Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Futuhi km Futuhi uwiiiiiih lol.
 
Naye ameanza kuchanganyikiwa
Hivi kudanganya watu ndiyo mbinu ya kuwavuta?
Usipende sana kuamini habari za mitandaoni bila ushahidi wa kutosha mkuu.

Nikupe taarifa tu kwamba mleta mada ni mfuasi wa Mtume na nabii wa kizazi kipya mwenye biashara yake pale maeneo ya 'Cow-way' na amekuwa akimponda sana Mwalimu Mwakasege. Nadhani anafikiri Mwakasege ni tishio kwenye biashara yao.
 
Sasa lipi la ajabu hapo? mtumishi wa Mungu anapokea maelekezo kutoka kwa Mungu, hata Musa alikuwa anaonngea na Mungu live, ila sura ndo hakuiona, na wengine wengi, kuna namna nyingi ya hilo kutokea, unaweza pata maono, yan katika ulimwengu wa roho na jambo likatokea, na aliloongea ni kawaida, Yesu tangu anaondoka alisema atarudi, swala la lini hatuwezi jua maana ya mbinguni moja, huku ni elfu moja, lakini mwisho wa dunia yako ni ile siku unakufa, na safari ya hukumu yako inaanza hapo hapo, so yote aliyoongea yana make sense, al long as hajaweka mikwara ili ashawishi watu ukuu wake kihuduma. yangu ni hayo.
 
Naye ameanza kuchanganyikiwa
Hivi kudanganya watu ndiyo mbinu ya kuwavuta?
Namfuatilia hapa via Upendo TV...

Kawaambia vijana wasijibizane kwenye social media.....Meaning kaiona hii thread.

Now anawapa matongo pori ya kuwakeep ili wasipate nafasi ya kumtoroka.

Anawajengea mindset...waache kuwasikiliza wanaomchallange
 
Usipende sana kuamini habari za mitandaoni bila ushahidi wa kutosha mkuu.

Nikupe taarifa tu kwamba mleta mada ni mfuasi wa Mtume na nabii wa kizazi kipya mwenye biashara yake pale maeneo ya 'Cow-way' na amekuwa akimponda sana Mwalimu Mwakasege. Nadhani anafikiri Mwakasege ni tishio kwenye biashara yao.
Acha uongo Ndugu. Acha kupotosha!
 
Nimemsikiliza vizuri Sana ..na kasema kama ulivyosema ila mbona kaanza Kwa kusema " "wakati nimelala nikanza kuona maono nafsi inavyo nyanyuka mpaka kufika mbinguni akaanza kuona hayo maono ya kukuta na huyo Musa na akajihami usiulize amemjuaje akasema alitambulishwa ...
Sasa wewe unavyoiweka ni kama ya mama mdogo wako zumaridi..acha upotoshaji man.. mbona unakuaga mjinga we mzee
Asante mkuu kwa kuweka clarification maana nimekuwa wa mwisho kuamini haya mambo japo sijaona alichodai huyu Mzee wa Kipusa
 
Asante mkuu kwa kuweka clarification maana nimekuwa wa mwisho kuamini haya mambo japo sijaona alichodai huyu Mzee wa Kipusa
Acheni hizi pigo. Jipeni likizo ya kutowasikiliza hawa watu, msikilizeni roho Mtakatifu, ...atawakumbusha kila kitu.

Hawa watu hawawapi ukweli wote,...ni half truth tena iliyojaa mashaka sana
 
Acheni hizi pigo. Jipeni likizo ya kutowasikiliza hawa watu, msikilizeni roho Mtakatifu, ...atawakumbusha kila kitu.

Hawa watu hawawapi ukweli wote,...ni half truth tena iliyojaa mashaka sana
Inawezekana labda ni kweli au sio kweli, ili tumalize utata ungetuletea hicho kipande Mkuu sasa picha haitoi maneno ndio maana nashindwa kuamini haya.
 
Inawezekana labda ni kweli au sio kweli, ili tumalize utata ungetuletea hicho kipande Mkuu sasa picha haitoi maneno ndio maana nashindwa kuamini haya.
Kuna watu ambao wamekoment kusema na wao pia walimsikia...lakini kwakua ni wafuasi wake...hawakua na utayari wa kufunguka kwasababu ya hofu / woga wa kuwakosoa watumishi wa Mungu...

I mean, wanamhofia Mwakasege zaidi ya kumhofu Mungu aliyewaumba!
 
Back
Top Bottom