miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Shwari. Achana na mambo ya Diamond. Njoo chumbani unilishe tulale.
Njoo ukule bhana.....then kifuatacho na itv kinajulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shwari. Achana na mambo ya Diamond. Njoo chumbani unilishe tulale.
Asante
Halafu ukiwa hujapita.play tym unakuwa vzr. ..teh teh teh.
Nimekupenda bure!
Tell them
.....halafu wanafikiri eti kuna baraka hata km mzazi ndo mwenye kosa bado haibadirishi kuwa ni mzazi na baraka zake zipo palepale
Haters wa Diamond wamekazana ile mbaya kumwaga viroja.... eti Domo ndo keshaisha.... eh! Yaani mtu kati kati ya mafanikio, tuzo za kumwaga... international nomination ndo hizo tena, halafu mnadadi Diamond kaisha.... aaaaargh, kisa? Nyimbo moja ya Mwana-Dar es salaam!
Ebu wachane hao wapumbavu wanamchukia mshkaji bila hata ya sababu kisa hao ni makapuku mbwa kachoka hawaingizi hata mia mwenzao Mungu kambariki wanatamani afe wafanye sherehe huyo kiba enyewe akifika level za diamond watamchukia pia waanze kumsifia Mr. blue. Sasa nimejua kwann watz ni maskini wa kutupwa
I've never been diamond's fan... Lakini tangu hiyo juzi nimeamini kuwa watz sio ndugu zako. Ukifanya yako usiwawaze watz. Hawata-imbrace mafanikio yako. Watakuporomosha mfe wote. Ukifanya yako kimataifa, Peperusha bendera yako. F**k watz na bendera yao.
Tena na muulize huyo anayempigania baba ake Diamond leo hii, je alimpigania Diamond alipotoswa na babake?huyo baba alikua wapi wakati diamond alipokua Tandale akiuza mitumba na vocha...!!! leo kafanikiwa ndio baba unajitokeza? hakuna laana inayompata mtoto kutoka kwa baba aliyemtelekeza. Yanayomkuta diamond ni ya kawaida, katika maisha kuna kupanda na kushuka. ulitaka diamond awe juu hadi anaingia kaburini ndio useme hana laana ya baba. Tunapata kila mtu kwa wakati wake, hapati mmoja tu siku zote
nilishasema wanaomchukia diamond ni mafukara wenye wivu na mafanikio yake..
Halafu nyie wanaume ma sperm donner,msifikirie kutoa mbegu ni kazi,kazi ipo kwenye kulea.Kama Diamond atashuka kimziki basi muda wake utakuwa umefika.Baba yake wala siyo sababu kabisa.Kama yeye hakumlea mwanae pindi alipomuhitaji iweje leo Diamond amlee.Hata Obama hakutoa chozi alipopigiwa simu baba yake mzazi kafa,ila kaja kuwa Raisi.Laana haipo kwa baba ambae hakukujali pindi ulipomuhitaji
Mbaya zaidi hajui mamake alimkosea nn babake had akawaacha..
Wanawake sio watu jamani,ngoja aoe atajua tu
......but again,as u said,hatu appreciate talents,na i suspect ile ni evil calculated move ya klauzi ya kumshukisha makusudi