Mwl. Julius Kambarage Nyerere kutangazwa mtakatifu

Mwl. Julius Kambarage Nyerere kutangazwa mtakatifu

Yesu hajawahi kuwa na kanisa. Usimzulie.
Wewe changia ya Kurani, ya biblia utayajulia wapi?

Matthew 16:17
Now I say to you that you are Peter (which means ‘rock’), and upon this rock I will build my church, and all the powers of hell will not conquer it.
 
Yesu nnamjuwa kuliko umjuwavyo wewe.

Kumbuka, mimi ni Muislam na huwezi kuwa Muislam kama humtambuwi Yesu kuwa ni mtume wa Mwenyezi Mungu.
Wewe unamjua Isa bin Mariam.

Humjui Yesu Messaih aliyetabiriwa na nabii Isaya ambaye alikufa msalabani kwaajili ya wenye dhambi, akayashinda mauti, akapaa mbinguni, aliyepewa mamlaka yote Duniani na mbinguni, atakayerudi kuyahukumu mataifa yote.
 
Sawa na ipitishwe japo waandishi wa miaka hii ni crazy, wanasahau tarehe.

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere apitishwe tu kuwa Mtakatifu,

Hata kwa kuweza kulinda mali asili zetu inatosha kumpa Utakatifu.

Hata kwa kutokuuza bandari zetu na mbuga zetu, inatosha kabisa kumpa Mwalimu Nyerere kuwa Mtakatifu.
Mwalimu utafukuzwa kazi ushindwe kulea wanao na wazee wako kijijini, siasa hizi waachie wenyewe.
 
Kwa aliyoyafanya kwa Oscar Kambona yanatosha kutokutawazwa kuwa mtakatifu,sababu alifanya haya wazi kwa mkatoriki mwenzake.
Ni kweli. Na sio kwa Oscar Kambona tu.
Tuntemeke Sanga alipojaribu kuonesha usomi wake, na alivyostahili kuwa kiongozi wa taifa hili, Nyerere alimuweka kifungo cha maisha cha nyumbani.
Aboud J. Mwinyi alipohoji kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Nyerere alimuweka kifungo cha maisha Mjimwema Dar.
Ktk operesheni vijiji vya ujamaa wananchi walihamishwa kwa nguvu kutoka makazi yao na kuwekwa sehemu ambazo hazikuwa na huduma muhimu za jamii kama nyumba, maji etc.
Via ya Uganda 1978/79 kwa sehemu kubwa ilisababishwa na Nyerere, akitaka kumrejesha madarakani rafiki yake Obote.
Nyerere aliunga mkono uasi katika Jimbo la Biafra huko Nigeria.
Hayo ni machache. Watu acheni unafiki. Nyerere alikuwa kiongozi katili, dikteta aliyetesa wapinzani wake wa kisiasa. Hakuwa mtu wa kusamehe.
 
A GOVERNMENT IS AN INSTRUMENT OF OPPRESSION, GOVERNMENTS USE LAW TO CLING/CONSOLIDATE (TO) POWER, SO IWEJE MTU ALIYEONGOZA INSTRUMENT OF OPPRESSION ATANGAZWE MTAKATIFU? NAOMBA KANISA LINIJIBU. ARCHBISHOP RUWAICHI, SOMA KITABU CHA MWIJAGE UONE ATROCITIES ALIZOZIFANYA NYERERE JULIUS

Law: instrument of oppression or tool of justice?

Fernanda Pirie, Professor of the Anthropology of Law

Laws can be harsh, exclusionary, and oppressive. Authoritarian rulers use them to entrench power and undermine human rights; and they manipulate courts and judges to support undemocratic and illegitimate activities. We only have to consider the Jim Crow laws in the US, which legalized racial segregation for decades, the legal regime of apartheid South Africa, and recent moves in Russian and eastern Europe to undermine the independent judiciary. So why do people continue to place faith in the rule of law? The UN declares it to be fundamental to international peace, economic progress, and the protection of fundamental freedoms; social movements take political battles to the courts; and human rights are enshrined in ever more ambitious legal conventions.

Is law fundamentally an instrument of oppression or a tool of justice? And how can it, in practice, be and do both? In my new book, The Rule of Laws, I go back to the origins of law in Babylon, India, and Rome to ask what history can teach us about this paradox. It turns out that laws have been and done contradictory things since they were first invented by the warlords who competed for power in the Fertile Crescent almost four thousand years ago.




NYERERE WAS GOOD, BUT NOT AN ANGEL TO BE DECLARED A SAINT
A saint is not synonymous to an angel.
 
Nyerere anatangazwa Mtakatifu na Rumi... Huku Makonda anapewa fimbo ya nyerere.


Rumi inafanya Siasa .

Haya mambo yanapangiliwa sana.
 
Katika pita pita zangu nimekutana na barua ya kanisa Katoliki Tanzania ambayo inaonyesha kwamba kanisa lipo katika mchakato wa kumtangaza Baba wa taifa, Rais wa kwanza wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Mwl. Julius K. Nyerere kuwa mtakatifu/mwenye heri.

View attachment 2813930
Hawa waabudu masanamu hawana akili kabisa
 
Ni kweli. Na sio kwa Oscar Kambona tu.
Tuntemeke Sanga alipojaribu kuonesha usomi wake, na alivyostahili kuwa kiongozi wa taifa hili, Nyerere alimuweka kifungo cha maisha cha nyumbani.
Aboud J. Mwinyi alipohoji kuhusu muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Nyerere alimuweka kifungo cha maisha Mjimwema Dar.
Ktk operesheni vijiji vya ujamaa wananchi walihamishwa kwa nguvu kutoka makazi yao na kuwekwa sehemu ambazo hazikuwa na huduma muhimu za jamii kama nyumba, maji etc.
Via ya Uganda 1978/79 kwa sehemu kubwa ilisababishwa na Nyerere, akitaka kumrejesha madarakani rafiki yake Obote.
Nyerere aliunga mkono uasi katika Jimbo la Biafra huko Nigeria.
Hayo ni machache. Watu acheni unafiki. Nyerere alikuwa kiongozi katili, dikteta aliyetesa wapinzani wake wa kisiasa. Hakuwa mtu wa kusamehe.
Peleka hizi tuhuma Mahakama ya Jimbo
 
Wewe unamjua Isa bin Mariam.

Humjui Yesu Messaih aliyetabiriwa na nabii Isaya ambaye alikufa msalabani kwaajili ya wenye dhambi, akayashinda mauti, akapaa mbinguni, aliyepewa mamlaka yote Duniani na mbinguni, atakayerudi kuyahukumu mataifa yote.
Umedanganywa sana na ashkenazi, unaongelea yule mzungu tunaemuona kwenyue picha?
 
Muda sio mrefu kwenye sala zao tutasikia "Mtakatifu mwenyekiti wa CCM mstaafu utuombee"
 
Back
Top Bottom