Albendazole
Member
- Jul 21, 2021
- 34
- 68
Kwa upande wangu!!
Vita bado ni mbichi kote kote, mrusi amepoteza vikose na zana nyingi na bado anaendelea kupoteza wakati Ukraine nae anapoteza mara mbili zaidi wanajeshi,raia,vifaa,miundombinu na majengo muhimu kila kukicha! Hadi Sasa ni ngumu sana kutoa utabiri wa vita jinsi itakavyoisha! Na nani atakayeathirika zaidi
Vita bado ni mbichi kote kote, mrusi amepoteza vikose na zana nyingi na bado anaendelea kupoteza wakati Ukraine nae anapoteza mara mbili zaidi wanajeshi,raia,vifaa,miundombinu na majengo muhimu kila kukicha! Hadi Sasa ni ngumu sana kutoa utabiri wa vita jinsi itakavyoisha! Na nani atakayeathirika zaidi