Mwl. Julius Kambarage Nyerere kutangazwa mtakatifu

Mwl. Julius Kambarage Nyerere kutangazwa mtakatifu

Hastahiri kuwa Mtakatifu,Mtasema tunamuonea wivu,Binafsi siwezi muonea wivu mfu.Ova
 
Katika pita pita zangu nimekutana na barua ya kanisa Katoliki Tanzania ambayo inaonyesha kwamba kanisa lipo katika mchakato wa kumtangaza Baba wa taifa, Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwl. Julius K. Nyerere kuwa mtakatifu/mwenye heri.

View attachment 2813930
Mtakatifu mzimu wa mvua!
 
Katika pita pita zangu nimekutana na barua ya kanisa Katoliki Tanzania ambayo inaonyesha kwamba kanisa lipo katika mchakato wa kumtangaza Baba wa taifa, Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwl. Julius K. Nyerere kuwa mtakatifu/mwenye heri.

View attachment 2813930
aisee!!!!!,,,kufukia mashimo ya papa ni kazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwahiyo anakuwa St. Julius Nyerere of Butiama au Dar au Tanzania?
Adolf Hitler naye atangazwe utakatifu.
Ngoja tuongee na Steinmeier
 
My Take
Soon Wakatoliki wa Tanzania mtaanza kumuabudu marehemu mwl.Nyerere kama Moja ya watakatifu wenu.

Kama kigezo ni kushinda tamaa ya Mali sawa ila kwingineko Kuna ukakasi.Msije kushangaa pia siku Moja mkaambiwa Mwendazake atakuwa Mtakatifu wenu na mtamuabudu pia 😁😁

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1726084300813320420?t=yVlEJx5G0at4v0Xr-4HUMg&s=19

Nyerere ameacha mfumo mbaya kabisa wa utawala ktk nchi hii ya Tz, halafu ndio awe Mtakatifu??
Umaskini na ufukara uliokubuhu uliopo Tz umeasisiwa na Nyerere pamoja na CCM yake aliyoiasisi. Hovyo kabisa.
 
Mtakatifu Nyereree...utuombeee🎶🎶

Duh haya.
 
Nyerere alishiriki kutaifisha shule za kikatoriki nyingi ikiwemo ya Ndanda Ili zitumike kuwasomesha Waislamu hapa aliniuzi sana
 
akirudi akakuta haya magangwe ya sasa atafariki na kuanguka free fall
 
Back
Top Bottom