Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliopiga kelele kijana mdogo na Kwa muonekano kwao Kuna pesa na jamaa aliyechomwa moto sura yake ni ya wizi hauulizi mara mbili akipigiwa kelele nafikiri ushanielewa nikikuambia hauulizi mara MbiliHapana, pengine hiyo alopiga kele ndio mwizi mwenyewe.
Iliwah nitokea hii, jamaa kaniuzia Sabuni badala ya simu, nlipomshtukia kumdai, ananiita Mwizi.
Ghafla wakajaa, na wanaojaa ni wenzi wenzake.
Bahati nzuri kulikua na Maboda wameona like tukio, ndio ilikua pona yangu
Nitumie pm mkuuAliopiga kelele kijana mdogo na Kwa muonekano kwao Kuna pesa na jamaa aliyechomwa moto sura yake ni ya wizi hauulizi mara mbili akipigiwa kelele nafikiri ushanielewa nikikuambia hauulizi mara Mbili
SawaNitumie pm mkuu
Sidhani kama ni mfumo wa ulinzi, it is very personal ndiyo maana hata ukikimbilia Polisi haisaidii. CHADEMA kule Arusha wanawaomba wananchi wasiwaue wezi badala yake wawaue CCM eti kwa ripoti ya CAG, hawajui wasemalo, hawawajui Watanzania.Sio haki mkuu na sio kwamba sijawahi kupigwa tukio. Ila ukiona wananchi wanajichukulia hatua inamaana mifumo ya kiulinzi na usalama ni mibovu.
Itume videoSina picha Nina video na ni mbaya sana aisee
Wewe itakua kibakaWaswahili wanakurupuka Sana hawapo logically
Kuna jamaa walimpiga mawe na kumuua kimchezo mchezo na hakuwa ameiba.
Wezi wanatabia ya kukuibia na kukuangushia jumba bovu
Hii imenipelekea kutoshiriki tukio lolote la kupiga mwizi maana Mimi MTU akiniibia lazima aliyeniibia apate matatizo makubwa Sana kuzidi hata huo moto wa kuchomwa au kufungwa jela.
Wewe itakua kibaka
Oi nitumie videoWewe itakua kibaka
Na wewe iba udakwe wala hautauliwa utapewa Soda na biskuti.Kwanini wamuue
Kila anayekosea angekuwa anauliwa sidhani kama Dunia ingekuwa na aatu
Kumbe bado ipoStyle hii ya wizi nimekutana nayo sana, kuna mmoja alinipokonya wallet nilimwitia watu mpaka akairudisha mwenyewe bahati nzuri aliondoka mapema
Mwaka juzi hiyo, nitumie video sijawahi kuona mwizi akichomwaKumbe bado ipo
Kuna watu wengi wapo magerezani kwa makosa Kama haya ya kuua na kuchoma moto weziIngawa wezi wanalostisha ila kumchoma mtu kwa kumhisi ni mwizi haijakaa poa.
Hahahaha!!Ogopa sana mwizi akimbizwe akimbilie kwenye kona unayotokea wewe alafu uwe umevaa shati linalofanana na lake
Mzee sisi tutawachoma sana acha wizi siku Yako yajaKuna watu wengi wapo magerezani kwa makosa Kama haya ya kuua na kuchoma moto wezi
Wezi hawafai kabisa kuwepo Ila ukiona watu wanaenda kuua usiende hilo eneo
Kuna mzee alikaa ndani miaka 7 kwa kuua wezi
Na wapo watu kibao wapo gerezani wana kesi za mauaji za kuua wezi
So logically inaweza kumfanya MTU kuwa safe hasa ktk kufata mkumbo