Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Unaposema mwaka wa 2 hajampiga, angalia nchi ya Ukraine inavyozidi kuwaka moto na kuwa magofu. Lakini zaidi jiulize ni Mataifa Mangapi yapo upande wa Ukraine dhidi ya Mwamba mmoja Putin. Kule Ukraine kuna nchi zaidi ya 20 tena kubwa zikiongozwa na Marekani ambayo imetenga majeti ya kubwa zaidi ya Ukraine yenyewe kwenye hivyo vita. Sasa jiulize kama Mrusi peke yake abapiga na mataifa makubwa hivyo kwa pamoja na bado wanakula kichapo, je angebaki Ukraine peke yake leo hii kungekuwa hata sisimizi hai pale?
Ile ishu ya masaa 72 mliishia wapi? Maana naona bado mnaendelea na vita
 
Baada ya uvamizi wa urusi ndani ardhi ya jirani yake ukraine kumetokea hali tofauti ya namna vikosi vinaweza kupata umiliki ndani na nje ya uwanja wa medani. Matumizi ya silaha kubwa kama vifaru yameonekana kuwa vulnerable kwani imekuwa rahisi kushambuliwa na silaha nyepes za kubeba begani, " the myth of st javelin against Russian thanks'.

Kama ilivyo kwa vifaru na silaha zingine imeonesha wazi kuwa matumizi ya ndege vita na helicopters imekuwa kama kujipeleka kwenye moto wa kuzimu. Inawezekana kuruka na helicopter ndani ya uwanja wa vita ikawa ni kujipeleka kwenye kifo maana hata ukiruka futi 5000 unaweza kushambuliwa na silaha za begani za kulipulia vifaru.

Baada ya wababe wa vita kutoka Urusi kwenda kumtwanga jirani yake mchokozi wataalamu wengi wa vita walitabili kuwa ingechukua mda mchache sana kuichakaza Ukraine. What changed the tide of Russia escalation ? Ni kweli Russia alishindwa kulitawala anga la adui yake.

Naomba kudadisi kuwa inawezekana kupata air superiority kwa sasa kwenye uwanja vita na kama hakuna kuna umehimu gani wa ndege vita tofauti na zile za kufanya upelelezi.
Toka zama hizo Final ni Askari wa Miguu ambaye ndiye ana Uwezo wa Kuteka Eneo na Kulikalia!
Ndege vita ikiruka rubani kurudi kwenye maskani yake ni bahati tu!
Pamoja na kiwanja cha nyumbani kulipuliwa sijui ndege ataitua wapi....
 
Toka zama hizo Final ni Askari wa Miguu ambaye ndiye ana Uwezo wa Kuteka Eneo na Kulikalia!
Ndege vita ikiruka rubani kurudi kwenye maskani yake ni bahati tu!
Pamoja na kiwanja cha nyumbani kulipuliwa....
Vita inabadilika kutokana na mahitaji ya wakati huo, it has become difficult to find the edge in modern warfare as the stalled case of Russia invasion. Russia kila njia kufanya encircling with full battalion tactical group lakini ukraine walijichomoa kutoka kwenye mtego mpata adui akafanya tactical withdrawal baadhi ya maeneo. Kinachoonekana vita imehamia kwenye drone na portable weapon. Ukija kwenye accuracy rate ya mizinga imebaki kupiga target ambazo ni stationary maana watu wanabadilisha mbinu kila wakati.
 
Bila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
Ndivyo tujuavyo
 
Kwa jirani mkorofi,tulisha malizana naye,sasa tumevuka mipaka,tupo ulaya na Amerika 🤔.Na tunawanyoosha vilivyo 🤔.Huamini waulize wenyewe 🤔
War is not a rigged game 😂😂 mabeberu huwaingizi kwenye vita kizembe watashiriki kwa mlango wa nyuma sehemu ambayo haina maslahi ya kitaifa watatumia mercenaries hayapendi hasara yameshajifunza.
 
Ukifatilia Operation Iraq freedom, US alihakikisha anaharibu AD zote, RW zote za Iraq kabla hajatia mguu Iraq

Documentary zipo Youtube

Iraq enzi hizo iko vizuri kuliko Ukraine Mwaka Jana

Iraq ilikuwa na AD nyingi sana ila zote ziliharibiwa kwa kutumia ndege vita

Russia alishindwa kutumia SEAD vizuri na ndo maana alishindwa teka Hostomel

Kingine ni Intelligence ya Russia haikuwa sawa, lengo lao lilishindwa hata walipotaka wanajeshi wa Ukraine wamuue Rais halikuwezekana

Juzi juzi ndo taarifa zimetoka kuwa Mawaziri wote na watu wakubwa wakubwa wote walikuwa under ground kwa miezi 2 ya vita
 
Ile ishu ya masaa 72 mliishia wapi? Maana naona bado mnaendelea na vita
Ishu ni kwamba urusi na ukraine wanajuana kua ni ndugu 1 na anaewapiganisha ni beberu toka nje kupitia kibaraka wake,,, hii vita itaenda kipropaganda sana, mrusi akiweka undugu pembeni anaweza akaichakaza ukraine ndani ya muda mfupi tu shida atafyeka hadi wasio na hatia ndo kitu asichotaka,, acha tuone huu mziki ukihamia Finland itakuaje maana ubabe halisi unaweza ukaonyeshwa kule
 
Ishu ni kwamba urusi na ukraine wanajuana kua ni ndugu 1 na anaewapiganisha ni beberu toka nje kupitia kibaraka wake,,, hii vita itaenda kipropaganda sana, mrusi akiweka undugu pembeni anaweza akaichakaza ukraine ndani ya muda mfupi tu shida atafyeka hadi wasio na hatia ndo kitu asichotaka,, acha tuone huu mziki ukihamia Finland itakuaje maana ubabe halisi unaweza ukaonyeshwa kule
Tunapeleka operation polepole ili kuua chumi za mabeberu.

Tukimaliza mapema hawataandamana
 
Ni lazima vita ipiganwe ndani ya Russia ndipo tuje kulinganisha la sivyo hii vita inawaadhir mno wa Ukraine
warusi wanaokufa vitan familia zao kiuchumi zitakuwaj , wale oligarch hasara wanazopata hazihasiri faida walikuwa wanarudisha Urusi ? kiufup dunia ya leo unaeza shindwa vita bila kupigwa nchini mwako , the situation in vietnam affected usa civilians leading to demostrations to condemn than war , kwahiyo dunia imebadilika
 
Unaposema mwaka wa 2 hajampiga, angalia nchi ya Ukraine inavyozidi kuwaka moto na kuwa magofu. Lakini zaidi jiulize ni Mataifa Mangapi yapo upande wa Ukraine dhidi ya Mwamba mmoja Putin. Kule Ukraine kuna nchi zaidi ya 20 tena kubwa zikiongozwa na Marekani ambayo imetenga majeti ya kubwa zaidi ya Ukraine yenyewe kwenye hivyo vita. Sasa jiulize kama Mrusi peke yake abapiga na mataifa makubwa hivyo kwa pamoja na bado wanakula kichapo, je angebaki Ukraine peke yake leo hii kungekuwa hata sisimizi hai pale?
bado inawapa misaada nyiny msiowaka moto , tujitafakari waafrika
 
Bila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
nan alimwambia avamie watoto ? hilo ni funzo siku hii vita itaisha basi Urusi hatorudia tena
 
Baada ya uvamizi wa urusi ndani ardhi ya jirani yake ukraine kumetokea hali tofauti ya namna vikosi vinaweza kupata umiliki ndani na nje ya uwanja wa medani. Matumizi ya silaha kubwa kama vifaru yameonekana kuwa vulnerable kwani imekuwa rahisi kushambuliwa na silaha nyepes za kubeba begani, " the myth of st javelin against Russian thanks'.

Kama ilivyo kwa vifaru na silaha zingine imeonesha wazi kuwa matumizi ya ndege vita na helicopters imekuwa kama kujipeleka kwenye moto wa kuzimu. Inawezekana kuruka na helicopter ndani ya uwanja wa vita ikawa ni kujipeleka kwenye kifo maana hata ukiruka futi 5000 unaweza kushambuliwa na silaha za begani za kulipulia vifaru.

Baada ya wababe wa vita kutoka Urusi kwenda kumtwanga jirani yake mchokozi wataalamu wengi wa vita walitabili kuwa ingechukua mda mchache sana kuichakaza Ukraine. What changed the tide of Russia escalation ? Ni kweli Russia alishindwa kulitawala anga la adui yake.

Naomba kudadisi kuwa inawezekana kupata air superiority kwa sasa kwenye uwanja vita na kama hakuna kuna umehimu gani wa ndege vita tofauti na zile za kufanya upelelezi.
Ndege bado zinabaki kuwa silaha muhimu vitani siyo kushambulia tu ata kuwahisha askari mapema kwenye eneo LA adui na kutengeneza ngome imara katika kuanziaha mashambulizi pamoja na kuja kwa teknolojia mbalimbali nazo ndege zinakuja na teknolojia za kujificha kwenye silaha za adui mabadiliko mbalimbali yanagusa kwenye kila nyanjaa ata ndege nazo zinakuja na mabadiliko ayoo
 
Kwenye uwanja wa medani huwezi kupata taarifa unless unapata access na uwanja wa medani kwa sababu vita kama hizi zina propaganda nyingi. Ili uweze kufanya information analysis unapaswa angalau uwe na uzoefu na jinsi vita inakuwa structured. Nikweli wapo mercenaries kwa pande zote lakini sio ku generalise kuwa kuwa the whole generation has been wiped out.
kwa muonekano Russia kakutana na chuma ya pua aliingia kichwa kichwa , waafrika tujifunze kisaidiana kama ulaya sio wachambuz uchwara wa siasa za ulaya wakati jiran drc anawaka moto ila tupo kimya mpk USA awape ela ndo mkasaidie maiiran
 
Back
Top Bottom