mahi good morning niko guud saana yaaniMahiiii wangu good morningβ¦. Nakupenda too mahiii, naimani uko vyedi hapo ulipo ππ
Jojo.
Naomba unitaje πππππΏββοΈππΏββοΈ
Santee mahi, weekend njema kwako pia πmahi good morning niko guud saana yaani
ukue na weekend njema
Hata weweeeeee!!!!!!!Mahiiii wangu good morningβ¦. Nakupenda too mahiii, naimani uko vyedi hapo ulipo ππ
Thank you my Merchanteπfinancial services be blessed.
Thank you ciccy To yeye .. Barikiwa sana na weweAmehlo Kapeace Leejay49 Joanah Ms eyes Myangu Tresor Mandala Tayukwa Uncle Fujo National Anthem Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume mshamba_hachekwi raraa reree Elli ...na wengine niliowasahau kidogo.May God bless you all
amen babeAmehlo Kapeace Leejay49 Joanah Ms eyes Myangu Tresor Mandala Tayukwa Uncle Fujo National Anthem Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume mshamba_hachekwi raraa reree Elli ...na wengine niliowasahau kidogo.May God bless you all
Me nakukubali wizo wangu mke halali wa kaka πππ
ππππ Hapo chachaTatizo watu wanamiliki ID lukuki humu.
Unaweza kuta unaemsifia kwa kumkubali kumbe ndio yule unaetukanana nae kwa ID nyingine.
Humu kumekaa kinadharia mno.
Binafsi namkubali kila mtu maana mwisho wa siku wote humu tupo nyuma ya majina na pengine maisha batili.
Amehlo Kapeace Leejay49 Joanah Ms eyes Myangu Tresor Mandala Tayukwa Uncle Fujo National Anthem Mzee wa kupambania Bujibuji Simba Nyamaume mshamba_hachekwi raraa reree Elli ...na wengine niliowasahau kidogo.May God bless you all
Alikugea kitumbua nini!?Naogopa kumtaja, nisije nikaleta timbwili kwa bwana'ake.
Kuna wakati una akili kunawakati huna akili.Unampendaje dume mwenzio. Labda sema kumkubali.
Pwente ni nini mkuu?Kuna wakati una akili kunawakati huna akili.
Hapa umeongea pwente