Ebo,yani wewe badala ya kuwaza noah yako unawaza kamshahara ambako hakatakufikisha huko mbinguni?Mbona serikali hawajatuwekea mishahara yetu, kila MTU afe na chake?
hahaha [emoji28][emoji23][emoji28][emoji23] aisee nyie watuMkuu unaweza kuniombea kwa hao jamaa wasogeze mbele mpaka Jumapili maana Jumamosi ni ahadi ya mechi na katoto kabichiiiiii
Du! Ona sasaMaskini mie majeneza ntamuuzia nani sasa ikiwa wote mnakufa kesho?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona serikali hawajatuwekea mishahara yetu, kila MTU afe na chake?
tehe tehe teheMbona ni kama umejikatia tamaa binti?
Ata usiogope maana najua ni mbinu za ccm kumtisha Lowassa ili asiwe na nia ya kugombea urais tena....!
KWA KUWA WEWE NI MTUMIAJI MZURI WA MTANDAO NAKUSIHI GOOGLE KWANZA HII.Nibiru, or Planet X as it is also known, is heading towards Earth and will be visible in the skies from September 23, according to conspiracy theorists.
akiliAchanganye na zakwake nini??, hahahaha.......
kwa nini mkuu!?Huyo atakuwa ni Dada yako sio bibi yako