Hiyo ndoyo hali halisi ya CCM bila policcm na ma lori ya kubeba washabikiNaibu waziri wa Tamisemi anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.
Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.
Chanzo: ITV Habari
Ccm bila polisi na malori ya kubeba watu hiyo ndiyo hali hali. Na huyo ni Naibu waziri sijui wengine hali zikoje.Kawabishie ITV, CCM imebaki na pumba tu. Umewekewa chanzo unamlaumu mletaji.
Kweli wanafeli angalia video hii hapaMimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Tupia picha inayothibitisha maneno yako.Mimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Mwingine kasema hivi huyu nae ni ccmHiyo ni rasharasha, masika inaenda kunyesha October.
Mwananchi mmoja amesikika akisema: "tunajua kilichomleta, ametumwa kuja kuvuruga na hatovuruga"
Watanzania wameshachoka kuchezewa akili na hawa watu.
MabinaππWananchi hao siyo wale waliomrestishaga yule mwenyekiti?Haikosi ni watu wanaojitambua.
Sura limevimbiana mikonyagiJamaa anajiona mjuaji sana, anaamini kila mahali anaweza peleka ile sura yake!
Huyo mama mwenye Tshirt nyekundu mbona mtata sana ?Na bado
hao ndio wanaitwa wazalendoHuyo mama mwenye Tshirt nyekundu mbona mtata sana ?
Ana bahati wangemuotesha nywele leo. π€£π€£
Mwenyekiti wako ana mmbonge wa komwe π ukilicheka komwe uhujumu uchumi unakuhusu πππππππππsasa nyinyi ufipa mbona akilizenu zinamakengeza kama mwenyekiti wenu.
itv ni kituo cha habari.tanzania kuna uhuru wa habari mkubwa mno.sasa kwa nini mnaleta habari za uzushi ?
Mimi nilikuwepo mbona sijaona huo mnusuriko wa kichapo? Bavicha mnafeli wapi?
Mbona huo mkuku hauonekani kwenye hiyo video clip? Ila ukweli huyu Bwire hafai kabisa na udiwani hatimaye umeya aliutafuta kwa ajili ya kujinufaisha yeye binafsi. Hiyo kesi yake mahakamani ambayo imechukua miaka kibao serikali inapaswa kuimulika. Waitara alifanya kosa kubwa kujaribu kumtetea huyu Bwire. Wananchi wanamjua vizuri huyu jamaa. Hayo majengo yake yabomolewe tu irrespective ya hiyo court injuction aliyoiwekwa kwani haiwezi ikawa ya kudumu. It has expired.akatoka mkuku
Wangeliua kabisa hili takataka la -CCM
Naibu waziri wa Tamisemi anausurika kupokea kichapo kutoka kwa wafuasi wa Bwana Bwire Meya ( mkurugenzi wa shule za Alliance) wa huko jijini Mwanza.
Hii migogoro ya Ardhi wamuachie Lukuvi.
Chanzo: ITV Habari