Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

Russia haina precision weapons nyingi kwani zina gharama kubwa, kitu chochote kikishakuwa cha gharama kubwa usitarajie Urusi ikipendelee. Wala precision missiles zake sio better, Israel ndio nchi inapenda zaidi na inajua vizuri precision.

Russia ina silaha kadhaa nzuri ila namba zinakataa. Su-35 hazifiki 200, kwa US multirole yake mpya F-35 zipo zaidi ya 400. Hapo hatutaji F-16 ambazo ni nyingi zaidi na ni level za Su-35.

Russia kwenye drones hawazidi US, China, Israel wala Turkey. Hao wanne ndio wanaanza na hakuna mpinzani wao soon, wanafuata kina Russia na Iran na wengineo.

Rwanda wanajipanga kwenye precision weapons na silaha za kisasa ukilinganisha na bajeti yao, population na ukubwa wa ardhi yao jeshi lao linajitahidi. Tanzania iko kivyake inaishi
Tuombe tu vita isije upande wetu tena tukakutana na watu wanaotumia teknolojia kupambana.

Tumebakiwa na jina/sifa ila utendaji sidhani, mishahara/malipo na siasa yameondoa ufanisi.
 
Huna unalolijua...hizo ndege unazozisifia zimeprove failure kwenye medani ya vita..kwanza operation cost yake ni kubwa mno haieleweki..baadhi ya nchi ikiwemo Marekani imeacha kutumia hizo ndege badala yake wanatumia F22.. usichojua J 20 inauwezo SAwa au kuzidi hizo F35
Ndege zipi za Marekani zimeprove failure na kwenye vita gani?
Ndege zipi Marekani imeacha kutumia?
 
Huna unalolijua...hizo ndege unazozisifia zimeprove failure kwenye medani ya vita..kwanza operation cost yake ni kubwa mno haieleweki..baadhi ya nchi ikiwemo Marekani imeacha kutumia hizo ndege badala yake wanatumia F22.. usichojua J 20 inauwezo SAwa au kuzidi hizo F35
Seconded
 
Ndege zipi za Marekani zimeprove failure na kwenye vita gani?
Ndege zipi Marekani imeacha kutumia?
Hujui kusoma...mnaona Marekani kama ni miungu kwenye hii dunia

 
Bila kuwa na good artillery system na drones huwezi shinda vita...Russia inaua wanajeshi Zaidi ya 500 kwa siku..generation ya Ukrain imeisha...kinachofanyika sasa hv ni importation ya mercenary from all over the world. Mostly from Poland, Goergia etc...west wanapump silaha kutoka Kona zote za dunia kifupi Russia wanapigana na w stern not with Ukrain
Ukweli uko pale pale Russia ana kila kitu
Jeshi kubwa
Silaha bora kabisa dunian tena nyingi.
ILA HIVI VITA HAJAWEZA KUTUONESHA UBORA WAKE, zelensky angetakiwa siku ya tatu ya vita awe ameshatoka kyiv
 
Hujui kusoma...mnaona Marekani kama ni miungu kwenye hii dunia

Ni vita gani ndege za Marekani zimeprove failure?
Ni ndege zipi Marekani imeacha kutumia?

Hayo maswali mawili hujajibu, ni rahisi sana yanahitaji utaje tu badala yake umetoa article ya maoni yaliyotolewa na mtu binafsi. F-35 unit price kwa sasa inafika hata around $80 million, hela ambayo ni ndogo kuliko hata used Dassault Rafale, new Eurofighter Typhoon na hela karibia sawa na new advanced F-15EX hizo zote sio stealth.
F-35 ina operation cost kubwa na watumiaji wake wanalijua hilo. Wazungu sio wapumbavu kununua units zaidi ya 900 na wakija kununua wanafanya competition makampuni yanapeleka ndege zaidi ya sita tofauti inachaguliwa yenyewe. Finland, US, Britain, Israel, South Korea, Japan na wengine nimewasahau ni wajinga sana ila wewe una akili sio?

Su-57 ya Urusi ina mteja hata mmoja, kwanza wao hata units 20 hawana? Su-35 zao zilizotengenezwa hata 200 hazifiki. Yani namba zinakukataa.
 
Back
Top Bottom