John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Walikua wakienda Chooni, wanaomba permission had ya kununua gazi,
Check this baruwa wanutuma kwa M23 za kuomba apology
View: https://x.com/tredingrw/status/1894379563624308987?s=46%5B/URL
Vukeni rusumo na vifaru tuonenina mashaka sana na jeshi la Tanzania
seems very weak and unprofessional
Matekwa ndiyo nini?Jeshi lote la SMIDRC ( South africa ,3000 , Tanzania 1000, Malawi 1000, ) hawa wote ni matekwa, they check the documents.
View attachment 3255955
Mwambie mwenzio jeshi la tanzania siyo jkt
Chini ya serikali pumbff ya samia watakuja hata kupigwa tigoThis is the trending video on Rwandan social media showing Tanzanian military officers at the Rwanda-DRC border office in Rubavu. They were repatriated from Goma after M23 seized control of the city. Reports indicate that M23 captured over 1,300 SADC troops, including soldiers from Tanzania, Malawi, and South Africa, as well as more than 10,000 troops from Burundi, Wazalendo forces, and FARDC. They were searched by Normal Police at Rwandan - DRc Boarder and their hand bags
Pole kwao
Pole ya Nini wakati wamevuna walichopanda?Pole kwao
Vita ni vita muraa...This is the trending video on Rwandan social media showing Tanzanian military officers at the Rwanda-DRC border office in Rubavu. They were repatriated from Goma after M23 seized control of the city. Reports indicate that M23 captured over 1,300 SADC troops, including soldiers from Tanzania, Malawi, and South Africa, as well as more than 10,000 troops from Burundi, Wazalendo forces, and FARDC. They were searched by Normal Police at Rwandan - DRc Boarder and their hand bags
Kuna ukweli ndani ya uliyo sema hapa. Sina hakika kama jeshi hili bado ni la wananchi wa Tanzania.Jeshi limekuwa la CCM
Hii kitu haitapita Bure!Ukiwaangalia wanavyofanya maonyesho kuwafurahisha wajinga wa CCM ili kuwatisha Watanzania wasio na hatia alafu ukiangalia hapo wanavyodharilishwa na hao askari wa Kagame unajisemea tu moyoni kuwa Jeshi letu linatakiwa kupata Viongozi wanaojitambua sio cowards wa wanasiasa.
Unaandika upumbavu sana. Hivi nani alikudanganya kila jambo la kitaifa linakuwa na sababu za kisiasa. Mambo ya Jeshi yako nje ya uwezo wako wa kufikiri. Baki kwenye siasa za CDM na CCM.Kwa kifupi jeshi letu liamke na kuacha kuwa makondoo wa CCM. Haya ndo matokeo ya Jeshi kuwa vibaraka wa wanasiasa wajinga.
Warudi kwenye miiko yao ya kusimamia nchi na wananchi under professionalism. Mkishazoea kutumwa na Wanasiasa kufanya usafi ili kutisha wananchi wasidai haki zao haya ndo matokeo yake. Mnaishiq kudharirishwa na nchi ambazo mlivifundisha vikosi vyake wakati fulani
Sasa tueleze wewe hapo "wamelinda amani" gani? Matokeo si umeyaona?Wazee mbona mnaongea sana vitu msivyovijua? Vita ya Congo sio yetu, ni vita kati ya jeshi la Congo na waasi wa M23. Sadc wamepeleka troops kulinda amani na askari wetu wapo. UN wamepeleka troops kulinda amani na askari wetu wapo. Hizo troops zote zinafuata maelekezo ya SADC na UN hao ndio wenye mwamvuli. Na ukisikia kulinda amani sio kuleta Amani au kutengeneza Amani, kulinda Amani ni kulinda hiyo amani ndogo iliyopo hapo.
Acha kututetea. Tumefukuzwa,tumeondolewa,tumekimbizwa,tumedhalilishwa,tumefedheheshwa, tumekaguliwa na tumenyang'anywa Kila kitu. Kagame anajambo lake ambalo tusipoonyesha ukubwa wetu,tutaendelea kufedheheshwa sana.Ukiwa under UN kuna rules zinakubana. Ila hawa hawa wangekuwa under AU rules story ingekuwa tofauti
Kwenye vita yule ambae mikono yote iko free, yaani ana ruhusa ya kufanya lolote ili ashinde hiyo ndio ata perform vizuri else ni majanga
Daah wametengeneza chuki Moja Kali sanaVita ni vita muraa...
Na hatuwezi kusema tumeshindwa wakati jeshi lenyewe kutoka Tanzania hawakuwa hata 500 na bado maelekezo ya namna ya kupigana na kupiga wapi yalitoka moja kwa moja kutoka vikosi vya UN.. ila bado nimejisikia vibaya sana..
Yaani nilikuwa nakula hata chakula kula nimeshindwa kumaliza haa wasenge rwanda ipo siku yao kenge hawa.
Lakini wewe mwenyewe hujatuonyesha chochote kuwa siyo "mpumbavu" zaidi ya huyo unaye msema hapa.Unaandika upumbavu sana. Hivi nani alikudanganya kila jambo la kitaifa linakuwa na sababu za kisiasa. Mambo ya Jeshi yako nje ya uwezo wako wa kufikiri. Baki kwenye siasa za CDM na CCM.
Suala hilo la kihuni halitapita bure bila kujibiwa vikali.