu wanavyoonesha chuki za wazi, kuna uwezekano mkubwa maneno mengine wanamlisha mathalani lile la hotel za Mbeya! Diamond amepita karibu mikoa yote hapa TZ na wala sio zamani bali miezi ya karibuni tu... mbona kote huko hatujasikia akisema hakuna hotel zenye hadhi yake??

Hapa kubwa ni moja tu... Watanzania tumejawa na roho ya kwanini! Mtu anaweza kukuchukia bila sababu kwavile tu una mafanikio...
 
Mi hua nashangaa baba hakumjali alimtelekeza,lakini mwisho wa siku mnaona Diamond mbaya ubaya wa baba yake hamuuoni eti,baraka za mama yake zinamtosha kufika hapo alipo,,mnajuaje anavyojisikiaaa ye Diamond kuhusu baba yake kwenye maisha misukosuko lazima iwepo kupanda na kushuka ili akili ikukae vyema ,Daimond kuzomewa hivyo tu ndio mseme kaishaaa loo bado ana nafasiii mbonaaa ,Anachonifurahishaga Diamond hata asemwe vipiiii hua anaangalia mbele na ndio mnamsukuma ili afanye vitu vizuri zaidiiii,,GOOO Diamond
 
Sijaona kosa la Diamond, ninachoona ni hoja zisizo na msingi kutoka kwa watu ili mradi tu ionekane Diamond ndo tatizo! Mathalani wanasema ameharibu Ujeruman na UK... kila mwenye akili timamu anafahamu kwamba kilichotokea German na UK ni Diamond kugoma kupanda jukwaani kabla hajalipwa pesa yake... sasa wale wanaosema aliharibu labda kama walitaka apande jukwaani kabla haja!! By the way, kama watu wana hoja za msingi, kuharibu kaharibu Diamond sasa inakuaje mtu mwingine aliyeko Mabibo achukie kuharibu kwa Diamond alikofanya uhabuni??? Na jinsi watu wanavyoonesha chuki za wazi, kuna uwezekano mkubwa maneno mengine wanamlisha mathalani lile la hotel za Mbeya! Diamond amepita karibu mikoa yote hapa TZ na wala sio zamani bali miezi ya karibuni tu... mbona kote huko hatujasikia akisema hakuna hotel zenye hadhi yake??

Hapa kubwa ni moja tu... Watanzania tumejawa na roho ya kwanini! Mtu anaweza kukuchukia bila sababu kwavile tu una mafanikio...

Kumbe Bakhressa anachukiwa sana? Nilikuwa sijui hili.
 

Unapojaza form za Immigration wakati unaingia ktk airpot ya Sudan..Khartoum(waliotua Sudan wanalijua hilo), swali mojawapo unaloulizwa ni jina la mama yako mzazi…hawaulizi jina la baba yako..Na inaleta maana labda sababu utakuaje na uhakika kuwa the so called your dad is really your biological dad?? lakini ni %100 kuwa that is your biological mother

Ur too smarter than ur ID
 
acha kutisha watu na ndoto zako ali kiba ni msanii wa fiesta na hamtomsikia tena sababu fiesta imeisha jana kwani alivuma before fiesta!?????? Diamond is all timer

Hiz team alikiba zipo desparate sana na kaka mond asee,mungu awasamehe tu maana hapo ndipo ukomo wa mawazo yao ulipofikia, kwanza kuingilia tu mambo ya kifamilia ni umbea unaopaswa kusutwa kwa matarumbeta kabsaa
 
Hahahaaaaa,ahsante sana kwa kunifuatilia...you are my fan,huh????
Sikiliza wewe,wakati huyo ndomo anahustle kutoka enzi hizo anauza mitumba maskani yake yalikua magomeni na moja kati ya watu waliomsaidia ni mtu wangu wa karibu sana kafanikiwa sasa wala hamkumbuki tena,akipita na gari kioo tinted wala hashushi...
Alafu sio lazima nimpende huyo ndomo wako,namkubali sana Kiba coz hajawahi kuni let down hata siku 1...Napenda muziki wake pia lifestyle yake,upo????

Kumbe alisaidiwa na mtu wako wa karbu n not you????????????
 
Hiz team alikiba zipo desparate sana na kaka mond asee,mungu awasamehe tu maana hapo ndipo ukomo wa mawazo yao ulipofikia, kwanza kuingilia tu mambo ya kifamilia ni umbea unaopaswa kusutwa kwa matarumbeta kabsaa

Mshamba tu wewe.
 
kazi ipo duh.....tunaombeana njaaa wenyewe kwa wenyewe
 
Hiz team alikiba zipo desparate sana na kaka mond asee,mungu awasamehe tu maana hapo ndipo ukomo wa mawazo yao ulipofikia, kwanza kuingilia tu mambo ya kifamilia ni umbea unaopaswa kusutwa kwa matarumbeta kabsaa

Bosi wenu ndo kapanic sana tu usisingizie team Kiba watu walimchunia fiesta wamsingizia team Kiba mwambie akubali ushauri eti aonewa wivu akina juma nature walivotisha enzi hizo endelea kuugulia maumivu
 
hiz team alikiba zipo desparate sana na kaka mond asee,mungu awasamehe tu maana hapo ndipo ukomo wa mawazo yao ulipofikia, kwanza kuingilia tu mambo ya kifamilia ni umbea unaopaswa kusutwa kwa matarumbeta kabsaa

nyie ndo mko desperate since saturday night mnatoa thread za usia
kibaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Bosi wenu ndo kapanic sana tu usisingizie team Kiba watu walimchunia fiesta wamsingizia team Kiba mwambie akubali ushauri eti aonewa wivu akina juma nature walivotisha enzi hizo endelea kuugulia maumivu

batombokerr batombokeeeeeeeeee
 
Hiz team alikiba zipo desparate sana na kaka mond asee,mungu awasamehe tu maana hapo ndipo ukomo wa mawazo yao ulipofikia, kwanza kuingilia tu mambo ya kifamilia ni umbea unaopaswa kusutwa kwa matarumbeta kabsaa

Ndio akili ya team ndomo.Maskini mnawaza mambo ya kiswahili eti kumsuta mtu kweli?Ndio maana anavurunda kwa staili hii hapo ndio ukute wewe ni mshauri wake.Maskini weee hadi namuonea huruma
 
Viatu usivovivaa, hujui ubanaji wake. Fanya yako, hujui nini kimetokea ndani ta familia yao. Mimi pia mzee angefanya kama alivyofanya mzee wake basi tusingesalimiana hadi kifo.
 
Viatu usivovivaa, hujui ubanaji wake. Fanya yako, hujui nini kimetokea ndani ta familia yao. Mimi pia mzee angefanya kama alivyofanya mzee wake basi tusingesalimiana hadi kifo.

Kulipiza kisasi ni mbaya.......kuna duka la salam duniani??
 
Mi hua nashangaa baba hakumjali alimtelekeza,lakini mwisho wa siku mnaona Diamond mbaya ubaya wa baba yake hamuuoni eti,baraka za mama yake zinamtosha kufika hapo alipo,,mnajuaje anavyojisikiaaa ye Diamond kuhusu baba yake kwenye maisha misukosuko lazima iwepo kupanda na kushuka ili akili ikukae vyema ,Daimond kuzomewa hivyo tu ndio mseme kaishaaa loo bado ana nafasiii mbonaaa ,Anachonifurahishaga Diamond hata asemwe vipiiii hua anaangalia mbele na ndio mnamsukuma ili afanye vitu vizuri zaidiiii,,GOOO Diamond

Ni kweli kabisa yaani watu wanajudge kaanguka kwa lipi?kisa kuzomewa kwa usiku mmoja i believe in Diamond majungu kwake yanamboost azidi kuleta mambo mazuri
 
Back
Top Bottom