Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwa yoyote alobarikiwa kua na Uwezo wa kukisia mambo Fulani Fulani ya nyakati zijazo.
Kuna Makosa yalifanyika 2015-2020 , Ufalme akaanguka, Licha ya Ufalme kufanya mambo makubwa yaliyoonekana.
Makosa yaleyale yanajirudia 2022-2025, safari hii yanajirudia kukiwa na mambo yanayopigiwa kelele sana, DP World , Ngorongoro ya wamasaai , n.k.
Makosa yenyewe Wala hata hayahitaji nguvu kuachana nayo, VIFO VYA KISIASA , UKANDAMIZAJI WA SIASA PINZANI , DHURUMA KWA WANANCHI KUKOSA FURSA YA KUONGOZWA NA VIONGOZI WANAOWATAKA( TAMISEMI 2020 ).
Naam , na ni katika huu mtifuano wa masuala ya Dp World, Masuala ya Abdul , Masuala ya Lissu na Mbowe, NDIPO HAPO CCM YA KAMANDA JK ITASHINDA.
Mfalme anapozungukwa na Washauri wabaya, Haki na Kuinuka Kwa Taifa, Hupotea .... Mzee kikwete anaposema, ukitaka mambo yako yanyooke, Kaa vizuri na Wazee , anamaanisha kwelikweli.
Yule Adui "UJINGA" hatunae.
Kuna Makosa yalifanyika 2015-2020 , Ufalme akaanguka, Licha ya Ufalme kufanya mambo makubwa yaliyoonekana.
Makosa yaleyale yanajirudia 2022-2025, safari hii yanajirudia kukiwa na mambo yanayopigiwa kelele sana, DP World , Ngorongoro ya wamasaai , n.k.
Makosa yenyewe Wala hata hayahitaji nguvu kuachana nayo, VIFO VYA KISIASA , UKANDAMIZAJI WA SIASA PINZANI , DHURUMA KWA WANANCHI KUKOSA FURSA YA KUONGOZWA NA VIONGOZI WANAOWATAKA( TAMISEMI 2020 ).
Naam , na ni katika huu mtifuano wa masuala ya Dp World, Masuala ya Abdul , Masuala ya Lissu na Mbowe, NDIPO HAPO CCM YA KAMANDA JK ITASHINDA.
Mfalme anapozungukwa na Washauri wabaya, Haki na Kuinuka Kwa Taifa, Hupotea .... Mzee kikwete anaposema, ukitaka mambo yako yanyooke, Kaa vizuri na Wazee , anamaanisha kwelikweli.
Yule Adui "UJINGA" hatunae.