Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Umefika mwisho wake huwezi kubishana na Marekani ukabaki salama
Tatizo hampendi ukweli, mkiambiwa ukweli acheni ushoga mnasema kiburi mnapenda serikali zinazopetipeti ushoga. Museveni shikilia hapohapo.Nchi inataka maraisi wenye busara kama Mzee Nyerere, Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, Mwinyi wa Zanzibar, Samia na sio maraisi wenye kiburi
Uganda inanuka umasikini kwasababu ya huyu mzee hebu wamuondoe haraka bana
Vipi ufAlme wa uingerezaHata kama isingekuwa kwa swala la ushoga,huyu jamaa ilibidi achomolewe madarakani zamani sana,ameiharibu sana nchi,amefanya nchi kama duka la mangi!family business
Mkuu kwani urefu wako umemzidi Hashim Thabit? Uchumi wako umemzidi Mo? Je, kwakuwa wamekuzidi hivyo vitu inawapa uhalali wa wewe namna ya kuishi na familia yako na matumizi ya Via vyako vya uzazi?Kabala hujatengua mada yangu niambie je uchumi wa nchi yako unawafikia Wachina, wajapan ili basi upate nguvu ya kupambana na mabeberu? Nchi pekee yenye sifa ya kupambana na Mabeberu ni China, Japan angalao na hizi nchi za Uarabuni zinazomiliki mafuta
Ni kibogoyo kabisa [emoji3]Museveni ni SISIMIZI mbele ya MABEBERU.
Hivi ujui utapata cancer si tatizo?Tatizo sio kuamuliwa tatizo letu waafrika ni kiburi kinatudanganya sana hatutaki kuambiwa ukweli kuwa sisi ni wadogo. Ili tufanikiwe lazima kwanza tukubali sisi ni wadogo na tuombe kusaidiwa ili tufike yalipofika mataifa makubwa kama Japan, China na mengineyo
Unaandika kama aliyefikia mwisho kabsa katika kukata tamaa na kujikataa. Umechoka sana!Ujikomboe kwa wakoloni kivipi wewe hujui kuwa dunia ni ya mabeberu? Unapokuwa chini kubali kweli upo chini nilini Africa itafikia uchumi wa Japan au China? Angalao basi iseme tunawaweza mabeberu? Kwa ufisadi wetu na uhujumu wa miundombinu ndio unatupa kiburi? Japan inatengeneza magari ninyi viwanda vyenu ni vya biskut na maji pamoja viberiti, je kwa sifa hizi tunathubutu kusema tunapambana na mabeberu? Hata treni ya umeme imetusinda wakati kwa mabeberu zilikuwepo tangu miaka ya tisini, wewe haya huyaoni? Au wewe ni kipofu?
Kwani amesaini kuwa sheria?.Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.
Ukweli ni kuwa unapokuwa rais wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani ili wenye Demokrasia watawale.
Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kwa njia yoyote kama Gaddaf au Saadam Hussein.
Rais wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama dagaa halingani na mabeberu ambao ni nyangumi hata theluthi moja. Hivyo basi Shirika la Haki za Binadamu linaweza kumshughulikia ipasavyo.
Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyolipwa watukutu wenzake waliokuwa na kiburi ikiwemo Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma
Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.
Ukweli ni kuwa unapokuwa rais wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani ili wenye Demokrasia watawale.
Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kwa njia yoyote kama Gaddaf au Saadam Hussein.
Rais wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama dagaa halingani na mabeberu ambao ni nyangumi hata theluthi moja. Hivyo basi Shirika la Haki za Binadamu linaweza kumshughulikia ipasavyo.
Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyolipwa watukutu wenzake waliokuwa na kiburi ikiwemo Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma
Akijibu hili nitagUnamjua Muhoozi Kainerugaba
Mk Movement Je
Na wewe uko upande upi wa LGBTQ au Mu7
Eleweka Mkuu
Apigweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, dikiteita apigwe aondolewwe madarakaniNi dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.
Ukweli ni kuwa unapokuwa rais wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani ili wenye Demokrasia watawale.
Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kwa njia yoyote kama Gaddaf au Saadam Hussein.
Rais wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama dagaa halingani na mabeberu ambao ni nyangumi hata theluthi moja. Hivyo basi Shirika la Haki za Binadamu linaweza kumshughulikia ipasavyo.
Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyolipwa watukutu wenzake waliokuwa na kiburi ikiwemo Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma