Mwisho wa mwaka taja sifa ya memba yoyote unayempenda na umpe na cheo

Mkuu, nichagulie aise, mimi bado mgeni kwenye hili jukwaa. 😎
 
Tatizo watu wanamiliki ID lukuki humu.

Unaweza kuta unaemsifia kwa kumkubali kumbe ndio yule unaetukanana nae kwa ID nyingine.

Humu kumekaa kinadharia mno.

Binafsi namkubali kila mtu maana mwisho wa siku wote humu tupo nyuma ya majina na pengine maisha batili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…