mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Sasa akirudi salama salmini mtaweka wapi nyuso zenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaMbowe kakataa Bilioni 3. Mwambie mimi nimesema yeye ni mjinga.
Wewe tumewaza pamoja kumbe 😍Kuna ukweli kwenye hii ''fasihi ya kulazimisha?'' Mshana Jr ni kama ametupa jiwe gizani likakupata!
1. Mwarabu anatua kwenye mbuga zetu
2. Anachagua wanyama na kwenda kuchukuwa dege kubwa la kuwababeba na kufaniwa kuwafikisha uarabuni salama
3. Unafika wakati wa kwenda kuchukuwa malipo
4. Anaondoka ''fulani'' lakini kwa kupitia nchi jirani ili kupoteza watu maboya, ili akaunganishe kupitia Afrika Kusini
5. Alipofika Afrika Kusini..........
Una chuki na aliyekuzidi uelewa na aliye kinyume nawe.Hakuna taste ya kusomwa. Huna fasihi, usijilazimishe.
Nyepesi tuliza wenge wala huhitaji four figure 😹Hii Code ya leo ni sawa na hesabu za Logarithm😂 bila four figure hutoboi
Bro huyo huyo toto pendwa wakamuweka mtu kati udibani ss hivi anacheza mapiano. Kwa kinyaki tunasema, “Twalimmenye naloli” 🤭Mtoto pendwa ndo alitumwa akachukue malipo ya mnada wa twiga wetu kupitia Madibani halafu wakamzunguka wakamkolimba? 🤤🤤🤤
Hakika wangu🙏Yuko likizo bana 😂
Hakika mkuuKuna watu wamechaguliwa na Mungu kwa kusudi maalum.
Yaan mwee😣Labda iwe Polonium Ndiyo deadly slow killer
Ok mi Nina A3 form sixKama huna D2 huwezi kumuelewa Lissu
Mkuu hii code hata uwe na D Tano Bado utaambulia kapaDoh...code ngumu hii
Hata uwe na D mbili kufungua utalazimisha sana
Bibi bomba ushazeeka tulia mshana kaoaHakuna taste ya kusomwa. Huna fasihi, usijilazimishe.
ndio naingia leo wacha nianze kusoma upya niunganishe dots asante sana unafaa mnoMama Mwana njoo nikufungulie code shosti
1. Unaikumbuka sinema ya mbugani? Basi hapo anasema ile sinema ilikuwa ni kutaka kuonyesha bidhaa walizonazo kwenye soko la biashara.!!
2.Baada ya sinema wale jamaa wa visima vya mafuta wakashinda uzabuni na wanapanga waje kusomba mbuzi na ng’ombe
3.Wakaleta mwewe mkubwa wakapandisha ng’ombe na mbuzi na aina nyingine ya mifugo
4.Baada ya mauzo wakaenda mpk kwa Madiba ili kupoteza maboya wakachukue mpunga kwenye mji wa visima vya mafuta na huko aliyetumwa ndio koh koh koh (mwanasheria wangu hapokei simu) 🤣
5.Hapa 😭😭😭😭
Tusubiri maelekezo inavyosemekana mjumbe hayuko okay.
Nothing serious mi najaribu kuifungua codes 😹