Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Wadau kwema?

Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana)

Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?

Alianza Nabii Mkuu Geordavie then Zumaridi na sasa Mwl. Mwakasege.

Mbinguni hiyo vipi wadau, mbona sielewi mapichapicha haya!!!

Mbinguni dah! Aloo mbinguni!!!

(Mmh!..hahahaha ...mhhh!...hahaha) Twibhwa nabazenganwa! Ehenao yaya gete....bagoshaaaaa!!!! Alichene!
!View attachment 2593179


Alikwenda na ndege ipi ?? Aliondokea airport ipi ?? Alipata wapi visa ?? Kuna wakimbizi huko ??
 

crop.php
 
Kama unasoma Biblia, mbona hayo ni mambo ya kawaida sana, kwa watumishi wa Mungu aliye hai, lakini kama usomi wala huamini Biblia, ndio utaona ni jambo la ajabu.
 
Nimemsikiliza vizuri Sana ..na kasema kama ulivyosema ila mbona kaanza Kwa kusema " "wakati nimelala nikanza kuona maono nafsi inavyo nyanyuka mpaka kufika mbinguni akaanza kuona hayo maono ya kukuta na huyo Musa na akajihami usiulize amemjuaje akasema alitambulishwa ...
Sasa wewe unavyoiweka ni kama ya mama mdogo wako zumaridi..acha upotoshaji man.. mbona unakuaga mjinga we mzee
Asante
 
Freemason wamewaweza kweli Wakristo kuwaamisha sura ya Brian Decor kuwa ndie Yesu, hata wakitokewa na jinni washariri ni YESU.

Kama alivyowakaririsha wanaotokewa na shetani akijifanya ni Bikira Maria, Bikira Maria ajawahi mtokea mwanadamu yeyeto yule tangu alipoondoka duniani ile ni michezo ya majini.
Ndo wakina nani freemason
 
Hizo ni human teachings.... Na hata biblically Mbinguni pameelezewa kwà nadharia tu ....

Na pia lazima ujue..biblia ina maandiko ambayo maneno yake yanapassword....si rahisi hata kidogo mtu kuyaelewa kwà haraka mpaka uwe na Roho Mtakatifu.

So, Mbinguni ni fumbo la imani na pia ni mfano wa Upendo.

Habari za mbinguni kwàkua ni nyeti, huwa zinaongelewa kwà mafumbo na kwà mifano (publically)..kama alivyokua akifanya Yesu katika mafundisho yake.

Msiwe wepesi sana kudanganywa na wanaosema wamekwenda Mbinguni.
We unaona kwenda mbinguni ni ajabu sana
 
Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi.

Dah! Hii kitu imekaaje wadau?
Naye ameanza kuchanganyikiwa
Hivi kudanganya watu ndiyo mbinu ya kuwavuta?
 
Back
Top Bottom