Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Baada ya uvamizi wa urusi ndani ardhi ya jirani yake ukraine kumetokea hali tofauti ya namna vikosi vinaweza kupata umiliki ndani na nje ya uwanja wa medani.

Matumizi ya silaha kubwa kama vifaru yameonekana kuwa vulnerable kwani imekuwa rahisi kushambuliwa na silaha nyepes za kubeba begani, " the myth of st javelin against Russian thanks'.

Kama ilivyo kwa vifaru na silaha zingine imeonesha wazi kuwa matumizi ya ndege vita na helicopters imekuwa kama kujipeleka kwenye moto wa kuzimu. Inawezekana kuruka na helicopter ndani ya uwanja wa vita ikawa ni kujipeleka kwenye kifo maana hata ukiruka futi 5000 unaweza kushambuliwa na silaha za begani za kulipulia vifaru.

Baada ya wababe wa vita kutoka Urusi kwenda kumtwanga jirani yake mchokozi wataalamu wengi wa vita walitabili kuwa ingechukua mda mchache sana kuichakaza Ukraine. What changed the tide of Russia escalation ? Ni kweli Russia alishindwa kulitawala anga la adui yake.

Naomba kudadisi kuwa inawezekana kupata air superiority kwa sasa kwenye uwanja vita na kama hakuna kuna umehimu gani wa ndege vita tofauti na zile za kufanya upelelezi.
 
Wanakuja na matusi hoja wazitoe wapi ni mwaka 2 pili wameshindwa kumpiga Joti?[emoji1787]
Unaposema mwaka wa 2 hajampiga, angalia nchi ya Ukraine inavyozidi kuwaka moto na kuwa magofu. Lakini zaidi jiulize ni Mataifa Mangapi yapo upande wa Ukraine dhidi ya Mwamba mmoja Putin. Kule Ukraine kuna nchi zaidi ya 20 tena kubwa zikiongozwa na Marekani ambayo imetenga majeti ya kubwa zaidi ya Ukraine yenyewe kwenye hivyo vita. Sasa jiulize kama Mrusi peke yake abapiga na mataifa makubwa hivyo kwa pamoja na bado wanakula kichapo, je angebaki Ukraine peke yake leo hii kungekuwa hata sisimizi hai pale?
 
Ndege bado ni muhimu sana, Tatizo kubwa la jeshi la Urusi ni kiwango duni cha weledi, rushwa na siasa kuingilia mambo mengi ya jeshi hadi frontlines. Marubani wa Russia wanapata muda mchache sana wa mafunzo ukilinganisha na wenzao wa West.
Hata kwa upande wa pili aircraft survivability is calculated.
 
Bila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
 
Bila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
Kwenye uwanja wa medani huwezi kupata taarifa unless unapata access na uwanja wa medani kwa sababu vita kama hizi zina propaganda nyingi. Ili uweze kufanya information analysis unapaswa angalau uwe na uzoefu na jinsi vita inakuwa structured. Nikweli wapo mercenaries kwa pande zote lakini sio ku generalise kuwa kuwa the whole generation has been wiped out.
 
Unaposema mwaka wa 2 hajampiga, angalia nchi ya Ukraine inavyozidi kuwaka moto na kuwa magofu. Lakini zaidi jiulize ni Mataifa Mangapi yapo upande wa Ukraine dhidi ya Mwamba mmoja Putin. Kule Ukraine kuna nchi zaidi ya 20 tena kubwa zikiongozwa na Marekani ambayo imetenga majeti ya kubwa zaidi ya Ukraine yenyewe kwenye hivyo vita. Sasa jiulize kama Mrusi peke yake abapiga na mataifa makubwa hivyo kwa pamoja na bado wanakula kichapo, je angebaki Ukraine peke yake leo hii kungekuwa hata sisimizi hai pale?
Ukijibiwa naomba unijuze
 
Unaposema mwaka wa 2 hajampiga, angalia nchi ya Ukraine inavyozidi kuwaka moto na kuwa magofu. Lakini zaidi jiulize ni Mataifa Mangapi yapo upande wa Ukraine dhidi ya Mwamba mmoja Putin. Kule Ukraine kuna nchi zaidi ya 20 tena kubwa zikiongozwa na Marekani ambayo imetenga majeti ya kubwa zaidi ya Ukraine yenyewe kwenye hivyo vita. Sasa jiulize kama Mrusi peke yake abapiga na mataifa makubwa hivyo kwa pamoja na bado wanakula kichapo, je angebaki Ukraine peke yake leo hii kungekuwa hata sisimizi hai pale?
Kuna kitu unapaswa kufahamu "the myth of war victory'' wengi huwa hawajua maana halisi ya ushindi wa vita ndio maana wanahisi kubomoa majengo, kuharibu miundombinu ni ushahidi kumbe ni uharifu na uharibifu ambao unapaswa kuepukwa na pande zote mbili zinaporushiana mapigo. Vita sio kitu cha mchezo huwezi kuamka na kushinda kwa kufikilia tu bila kwenda uwanjani. Russia kihistoria ni taifa la medani hivyo kama alishindwa kumaliza vita siku za mwanzo ambapo aliizunguka Ukraine pande zote sasa hivi anapoteza muda wake.

Kuhusu kupokea msaada kutoka kwa mabeberu sio excuse wewe uje umsemee hapa maana ukianzisha vita lazima uhakikishe umefunga njia zote za ugavi ndani na nje na kama ukishindwa huo ni udhaifu wako.
 
Baada ya uvamizi wa urusi ndani ardhi ya jirani yake ukraine kumetokea hali tofauti ya namna vikosi vinaweza kupata umiliki ndani na nje ya uwanja wa medani. Matumizi ya silaha kubwa kama vifaru yameonekana kuwa vulnerable kwani imekuwa rahisi kushambuliwa na silaha nyepes za kubeba begani, " the myth of st javelin against Russian thanks'.

Kama ilivyo kwa vifaru na silaha zingine imeonesha wazi kuwa matumizi ya ndege vita na helicopters imekuwa kama kujipeleka kwenye moto wa kuzimu. Inawezekana kuruka na helicopter ndani ya uwanja wa vita ikawa ni kujipeleka kwenye kifo maana hata ukiruka futi 5000 unaweza kushambuliwa na silaha za begani za kulipulia vifaru.

Baada ya wababe wa vita kutoka Urusi kwenda kumtwanga jirani yake mchokozi wataalamu wengi wa vita walitabili kuwa ingechukua mda mchache sana kuichakaza Ukraine. What changed the tide of Russia escalation ? Ni kweli Russia alishindwa kulitawala anga la adui yake.

Naomba kudadisi kuwa inawezekana kupata air superiority kwa sasa kwenye uwanja vita na kama hakuna kuna umehimu gani wa ndege vita tofauti na zile za kufanya upelelezi.
Supersonic fighter jet hazishambuliwi na kitu. Kuna ndege zina speed kuliko mabomu yenyewe. Na zina presicion kubwa kushambulia
 
Bila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
Pamoja na kuimport wanajeshi baso waliopo ni elf 20 tu wengine wote waligeuzwa ndafu
 
Wanakuja na matusi hoja wazitoe wapi ni mwaka 2 pili wameshindwa kumpiga Joti?🤣
Beberu Wote, Ulaya na Amerika ndio walioshindwa mbali na kuamua kupikia chungu kimoja hadi hivi sasa 🤔
 
Back
Top Bottom