Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Hayo ni matusi kwa Tanganyika. Umeme mnapewa bure. Nafaka zote Tanganyika, Mifugo ya nyama Tanganyika. Ardhi yetu mmeipora. Tanesco wakizima tu umeme wewe hicho kiswaswadu chako kinazima.
Ni ujinga wa smz tu kuendelea kununua umeme ghali zaidi kutoka huko, hata kenya wangewauzia kwa bei nafuu au kuanzisha vinu vyao vya kuzalisha umeme, hakuna bidhaa Zanzibar wanaipata bure kutoka Tanganyikani, soko la bara linaimarika kwa sababu wazanzibar wananunua bidhaa mbali mbali za chakula kutoka huko, Tanganyika inaneemeshwa ni zanzibar ndio mana likija suala kuvunja muungano huu na kuleta mpya mnapinga zaidi upande huo.

Zanzbar ndio nchi pekee duniani ambayo wananchi wake wanalipishwa kodi mara 2, kodi ya kwanza wananchi wanalipa ZRA lakini nyengine ni TRA, makusanyo ya TRA zanzibar hainufaiki na hata shilingi moja zote zinakusanywa na kuletwa huko ili muweze kulipana mishahara yenu na shughuli zenu za maendeleo.
 
Haya wameyataka wenyewe.

Tumekuwa tukishauri Sana hapa mtandaoni kwamba Wanajeshi wa nchi yetu warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu hii, lakini inavyoonekana Watawala wa nchi hawataki kusikia ushauri wetu huo. Matokeo yake ndio haya sasa.

"Aonywaye Mara nyingi naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena."
(Mithali 29: 1)

Kama ni suala la Kulinda Amani, basi Jeshi linapaswa kupeleka Wanajeshi wake katika nchi za mbali, lakini siyo kwenda kulinda amani katika nchi ambazo ni majirani zetu. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi. Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Kulinda amani vinapaswa kupelekwa katika nchi za mbali huko Kama vile kwa mfano Pakistan, Lebanon, Mynmar, Haiti, n.k.

All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.

Daima Tukumbuke kwamba 'ukiungana na Wadhalimu basi Wapenda HAKI hawatakuwa upande wako.'
Wewe hujui chochote dunia inavyoendeshwa, vita unaifuata hukohuko inakotaka kuanzia! unataka mpaka Kagame arushe mabomu kule Karagwe ndio askari wetu waingie kazini!
 
Wewe hujui chochote dunia inavyoendeshwa, vita unaifuata hukohuko inakotaka kuanzia! unataka mpaka Kagame arushe mabomu kule Karagwe ndio askari wetu waingie kazini!
Hivi Majeshi ya Tanzania yaliyopelekwa huko DR Congo il kwenda kutetea maslahi ya nani hasa?
Majeshi ya Tanzania yanalipwa na kutunzwa kutokana na Fedha za Kodi za waTanzania, Je, wameenda huko DRC kwa majirani zetu kwa kuzingatia vigezo vipi hasa ukizingatia kwamba Kivu (Goma na Bukavu) siyo mikoa ya nchi hii ya Tanzania??

Huoni kwamba Jeshi la Tanzania linadhalilishwa kwa Sasa huko Goma?
Wanajeshi wa JWTZ Sasa wamekuwa MATEKA wa M23, wewe huoni kwamba hii ni udhalilishaji na fedheha kubwa sana kwa nchi ya Tanzania? Hivi kweli
Wanajeshi wa Tz ni wa kutekwa mateka na Waasi wa M23??????
 
Hivi Majeshi ya Tanzania yaliyopelekwa huko DR Congo il kwenda kutetea maslahi ya nani hasa?
Majeshi ya Tanzania yanalipwa na kutunzwa kutokana na Fedha za Kodi za waTanzania, Je, wameenda huko DRC kwa majirani zetu kwa kuzingatia vigezo vipi hasa ukizingatia kwamba Kivu (Goma na Bukavu) siyo mikoa ya nchi hii ya Tanzania??

Huoni kwamba Jeshi la Tanzania linadhalilishwa kwa Sasa huko Goma?
Wanajeshi wa JWTZ Sasa wamekuwa MATEKA wa M23, wewe huoni kwamba hii ni udhalilishaji na fedheha kubwa sana kwa nchi ya Tanzania? Hivi kweli
Wanajeshi wa Tz ni wa kutekwa mateka na Waasi wa M23??????
Umasikini wenu ndio uliopeleka majeshi yenu Congo, kataeni misaada ya UN lakini muvunje na huo umoja wenu wa Africa sijui SADIC na nini ndio mtaacha kwenda Congo
 
kabla ya kuingia congo kutafuta amani.waingie kwanza rwanda wamtoe kagame
 
IMG_2128.png
Jeshi la Tanzania liko mpakani mwa Rwanda na DRC Rubavu Boarder post , wakikaguliwa na polisi wa kawaida wa Rwanda. Hii ilitokea baada ya M23 kuteka jiji lote la Goma, na wakaacha silaha zao zote mikononi mwa M23.



 
Duh hivi ina maana Kagame ndio mbabe rasmi wa kivita hapa Afrika Mashariki, kusini na kati?
Bado sana kumpa hiyo nafasi.
Jeshi letu lilienda kwa mgongo wa UN, Monusco na SADC.
Wajuvi mnajua wazi ukienda kwa mwavuli tajwa hapo juu ni sawa na umefungwa mkono mmoja.

Hauko kwenye mapigano ya moja kwa moja zaidi ya kujihami mnaposhambuliwa.

Pili.
Tulipeleka kikosi kidogo tu hivyo naona wengi tunachangia kimhemko
 
Badala la Jeshi letu kuchukua maamuzi dhidi ya hawa wajinga CCM ili kurudisha heshima yao na ya Taifa letu, saivi wanapigishwa mazoezi nchi nzima eti wajiandae na uchaguzi kwa maelekezo ya hawa wajinga wa CCM.

Acha Kagame aendelee kuwadhalilisha maana wamekubali wenyewe kuwa wajinga kwa wapuuzi wa CCM.
 
Bado sana kumpa hiyo nafasi.
Jeshi letu lilienda kwa mgongo wa UN, Monusco na SADC.
Wajuvi mnajua wazi ukienda kwa mwavuli tajwa hapo juu ni sawa na umefungwa mkono mmoja.

Hauko kwenye mapigano ya moja kwa moja zaidi ya kujihami mnaposhambuliwa.

Pili.
Tulipeleka kikosi kidogo tu hivyo naona wengi tunachangia kimhemko
Umesikiliza ile clip Azam News?
 
Back
Top Bottom