ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ulitaka atoe Msaada gani? Muda mrefu ndio nini?..tangu askari wamefariki na wengine kujeruhiwa ni muda mrefu.
..Amiri Jeshi Mkuu hana msaada muda wowote.
..Hajali askari wanapopatwa na shida.
Ulitaka atoe Msaada gani? Muda mrefu ndio nini?
Kwani hawajarudishwa?..waliofariki na kujeruhiwa warejeshwe.
..Afrika Kusini wameshapokea vijana wao.
..sisi tuko busy kutangaza singeli.
M23 na Rwanda ni pande mbili za shillingi (two faces of the same coin) hata ripoti za UN zimethibitisha hilo.Kwani JWTZ anapigana vita na M23 au Rwanda?
Kwani hawajarudishwa?
Wamerudi au hapana ?..sisi tuko karibu na Congo kushinda Afrika Kusini.
..sasa Afrika Kusini kupokea askari wake kabla yetu maana yake sisi ni wazembe, na hatuwajali vijana wetu.
Tofauti yao ni sie ni moja tu. Wakati sie saivi tumewekeza sana kwenye uchawa, kujipendekeza, wizi hadi wa chaguzi za vijiji na mitaa, kudharau wasomi na wenye akili huku madaraka yakishikwa na wajinga wao wamewekeza kwenye wasomi, kutumia zaidi akili na tafiti ili kuifanya nchi yao kuwa bora.Hivi wajuvi wa mambo aya ebu nisadieni ,hakuna namna au kutafuta sasababu yoyote ya kuifuta Rwanda iwe moja ya sehema za nchi za Afrika mashariki , naona kama msubufu , shida nini kwamba ana nini cha juu kuliko nchi nyingine ndani ya Afrika mashariki?
Kuwazuia tu majeruhi wetu na marehemu wetu kwa muda mrefu kiasi hichi ni ujumbe kuwa wanatudharau, wanatuona wajinga na hatuna chochote cha kuwafanya...tangu askari wamefariki na wengine kujeruhiwa ni muda mrefu.
..Amiri Jeshi Mkuu hana msaada wowote.
..Hajali askari wanapopatwa na shida.
Issue inaratibiwa na UN na SADC alafu unasema hakuna delay?Mimi naona pengine kulikuwa na protokali za kiusalama zilikuwa lazima zifuatwe kabla ya kuvuka mpaka ndio maana kukawa na delay hiyo. Sijaona jambo la ajabu hapo.🤔
Acha tu muraNatamani irudi miaka ile kanda ya ziwa tulipomuambia Idd Amin dada, toka,,, akatorokea mpakani mbarara. Leo tunachezewa na wapumbavu wanyarwanda wasiotahiriwa, Mura Mura, Mura.
Ni muda kidogo Rwanda itatutukanaHuyu Amiri Jeshi wa sasa anatudhalilisha.Hivi lile Jeshi la JKN liliichukua kampala na kupigana kote huko kusini mwa Africa liko wapi?Soon kwa mwendo huu tunaweza sumbuliwa na waasi wa Mtwara toka msumbiji tusipokuwa makini 🤔
PAKA hacheki na wowote.Hawa waasi wanatubipu.
Wamewarejesha wanajeshi wetu wa JWTZ nyumbani kupitia Rwanda bila silaha.
Walipoulizwa kwanini wanawafanyia hivyo, wakajibu Sila zote walizokuwa wanatumia Goma ni za Umoja wa Mataifa sio za Tanzania.
Cha ajabu wao hutumia silaha hizo kuteka maeneo mashariki mwa Congo.
Je wanajeshi wetu hawakubeba hata silaha zetu chache wakati wakitoka huku kwenda Congo?
Source: BBC Swahili news.