Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Ukiwaangalia wanavyofanya maonyesho kuwafurahisha wajinga wa CCM ili kuwatisha Watanzania wasio na hatia alafu ukiangalia hapo wanavyodharilishwa na hao askari wa Kagame unajisemea tu moyoni kuwa Jeshi letu linatakiwa kupata Viongozi wanaojitambua sio cowards wa wanasiasa.
 
Kisingizio cha bongo ni eti wamefungwa mkono kuishambulia M23.

Sasa kama hamruhusiwi kuishambulia M23 mmeenda Kongo kufanya nini?, Kutalii?
 
Mama Samia kadhalilisha jeshi letu kwa kukoswa msimamo.Kwaachia Rwanda na Uganda kujidai Congo,,kweli Jeshi letu limedhslilishwa.Yaani na vifaa vyetu wamenyanganywa na M23 na sasa wanavitumia kupambana na Serikali ya Thsishekedi
 
nina mashaka sana na jeshi la Tanzania

seems very weak and unprofessional
Ukiwa under UN kuna rules zinakubana. Ila hawa hawa wangekuwa under AU rules story ingekuwa tofauti

Kwenye vita yule ambae mikono yote iko free, yaani ana ruhusa ya kufanya lolote ili ashinde hiyo ndio ata perform vizuri else ni majanga
 
Watanzania wazalendo kwa nchi yao wanajiuliza kwa jinsi jua lilivyokali mwaka huu hivi ingekuwaje mgao wa umeme kama Hayati Magufuli asingejenga bwawa la umeme la mwl Nyerere?.
Ni majenereta mangapi yangeingizwa? Zingezaliwa Richmond ngapi?
Mwaka huu mvua ni chache nchi nzima na jua linatandika kwelikweli kiasi kwamba wakulima wamekosa mazao yao kwa kukauka shambani, lakini bado mafisadi yanaona aibu kutangaza mgao wa umeme kwa sababu wanaogopa watawaambia nini Watanzania kwa sababu wanajua bwawa lao la umeme walilojengewa na Rais wa wanyonge limekamilika na linauwezo wa kutoa megawati 2115.
Mafisadi kwa vikao vyao yanajiuliza sasa tutakula wapi? Na yanapofikia hiyo hatua humlaani Hayati Magufuli kwa kuanzisha ujenzi wa bwawa hilo na yakimaliza yanamlaani pia Rais Samia kwa kukubali kumalizia miradi yote iliyoachwa na Magufuli ikiwemo hilo bwawa la umeme.
Matarajio ya mafisadi ilikuwa ni kwamba pale tu Magufuli alipofariki na ujenzi wa bwawa ungeishia hapo.
 
Wanarudi au wanarudishwa kwa nguvu na M23?

Fedheha hii isingetukumba endapo kama Watawala wa nchi hii wangekuwa tayari kusikiliza maoni yetu sisi Wananchi.
 
Aibu yetu aibu yao,nasema hivi aibu yao wenyewe
 
Nenda ukatafutw hqbari, jeshi lipo goma peke ni 1300 kwa camp moja, ila hawa wana camp 3 ndani ya Muji goma, kwa hio unasema jeshi 5k hawapo? South African wametuma 2900, Tanzania na Malawi wakatuma 2100.
Fatilia acha ubishi

 
Hii fedheha kubwa sana hii!!

Endapo kama Watawala wa nchi wangekuwa wanasikia maoni yetu sisi Wananchi Basi fedheha hii wala isingetukumba kamwe.
Ona sasa mambo jinsi yalivyoharibika!!
Yaani ni aibu kubwa sana hii!!
 
Unataka waanze kutukatia Umeme?
 
Jeshi la CCM.
 
nina mashaka sana na jeshi la Tanzania

inaonekana dhaifu sana na isiyo ya kitaalamu
Anaonekana au linaonekana, Mbona huna shaka na jeshi la malawi au Afrika kusini maana wote walikua pamoja.
.Mimi najua kinachowafanya kushindwa.
.Ni masharti wanayowekea kuhusu kutumia kutumia kama walinda Amani.
.Hebu fikilia Tanzania dhaifu,jeshi la afrika kusini, halina ndege vita ya kuweza kuploon safura na ngome za M23, Unachotakiwa kujua Vita ya Congo DRC, haitakiwi kuisha, wapo mpaka wa Congo wanaomba vita isiishe.
.Congo kuna vunwa kwanza kukitulia hawezi vuna, sasa wewe na Nchi yako jidanganye eti jeshi la Tanzania ni dhaifu, hata muwe na jeshi zuri Humuwezi shinda vita Congo, wacongo ni wasaliti wakubwa, leo anakuitikia kesho anakukana, leo anakukana kesho anakuitikia, Usijimalize kwa mkongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…