Mwisho wa tetesi au mwanzo wa breaking news?

Mwisho wa tetesi au mwanzo wa breaking news?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Mfuatano wa matukio kama tarakimu mnyumbuliko
Nambari 1
Mwana jangwa anatua mwituni kimya kimya kisha wahandisi wanamfyatua mafoto akiwa na wapendwa.. Wahandisi kupitia nukuu ya wapendwa wanasema mwana jangwa kaleta bure kabisa neema ya chemchem na vijito.. Huu ni upendo mkubwa kabisa na anabwagiwa misifa kama yote na wapendwa
Je baada ya wahandisi kuondoka na mafoto yao .. Ninini kilijiri mwituni kizani nyuma ya pazia?

Nambari 2
Huu ulimwengu wa leo hauna na haujui kitonga ganda la ndizi.. Ni nipe nikupe.. Hivyo uchaguzi wa mifugo bora huko mwituni unaanza.. Nipe mifugo nikupe chemchem na vijito na manemane na uturi nakazalika kazaa!
Uchaguzi wa mifugo bora unapikamilika, means jangwa anaondoka kwenda kuchukua tingatinga la kubeba mifugo yake
Mwana jangwa kweli hana haya.. Yaani vijito vyangu, chemchem zangu, mifugo yangu. halafu unasema kimoja umenipa ili uchukue kingine😡

Nambari 3
Baada ya kitambo kidogo tingatinga kubwa wenye mabawa kutoka jangwani linatua kiwiziwizi na kifichoficho kama wevi mwituni na kuondoka na mifugo ya kutosha sana sana chini ya usimamizi madhubuti wa wapendwa🤔😭

Nambari 4.. Tamka ine!
Chemchem na vijito mmepata.. Mifugo imeshaondoka salama mwituni na kuwasili Salama jangwani.. Ni wakati sasa wa wapendwa kwenda kupokea asante ya manemane , uturi halua
Changamoto ni moja... Namma ya kuchomoka bila maswali ya wahandisi vizabizabina.. AWOL itafaa? La hasha.. But who cares!
Wapendwa wana uwezo wa kupita vichochoro hadi kwa jirani bila shida .. Mone tok mai flend.. Wapendwa wakifika kwa jirani wanaweza kupoteza maboya kwa kuzunguka mbuyu mpaka huko bondeni kishapo jangwani

Nambari 5
Wewe ukijua hivi wale wanajua vile.. Kichochoro cha kwa jirani kupitia bondeni (sio bonde la ufi) mpaka jangwani kina mengi ya kusimulia maana kimeyaona yote!

Je wapendwa walifanikiwa kuvuka bonde na kufika jangwani?
Je bonde lilibeba uvuli wa mauti? Ziraili hana kikao lakini ana kikalio

Tukutane part two kama tetesi zitakoma...

Good morning Tanganyika!
FB_IMG_1723220926655.jpg
 
Mfuatano wa matukio kama tarakimu mnyumbuliko
Nambari 1
Mwana jangwa anatua mwituni kimya kimya kisha wahandisi wanamfyatua mafoto akiwa na wapendwa.. Wahandisi kupitia nukuu ya wapendwa wanasema mwana jangwa kaleta bure kabisa neema ya chemchem na vijito.. Huu ni upendo mkubwa kabisa na anabwagiwa misifa kama yote na wapendwa
Je baada ya wahandisi kuondoka na mafoto yao .. Ninini kilijiri mwituni kizani nyuma ya pazia?

Nambari 2
Huu ulimwengu wa leo hauna na haujui kitonga ganda la ndizi.. Ni nipe nikupe.. Hivyo uchaguzi wa mifugo bora huko mwituni unaanza.. Nipe mifugo nikupe chemchem na vijito na manemane na uturi nakazalika kazaa!
Uchaguzi wa mifugo bora unapikamilika, means jangwa anaondoka kwenda kuchukua tingatinga la kubeba mifugo yake
Mwana jangwa kweli hana haya.. Yaani vijito vyangu, chemchem zangu, mifugo yangu. halafu unasema kimoja umenipa ili uchukue kingine😡

Nambari 3
Baada ya kitambo kidogo tingatinga kubwa wenye mabawa kutoka jangwani linatua kiwiziwizi na kifichoficho kama wevi mwituni na kuondoka na mifugo ya kutosha sana sana chini ya usimamizi madhubuti wa wapendwa🤔😭

Nambari 4.. Tamka ine!
Chemchem na vijito mmepata.. Mifugo imeshaondoka salama mwituni na kuwasili Salama jangwani.. Ni wakati sasa wa wapendwa kwenda kupokea asante ya manemane , uturi halua
Changamoto ni moja... Namma ya kuchomoka bila maswali ya wahandisi vizabizabina.. AWOL itafaa? La hasha.. But who cares!
Wapendwa wana uwezo wa kupita vichochoro hadi kwa jirani bila shida .. Mone tok mai flend.. Wapendwa wakifika kwa jirani wanaweza kupoteza maboya kwa kuzunguka mbuyu mpaka huko bondeni kishapo jangwani

Nambari 5
Wewe ukijua hivi wale wanajua vile.. Kichochoro cha kwa jirani kupitia bondeni (sio bonde la ufi) mpaka jangwani kina mengi ya kusimulia maana kimeyaona yote!

Je wapendwa walifanikiwa kuvuka bonde na kufika jangwani?
Je bonde lilibeba uvuli wa mauti? Ziraili hana kikao lakini ana kikalio

Tukutane part two kama tetesi zitakoma...

Good morning Tanganyika!View attachment 3065758

Hiyo picha ina maelezo kem kem..
 
Hakuna taste ya kusomwa. Huna fasihi, usijilazimishe.
Kuna ukweli kwenye hii ''fasihi ya kulazimisha?'' Mshana Jr ni kama ametupa jiwe gizani likakupata!
1. Mwarabu anatua kwenye mbuga zetu
2. Anachagua wanyama na kwenda kuchukuwa dege kubwa la kuwababeba na kufaniwa kuwafikisha uarabuni salama
3. Unafika wakati wa kwenda kuchukuwa malipo
4. Anaondoka ''fulani'' lakini kwa kupitia nchi jirani ili kupoteza watu maboya, ili akaunganishe kupitia Afrika Kusini
5. Alipofika Afrika Kusini..........
 
Kuna ukweli kwenye hii ''fasihi ya kulazimisha?'' Mshana Jr ni kama ametupa jiwe gizani likakupata!
1. Mwarabu anatua kwenye mbuga zetu
2. Anachagua wanyama na kwenda kuchukuwa dege kubwa la kuwababeba na kufaniwa kuwafikisha uarabuni salama
3. Unafika wakati wa kwenda kuchukuwa malipo
4. Anaondoka ''fulani'' lakini kwa kupitia nchi jirani ili kupoteza watu maboya, ili akaunganishe kupitia Afrika Kusini
5. Alipofika Afrika Kusini..........
Kwann sio Simba na Yanga??
 
Back
Top Bottom