Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

Hivi wajuvi wa mambo aya ebu nisadieni ,hakuna namna au kutafuta sasababu yoyote ya kuifuta Rwanda iwe moja ya sehema za nchi za Afrika mashariki , naona kama msubufu , shida nini kwamba ana nini cha juu kuliko nchi nyingine ndani ya Afrika mashariki?
Tofauti yao ni sie ni moja tu. Wakati sie saivi tumewekeza sana kwenye uchawa, kujipendekeza, wizi hadi wa chaguzi za vijiji na mitaa, kudharau wasomi na wenye akili huku madaraka yakishikwa na wajinga wao wamewekeza kwenye wasomi, kutumia zaidi akili na tafiti ili kuifanya nchi yao kuwa bora.
 
Mimi naona pengine kulikuwa na protokali za kiusalama zilikuwa lazima zifuatwe kabla ya kuvuka mpaka ndio maana kukawa na delay hiyo. Sijaona jambo la ajabu hapo.🤔
 
Mimi naona pengine kulikuwa na protokali za kiusalama zilikuwa lazima zifuatwe kabla ya kuvuka mpaka ndio maana kukawa na delay hiyo. Sijaona jambo la ajabu hapo.🤔
Issue inaratibiwa na UN na SADC alafu unasema hakuna delay?

Kwenye haya masuala hakuna jambo linalofanywa kwa bahati mbaya. Hapo jamaa anajaribu kuwaonesha You are nothing to me na hamuwezi kunifanya chochote.

Hapo jamaa anawatumia message kuwa mie ndo mtabe wa eneo hili na mkome kuja huku.

Hawajacheleweshwa kwa bahati mbaya.
 
Hawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.

Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.

Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?

Source: BBC Swahili news.
PAKA hacheki na wowote.
 
Back
Top Bottom