Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mafisadi na Majizi ndiyo yanayoshirikiana na serikali ya Kinshasa na Mabeberu chini ya UN kulipa wanajeshi toka nchi maskini ili kulinda rasilimali zao huku vita ikiendelea miaka mingi sasa .

Jeshi la Tanzania halina mamlaka ya kuingilia migogoro ya ndani ya nchi nyingine .

Vita ya Kongo ni halali kwa Ananchi waliochoka rawala za kifisadi za kiraia . Wanataka utawala wa kijeshi ili uweze kuinyoosha nchi na kusambaratisha Waasi wanaotengenezwa na watawala kwa lengo la kujinufaisha kisiasa
Uko sahihi.....Nchi huwa zinatengeneza Waasi fake kwa Maslahi ya Watawala na wanaowalinda.
 
Jeshi la Tanzania liko mpakani mwa Rwanda na DRC Rubavu Boarder post , wakikaguliwa na polisi wa kawaida wa Rwanda. Hii ilitokea baada ya M23 kuteka jiji lote la Goma, na wakaacha silaha zao zote mikononi mwa M23.
Wewe Mtutsi acha kuongeza chumvi mbona hapo anayekaguliwa ni mwanajeshi mmoja tu lakini taarifa yako unaonyesha ni Jeshi la Tanzania nilitegemea nione wanajeshi wa JWTZ wengi wakikaguliwa hapo kama mateka kama unavyojieleza hapo juu. Huyo ni Mwanajeshi mmoja tu aliyekuwa kwenye safari yake ya kurudi TZ acha uongo na mlimchukua video kwa ujanja ujanja ili mje mlete propaganda zenu kwenye mitandao ya kijamii.
 
Walienda kupambgana mkuu, na siraha nyingi zao zimetekwa na M23, hangalia hio video sio kwamba wamenda kwajiri ya UN, kwani UN Saiv ipo goma,
View attachment 3255680
Kwahiyo unategemea hao SADC wenye wanajeshi 1300 ( mpaka kufika january 2025) kuwamaliza M23 ( idadi yake sijui) na Jeshi la Rwanda ambalo lipo drc kwasasa(3000-4000)? Hawq walienda kusimamia amani ndio maana ni wachache , hivyo vifaa ni kujibu mapigo pindi wakishambuliwa (self defense)
 
Hakuna tatizo haya maneno ya kawaida , walitakiwa kupelekwa askari 5000, mpaka kufikia January wamepeleka 1300, unategemea maajabu gani hapa? Kama wenye nchi wanakimbia wao wageni wachache watafanya nini? hakuna ajabu hapa, wamelinda amani kwa uwezo wao na idadi yao ndogo wamezidiwa
Shida sio ukubwa wa jeshi, tatizo ni Ubora kwa hio Wote 5000, wa Tanzania, 10,000 wa Southa africa, 10,000 wa burundi hao M23 wapo wangapi? 😂😂😂😂
 
Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!

Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis Mwamunyange. Najua habari hii haijamlaza vizuri mwamba Luteni General Abdulrhman Shimbo.

What we use to know as Tanzania Pride iliyokuwa inabebwa na Jeshi letu la Wananchi (Tanzania People's Defence Forces) imefikia tamati baada ya wanajeshi wetu kudhalilishwa huko Rwanda kwa kusubilishwa kwa masaa mpakani na Wanajeshi (Mamlaka za Rwanda).

Wanajeshi wetu waliosubilishwa mpakani ni sehemu ya majeruhi wa vikosi vya SADC waliopokea kichapo kutoka kwa Wanajeshi wa Rwanda na Washirika wao M23.

Inasemwa pia Wanajeshi wetu kama sehemu ya wanajeshi wa SADC wamenyang'anywa silaha zao na wanamgambo wa M23 na kuwekwa chini ya ulinzi mkali. Hawawezi fanya chochote bila ruhusa ya M23.

Itakumbukwa hadi miili ya Wanajeshi wetu waliouwawa bado haijarudishwa na inawezekana jamaa wanatuwekea ngumu ili tuendelee kuwalamba miguu na ili watuoneshe kuwa sasa wao ndo mabwana zetu kivita.

Naumia sana Nchi yangu kufikia hapa. Naumia sana Jeshi langu JWTZ kufikia kudhalilishwa hivi.

Kuna haja ya kujitafakari na kuanza upya. CCM ni janga.
View attachment 3249000

=======

Takriban wanajeshi 200 wanaohitaji wakihitajihuduma ya matibabu wakiwemo wale wa Afrika Kusini, Malawi na Tanzania walioko katika Jamuhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa ujumbe unaojulikana kwa jina la SAMIDRC waliondoka Goma na kuvuka mpaka na kuingia Rwanda kuelekea Kigali kwaajili ya kupata ndege za kuwarejesha makwao.

Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini alitangaza wikendiiliyopita kwamba wanajeshi wao waliojeruhiwa katika mapigano na M23 nchini DRC wataanza kurejeshwa makwao wiki hii.

Donatien Mugabo, mkazi wa Gisenyi nchini Rwanda,ambaye ameshuhudia magari yaliyokuwayamewabeba askari hao yakiondoka mpakani kwa upande wa Rwanda, ameiambia BBC kuwa walikuwa kwenye mpaka huo kwa saa kadhaa.

g

Walifika mpakani Jumatatu saa sita mchana, na waliondoka mpakani baada ya saa kumi na mbili jioni, Donatien anasema.

Haijabainika ni nini kilisababisha wacheleweshwe mpakani.

Vyombo vya habari vya Goma - jiji linalodhibitiwa na M23 na nchini Rwanda vilipigwa marufuku kupiga picha au kuzungumza na wanajeshi, kama ilivyokuwa wakati mamluki wa Ulaya walipoondoka Goma kupitia Rwanda.
Magazeti ya Rwanda yanaripoti kuwa wanajeshi 129 wanatoka Afrika Kusini, 40 kutoka Malawi na 25 kutoka Tanzania.

Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) na nchi walikotoka askari hao hawajazungumzia kuachiliwa kwa askari hao wanaotajwa kuhitaji matibabu.
Uandishi wako inaonyesha wewe ni mtutsi uliyefurahia vifo vyote kuanzia askari wetu, wacongo na udhalilishaji huo.
 
Shida sio ukubwa wa jeshi, tatizo ni Ubora kwa hio Wote 5000, wa Tanzania, 10,000 wa Southa africa, 10,000 wa burundi hao M23 wapo wangapi? 😂😂😂😂
Umeelewa nilicho andika? Malawi, Tanzania na South Africa hawa ndio walikubali kupeleka wanajeshi wao , jumla ya wanajeshi waliotakiwa kwenda ni 5000 tu, ila mpaka kufika january walikwenda 1300 sasa unawezaje kuzuia M23 na jeshi la Rwanda? hao Burundi wanashida kibao sio sehemu ya kikosi cha Sadc kule DRC
 
Umeelewa nilicho andika? Malawi, Tanzania na South Africa hawa ndio walikubali kupeleka wanajeshi wao , jumla ya wanajeshi waliotakiwa kwenda ni 5000 tu, ila mpaka kufika january walikwenda 1300 sasa unawezaje kuzuia M23 na jeshi la Rwanda? hao Burundi wanashida kibao sio sehemu ya kikosi cha Sadc kule DRC
Wanashinda kwa idadi ya wanajeshi au vifaa na mbinu?
 
Ukiwakuta wanapiga raia wasio na silaha unaweza kuamini ni imara sana, kumbe?!
Hii nchi iko salama kwasababu yao , kama kuna kikundi kinaweza kije kipige sehemu yeyote ya Tanzania halafu watapata majibu yao
 
Ni kama mwanajeshi wetu hakupenda kukaguliwa na hao jamaa ukimuangalia mwanajeshi wetu alikuwa very serious na alikuwa anaheshimu tu mamlaka ya nchi za watu ila ukiangalia wanaomkagua ni wepesi sana kwa mwanajeshi wetu.
Sifa za kijinga hizi. Yuko serious wakati hana uwezo.
 
Hamna kitu.
Nchi yetu iko salama kabisa hakuna waasi wala takataka zao , hii ni kazi kubwa ya jeshi letu , kama unafikiri utulivu huu ni wa kulala na kuamka nenda kaishi Goma utaelewa hii nchi ni salama kabisaa
 
Back
Top Bottom