Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hakika, ameiona anaachwa nyuma kwa mbali na kasi kubwa sana na kina Zumaridi.
Mashindano yote duniani kanuni yake ni moja tu "Usipoweza kushindana na mshindani wako basi ungana nae" ndicho alichoamua Mwakasege