Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Tungelingalisha hizi Mbingu walizoenda hawa wakuu kama zinafanana au stor zinauelekeo wa kuwa sawa alafu tulinganishe na maandiko basi tutapata ukweli, kwanza alitumia njia ipi kufika uko wakati katika mwili gan au roho gan.? Kwa sababu Yesu Kristo mwenyewe kuenda Mbinguni ilibidi kubadili mwili tofauti na ule wa kawaida aliokuwa anautumia hapa dunia kabla ya kufa na kufufuka.!
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
Duhh!nimestuka mnoo
 
Tungelingalisha hizi Mbingu walizoenda hawa wakuu kama zinafanana au stor zinauelekeo wa kuwa sawa alafu tulinganishe na maandiko basi tutapata ukweli, kwanza alitumia njia ipi kufika uko wakati katika mwili gan au roho gan.? Kwa sababu Yesu Kristo mwenyewe kuenda Mbinguni ilibidi kubadili mwili tofauti na ule wa kawaida aliokuwa anautumia hapa dunia kabla ya kufa na kufufuka.!
Oya Bro, vipi kile kimpira ushakitoa tumboni? Sasa mwili wako una kilo ngapi bob? Nakukubali sana mwamba! Punguza kula wali maharage! [emoji23]
 
Freemason wamewaweza kweli Wakristo kuwaamisha sura ya Brian Decor kuwa ndie Yesu, hata wakitokewa na jinni washariri ni YESU.
Kama alivyowakaririsha wanaotokewa na shetani akijifanya ni Bikira Maria, Bikira Maria ajawahi mtokea mwanadamu yeyeto yule tangu alipoondoka duniani ile ni michezo ya majini.
Jini anaweza kukutokea kukuambia Umwabudu Yesu Kristo Bwana?
 
Kwani ajabu ni ipi Rafiki? Hata Yesu alipowaambia yeye ndiye Mwana wa Mungu na ndiye Mkuu kuliko Ibrahim bado Watu walimpinga na wakamuua. Kwa hivyo sio ajabu hata na wewe kupinga na kupotosha. Wapi kasema walianza kupiga story? Rafiki acha mzaha na mambo ya Mungu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] UTAPELI, UTAPELI, UTAPELI, UTAPELI.

DINI YA KWELI NA HAKI NI UISLAM TU.

KARIBUNI SANA.
 
Kumbe kwenda Mbinguni ni lazima. Kwamba mtu akitaka tu anaweza kwenda tu kwà mapenzi yake , na sio tena kwà mapenzi ya Mungu? Daah Eeh Mungu tusaidie tue na mwisho mwema waja wako!!
NI hivi ukita kwenda mbinguni lazima umtafute Mungu,awe karibu yako,ukitenda matendo mema.Mungu ATAKUPA hitaji lako hilo
 
Yote tisa..

Kumi, kama ww huamini anachofundisha mwl mwakasege kuhusu siku za mwisho na kwenda mbinguni bas ww fuata mafundisho yako unayoamini ambayo yatakufikisha mbinguni

NB: pita njia yako na mm nipite yangu kikubwa tukutane mbinguni

Kuna mambo mawili
1. Hukuelewa Mwl Mwakasege anafundisha nini. Nachojua huyo mwl yupo deep kwa mambo ya rohoni sana kwaio kama umekurupukia chakula cha watu wazima na ww n mtt basi huwezi elewa. Yan lazima uwe na kitu kwanza rohoni ndo unaweza kuunganisha doti . Na hiki na asilimia nacho kubwa.
2. Ni kumharibia tu mtumishi wa wa2. Nuru na giza ni mbali mbali na vinakinzana. Kwa mtu mwereve na mkomavu kiroho hasambazi udhaifu wa mtumishi asiyemwelewa bali anakuwa na chujio binafsi la kuchuja kipi achukue na kipi hakigusi moyo wake kwaio aachane nacho. Kwaio ww kuckia tu na kukimbia dukan kununua vocha dukan uje umkosea uku, mtu mkomavu asingechukua hatua izo bali mshabiki anawezafanya ivo kwaio kwa mantiki hio narudi pale pale point 1, ww ni darasa la 4 umeenda kusoma reproduction form 3 kwaio utaona ni vichekesho n
Maelezo yako ni sahihi kabisa, umeelewa lengo la mwandishi,na la mwisho ni uzumbukuku wa kukimbia mtandaoni kuandika na kuonyesha udhaifu wake wa kimwili(mhemko)kiroho(hajui neno-biblia)
 
Kwani ajabu ni ipi Rafiki? Hata Yesu alipowaambia yeye ndiye Mwana wa Mungu na ndiye Mkuu kuliko Ibrahim bado Watu walimpinga na wakamuua. Kwa hivyo sio ajabu hata na wewe kupinga na kupotosha. Wapi kasema walianza kupiga story? Rafiki acha mzaha na mambo ya Mungu
Bhanaee usintishe bhana. Nyie ndio mnaofanya mzaha na mambo ya Mungu. You can't think by yourselves. Mnapelekwa pelekwa kiboyaboya tu ...mnapokea kila kitu. Hamfiki mahala mkawa na uchanganuo like anayeongea pale ni Mungu au Binadamu..., Mnabeba kila kitu kama kokoro la kuvulia samaki lililopigwa marufuku.

Na ndio maana sio watu wa kufanya Maamuzi wala Uthubutu kwasababu ya Kukosa utayari wa kukubaliana na ukweli.

Mnapenda kufundishwa mambo ya Mungu na wanadamu...tangu ukiwa mtoto unapelekwa na wazazi kanisani mpaka UTU uzima huo haujaweza kujisimamia / kusimama na Mungu wako. Unataka kila kitu ukaririshwe na wanadamu. Acha pigo hizo Bob! Too much of everything is always harmful!!! Stuka mtu wangu before it's too late!
 
Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179
SWAGA ZIKIISHA INABIDI UBINU MBWINU zitakazoenda na wakat
 
Back
Top Bottom