Al maktoum
JF-Expert Member
- Nov 23, 2022
- 499
- 678
Nawambia msikitini wakija kuswali kwamba haifai kuchoma moto wezi wawapeleke kwenye mamlaka zinazohusika.Ndio maana nikasema kwanini haya mawaidha usiyaseme kariakoo mkuu Ili uokoe wezi wanaouwawa kwakuaumesema Allah apendi fanya siku ujitoe muanga Kwa ajili ya mwizi mkuu hata ukifa utakua umepata thwawabu Kwa allah
Msikitini aitoshi shekhe ukiona mwizi kariakoo nenda kamtetee hata ukifa umekufa kifo chema Kwa allaah sababu umetetea mwizi kufaNawambia msikitini wakija kuswali kwamba haifai kuchoma moto wezi wawapeleke kwenye mamlaka zinazohusika.
Wale wanaokwenda makanisani pia viongozi wao watawaambia kuwa bwana Yesu anasema : " samehe saba mara sabini."Na kwamba mtu akikunyang'anya koti mpe na shati"
Wale wasioenda misikitini wala makanisani tuiachia serikali iwaeleweshe kutii sheria bila shuruti!.
Mzee sisi tutawachoma sana acha wizi siku Yako yaja
Nenda ikulu na dumu la mafuta na kiberiti ukawachomeNataka nimjue mwanzilishi wa Hii style ya kuchoma moto wezi
Mbona wezi wa Mali za uma serikalini hawachomwi moto wanaachwa tu Wanapiga hela zetu?
Inaonekana mwanzilishi aliwalenga dagaa mchele tu, papa na nyangumi hapana!
Inasemekana kwenye biblia kuna amri ya 11 inasema " Ukiiba usikamatwe sio dhambi".Nataka nimjue mwanzilishi wa Hii style ya kuchoma moto wezi
Mbona wezi wa Mali za uma serikalini hawachomwi moto wanaachwa tu Wanapiga hela zetu?
Inaonekana mwanzilishi aliwalenga dagaa mchele tu, papa na nyangumi hapana!
Dini yangu haijanielekeza niende bar kuwapa mawaidha walevi waache pombe, au kwenda guest house kuwapa mawaidha wazinifu waache kuzini , au niende night club kuwafundisha maadili akina generation z nikifanya hayo nitaambiwa : ( MWANA KULITAFUTA , MWANAKULIPATA". Mimi naridhika na mafundisho nayoyatoa misikitini kuwa wanaotaka kuelewa wanaelewa. Na hapa mtandaoni nimeona kuna fursa ya kukumbushia machache na nimetimiza wajibu wangu. Mtu akija msikitini kutuibia viatu vyetu nitakuwa na mamlaka ya kuwaambia waislamu wasimuue bali wampeleke kwenye mamlaka zinazohusika na makosa ya jinai na hata makosa ya madai ama huko KARIAKOO SIJI NG'O!!Msikitini aitoshi shekhe ukiona mwizi kariakoo nenda kamtetee hata ukifa umekufa kifo chema Kwa allaah sababu umetetea mwizi kufa
Bwana Christopher Paul yaonyesha wewe na baba yako ni wakristu au Wakristo japo sijui mpo dhehebu gani,Je, kwani wewe dini yako inaruhusu kuwaua wezi kwa kuwachoma moto?!Msikitini aitoshi shekhe ukiona mwizi kariakoo nenda kamtetee hata ukifa umekufa kifo chema Kwa allaah sababu umetetea mwizi kufa
Sheikh Mimi swala la mwizi nikikutana nae naua walishaniulia mdogo wangu kisa laki 1 ninaghazabu na mwizi yeyote atayeonekana mbele yanguBwana Christopher Paul yaonyesha wewe na baba yako ni wakristu au Wakristo japo sijui mpo dhehebu gani,Je, kwani wewe dini yako inaruhusu kuwaua wezi kwa kuwachoma moto?!
Sio Kwa sura hii ya Leo kariakoo hauulizi mara MbiliHaya mambo ya kumuitia mwizi halafu raia wakaunga nae ni noma sana, huenda muhanga alihisi tu halafu akapiga nduru raia wakaunga na mwizi..
Wadada ndo wanatumiaga sana hisia na mwamba unaweza kujikuta unakula kiberiti hivi hivi unajiona..
Kuna dogo juzikati kaitiwa eti ni mwizi wa watoto aloo ameshushiwa kipigo kizito na ni dogo tu almost 15yrs, story ikasambaa kinoma wamama wakalaani kua kwanini asichomee moto tu huyo. Ila ukifikiria kwa makini na nature ya ule mtaa si ajabu dogo wala hakua na nia ya kuiba mtoto, ni ile unacheza nae mbali kdogo na kwao, dogo hajui kwa hao madogo ni wapi. Mama mtu akicheki mwanae uani hayupo, anahamaki kua mwanae kaibiwa, anaanza kumsaka, kumkuta dogo kambeba mwanae na vile hamjui basi moja kwa moja nduru ya mwizi wa mtoto ikapigwa, raia wakajaa kipigo kikaanza..
Hii kuua kuua moja kwa moja haijakaa sawa sometimes
Pole sana ndugu! Ila uwe makini maanake unaweza kumuua mwizi halafu ukajikuta umeingia kwenye mgogoro na vyombo vya sheria. Kuna muhindi huko nyuma aliwahi kuimba alisema : "Jikan haa kaanoon Hein" Maana yake sheria ni kipofu. Saa nyingine humuhukumu kuwa na hatia asiye na hatia.Sheikh Mimi swala la mwizi nikikutana nae naua walishaniulia mdogo wangu kisa laki 1 ninaghazabu na mwizi yeyote atayeonekana mbele yangu
Sura za wizi tunazijua tu sisi watoto wa mjini hatuwezi kukutia kiberiti kirahisi ukiona mtu anawaka ujue kashaharibu halafu polisi hawanaga habar wanamambo mengi ya kufanya sio kuanza kufuatilia kibaka kafaPole sana ndugu! Ila uwe makini maanake unaweza kumuua mwizi halafu ukajikuta umeingia kwenye mgogoro na vyombo vya sheria. Kuna muhindi huko nyuma aliwahi kuimba alisema : "Jikan haa kaanoon Hein" Maana yake sheria ni kipofu. Saa nyingine humuhukumu kuwa na hatia asiye na hatia.
Kati ya maajabu ya wanaoitwa " WANANCHI WENYE HASIRA KALI " Unaweza kukuta mtu anampiga mwizi ambaye hajui kaiba nini!!! Mtu kakuta watu wanampiga mwizi na yeye anaanza kupiga tu!! Hii noma sana aisee!!.Haya mambo ya kumuitia mwizi halafu raia wakaunga nae ni noma sana, huenda muhanga alihisi tu halafu akapiga nduru raia wakaunga na mwizi..
Wadada ndo wanatumiaga sana hisia na mwamba unaweza kujikuta unakula kiberiti hivi hivi unajiona..
Kuna dogo juzikati kaitiwa eti ni mwizi wa watoto aloo ameshushiwa kipigo kizito na ni dogo tu almost 15yrs, story ikasambaa kinoma wamama wakalaani kua kwanini asichomee moto tu huyo. Ila ukifikiria kwa makini na nature ya ule mtaa si ajabu dogo wala hakua na nia ya kuiba mtoto, ni ile unacheza nae mbali kdogo na kwao, dogo hajui kwa hao madogo ni wapi. Mama mtu akicheki mwanae uani hayupo, anahamaki kua mwanae kaibiwa, anaanza kumsaka, kumkuta dogo kambeba mwanae na vile hamjui basi moja kwa moja nduru ya mwizi wa mtoto ikapigwa, raia wakajaa kipigo kikaanza..
Hii kuua kuua moja kwa moja haijakaa sawa sometimes
πππππlafa nasa mampopoHuyo Mwizi ni lazima tu atakuwa Shabiki Tukuka wa Yanga SC.
Ndo ivo mkuu, hii kitu ni kweli inatisha wezi ila dada zetu wanaitumia hii mbinu kuua watu.Kati ya maajabu ya wanaoitwa " WANANCHI WENYE HASIRA KALI " Unaweza kukuta mtu anampiga mwizi ambaye hajui kaiba nini!!! Mtu kakuta watu wanampiga mwizi na yeye anaanza kupiga tu!! Hii noma sana aisee!!.
Na kweli utauliwa unamsogeleaje mtoto wa kike na humjui hakujuiNdo ivo mkuu, hii kitu ni kweli inatisha wezi ila dada zetu wanaitumia hii mbinu kuua watu.
Mdada akikuitia mwizi jiandae kuuliwa