komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Huyu mwehu tu, anaropoka hovyo. Anasumbuliwa na chuki za kidini.
Una kichaa wewe siyo bure. Tanganyika na Zanzibar zimeungana 1964. Ikaanza kuitwa Tanzania. Vita na Uganda 1979 utasemaje wamekodisha jeshi kutoka Zanzibar?. Hakuna kitu unajua kuhusu Tanzania unaropoka tu. Ushasema Kagera siyo ya Tanzania vamieni Kama mlivyovamia goma muone tutakavyowanyonyoa