Mwl. Julius Kambarage Nyerere kutangazwa mtakatifu

Hastahiri kuwa Mtakatifu,Mtasema tunamuonea wivu,Binafsi siwezi muonea wivu mfu.Ova
 
Mtakatifu mzimu wa mvua!
 
aisee!!!!!,,,kufukia mashimo ya papa ni kazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kwahiyo anakuwa St. Julius Nyerere of Butiama au Dar au Tanzania?
Adolf Hitler naye atangazwe utakatifu.
Ngoja tuongee na Steinmeier
 
Nyerere ameacha mfumo mbaya kabisa wa utawala ktk nchi hii ya Tz, halafu ndio awe Mtakatifu??
Umaskini na ufukara uliokubuhu uliopo Tz umeasisiwa na Nyerere pamoja na CCM yake aliyoiasisi. Hovyo kabisa.
 
Mtakatifu Nyereree...utuombeee🎶🎶

Duh haya.
 
Nyerere alishiriki kutaifisha shule za kikatoriki nyingi ikiwemo ya Ndanda Ili zitumike kuwasomesha Waislamu hapa aliniuzi sana
 
akirudi akakuta haya magangwe ya sasa atafariki na kuanguka free fall
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…