Mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika

Mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika

Umefika mwisho wake huwezi kubishana na Marekani ukabaki salama

Marekani kashakuwa mbwa koko hana madhara, mbona S. Africa wamemdindia amefanya nini?. Tunahitaji Multipolar world sio mtu mmoja anaingilia mambo yenu ya nchi. Kama wao wameamua kupakwa nazi ni wao, wasitulazimishe na sisi. Nini maana ya Demokrasia? Anachofanya US ni sawa???
 
Nchi inataka maraisi wenye busara kama Mzee Nyerere, Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete, Mwinyi wa Zanzibar, Samia na sio maraisi wenye kiburi
Tatizo hampendi ukweli, mkiambiwa ukweli acheni ushoga mnasema kiburi mnapenda serikali zinazopetipeti ushoga. Museveni shikilia hapohapo.
 
Kabala hujatengua mada yangu niambie je uchumi wa nchi yako unawafikia Wachina, wajapan ili basi upate nguvu ya kupambana na mabeberu? Nchi pekee yenye sifa ya kupambana na Mabeberu ni China, Japan angalao na hizi nchi za Uarabuni zinazomiliki mafuta
Mkuu kwani urefu wako umemzidi Hashim Thabit? Uchumi wako umemzidi Mo? Je, kwakuwa wamekuzidi hivyo vitu inawapa uhalali wa wewe namna ya kuishi na familia yako na matumizi ya Via vyako vya uzazi?
 
Tatizo sio kuamuliwa tatizo letu waafrika ni kiburi kinatudanganya sana hatutaki kuambiwa ukweli kuwa sisi ni wadogo. Ili tufanikiwe lazima kwanza tukubali sisi ni wadogo na tuombe kusaidiwa ili tufike yalipofika mataifa makubwa kama Japan, China na mengineyo
Hivi ujui utapata cancer si tatizo?
Hivi hata kubalance haja si tatizo
Mwanaume unakuwa kama mwanamke unashikwa makalio si tatizo.
Na motoni unaenda si tatizo,
Na tatizo mnatuharibia vijna na watoto wetu ,natamani nikuwashe kofi, ningekuwa raisi ningeua mashoga wote ,Mungu awauwe mm nani nisiwaue
 
Ujikomboe kwa wakoloni kivipi wewe hujui kuwa dunia ni ya mabeberu? Unapokuwa chini kubali kweli upo chini nilini Africa itafikia uchumi wa Japan au China? Angalao basi iseme tunawaweza mabeberu? Kwa ufisadi wetu na uhujumu wa miundombinu ndio unatupa kiburi? Japan inatengeneza magari ninyi viwanda vyenu ni vya biskut na maji pamoja viberiti, je kwa sifa hizi tunathubutu kusema tunapambana na mabeberu? Hata treni ya umeme imetusinda wakati kwa mabeberu zilikuwepo tangu miaka ya tisini, wewe haya huyaoni? Au wewe ni kipofu?
Unaandika kama aliyefikia mwisho kabsa katika kukata tamaa na kujikataa. Umechoka sana!
Labda jibu hili.
Wewe unaonaje?
 
Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.

Ukweli ni kuwa unapokuwa rais wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani ili wenye Demokrasia watawale.

Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kwa njia yoyote kama Gaddaf au Saadam Hussein.

Rais wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama dagaa halingani na mabeberu ambao ni nyangumi hata theluthi moja. Hivyo basi Shirika la Haki za Binadamu linaweza kumshughulikia ipasavyo.

Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyolipwa watukutu wenzake waliokuwa na kiburi ikiwemo Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma
Kwani amesaini kuwa sheria?.
 
Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.

Ukweli ni kuwa unapokuwa rais wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani ili wenye Demokrasia watawale.

Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kwa njia yoyote kama Gaddaf au Saadam Hussein.

Rais wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama dagaa halingani na mabeberu ambao ni nyangumi hata theluthi moja. Hivyo basi Shirika la Haki za Binadamu linaweza kumshughulikia ipasavyo.

Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyolipwa watukutu wenzake waliokuwa na kiburi ikiwemo Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma

Kama anajimudu bila misaada atatoboa fresh tu ,kama hana nuclear kwake atatoboa fresh tu! Naungana na Mu7 kupinga "Upinde".
 
Kwani kuna lolote lisilo na mwisho? Hakuna. Naam, mwisho wa Museveni lazima ungelifika tu.

Lakini tayari sheria ya kukataa ushoga imesainiwa na kufanya kazi sasa. Wewe na wenzako kaendeleeni kupiga kelele na hakuna kitu mtafanya.

Nendeni hapo jirani tu, Uganda. Kafanyeni upuuzi wenu kisha Marekani aje kuwakomboa.
 
Africa tumelelewa ki coward sana. Vijana wa leo wapo radhi kukubali kudidimizwa ila sio kusimamia haki.

Sasa mfano hapa mleta mada tazama alivyokuwa na spirit ya uoga na uzembe kiasi kwamba yupo radhi kumtetea shetani au mtu anayeangamiza na sio kutetea utamaduni wale kwa jasho na Damu.

Msimamo wako wa kwanza ni wewe ndani ya nafsi yako inaamini nini na sio Marekani anasema nini. Marekani anaweza kutaka mataifa mengine yafuate tamaduni zake kama Democracy and this crap about Homosexuality, but je ana hiyo haki hadi wewe uje hapa kumtetea yeye tena kinafiki kabisa.

So kama kuna mtu anawaonea wewe na familia yako wewe utasimama upande wake, ina maana wewe hofu au uoga wako unaupa nafasi ya kwanza before familia yako?

Museven ni rais wa taifa la watu weusi same as wewe, je kutetea jamii yake ya mtu mweusi inakupaje wewe hofu hadi unafikia hatua ya kusimama upande wa Marekani na interests zake badala ya kusimama na mtu mweusi mwenzako ambaye analinda na kutetea tamaduni ya mtu mweusi.

Ushoga wewe unakuhusu nini , kuna utamaduni wa mwafrika sehemu unasema ni sawa watu kuoana jinsia moja tena kisheria?! Kwann usapoti sasa taifa linaloshinikiza huo ushenzi kwa wengine?!
 
Ni dhahiri kuwa mwisho wa Museveni kutawala Uganda umefika. Hii ni baada ya Museveni kuingia kwenye mgogoro mkali sana na Marekani kuhusiana na sakata la LGBTQ.

Ukweli ni kuwa unapokuwa rais wa Afrika na ukawa na mgogoro na Marekani lazima wakung'oe madarakani ili wenye Demokrasia watawale.

Mgogoro wa Museveni na Marekani utamuondoa madarakani kwa njia yoyote kama Gaddaf au Saadam Hussein.

Rais wa Afrika hana uwezo wa kupambana na mabeberu kwao anaonekana kama dagaa halingani na mabeberu ambao ni nyangumi hata theluthi moja. Hivyo basi Shirika la Haki za Binadamu linaweza kumshughulikia ipasavyo.

Onyo alilopewa na Shirika la haki za binadamu amekiuka kwahiyo ategemee malipo ya kiburi chake kama walivyolipwa watukutu wenzake waliokuwa na kiburi ikiwemo Gaddaf, Saadam Hussein, Idd Amin na Msukuma
Apigweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, dikiteita apigwe aondolewwe madarakani
 
Back
Top Bottom