Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

Katika kitabu Cha suratul al tawrat kwenye Qur'an tukufu mola mlezi alikwisha kuandika katika amri zake ya kwamba usiibe. Naye atakaye Iba ni dhambi na halali yake akatwe vidole vya mikono na hata mwili ikiwa atarudia makosa hadhaa.

Ukitenda dhambi fahari yake ni maut basi watu wa mola mlezi jitahadharini. Allah Akbar.
 
Picha muhimu Sana ku support hii habari yako (taarifa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…